Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Bangi ni mbaya sana wewe ndio unatangazia watu shetani alikuwa MALAIKA leo unastaajabu malaika kutumwa na Mungu !!! ahahahaahh Ahahahahhhahjajahajajajjajja
Point hapa ni Shaytan kushirikiana na allah katika Uumbaji. Hii ndio Ni zaidi ya bangi hii ni Sembe kabisa. Don't you see?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em weka mwenyewe hiyo hadithi hapa. Ili nianze kukuchambulia upumbavu. Nisije weka mimi ukasema ni "Dhaif".


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achukue mwili au asichukue , ameshakiri kwa mdomo wake tena hadharani kuwa Mungu wake ndio Mungu wako unataka lugha gani zaidi ya hii ili upate kuelewa , Mungu hawezi kudharirishwa na viumbe wake mbona unaamini UJUHA tumia akili yako sawasawa
Yesu Ni Mungu. Baba ni Mungu. Na Roho Mtakatifu Ni Mungu. Na hawa wa 3 ni Umoja.

Sasa Yesu akisema baba yake ni Mungu. Hilo halina shaka... Yumo mulemule...

Na utaona wayahudi wamekua wakimtuhumu Yesu kwa kumwita Mungu baba yake. Ni kwasababu yeye ni Mungu pia.

(John 1:1-3)
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

Huu mstari hapo juu hauwezi kufutwa kwa porojo wala.Opinions. Utadumu milele na hata milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You're wasting your Time. Mr. Copycat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa kapata risasi yake hapa

Does Allah Almighty Pray?
Risasi ya kinjiktile ngwale hupasuka na kua maji.
We ni mwanaharamu kweli kweli.
Allah kaandika "Swala".

Unahitaji Opinions za wanadamu kama wewe ili iweje?..

Kwani Hao watu ndio walishushiwa wahyi?
Kwani Allah ni Lijiiiinga sana kiasi kwamba halijui kutofautisha ya kati ya Swalati na Barakati?

Utakwenda jehanamu. Na huyo shetwaini allah atakukana kwa upumbavu wako mwenyewe.
Fool...!


Korani zotee mlizo tafsiri kutoka kiarabu ni Corupt. Iwe ya mwizi Hafsi, Doori, Yaqub nk

Mti muovu hujulikana kwa matunda yake..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha hapo mwanzo kasema nani ?, Yesu aliishi na kufundisha duniani kwa nini mumzushie jambo ambalo ajawai lisema

1.Yesu amesema Baba yake ndio Mungu wake
2.kuna mahali Baba amesema Yesu ni Mungu wake ?

Hivi muambiwe kwa lugha gani ili ujinga huu umetoke nyie watu
MARKO 10:18
"; Yesu akamwambia , kwa nini kuniita mwema ? hakuna aliye mwema ila mmoja , ndiye Mungu ";

Ahahahahaaaahahhahhaaha mnataka tuongee kichina ndio muelewe ahahhahahahahhahjajjaajjaaj
 
Sisi tunaamini Roho Wa Mungu ndiye amemshuhudia Kua Yesu Ni Mungu.
Jina 'Yesu' ni jina la Baba Yake.
Ndio Jina wanadamu tunapaswa kuliishia.
Kwaajili ya Ukombozi.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em weka mwenyewe hiyo hadithi hapa. Ili nianze kukuchambulia upumbavu. Nisije weka mimi ukasema ni "Dhaif".


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni QURAN 2:30-34
Ni ndefu sana naenda kwenye kisa baada ya malaika kuambiwa wataje majina na kushindwa akiwa zamu ya ADAM
2:33";Akasema: Ewe Adam WAAMBIE majina yake. Basi alipo waambia majina yake : Sikukwambieni kwamba mimi ninajua siri za mbinguni na za duniani , na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa mnayaficha ?
2:34";,Na tulipo waambia malaika MSUJUDIENI Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri";

Umeona thamani ya elimu ni bora kuliko maumbile, Ibilisi alijiona bora kwa sababu aliumbwa kwa moto , na adam kwa udongo, wakati alikua mbumbumbu
 
Sisi tunaamini Roho Wa Mungu ndiye amemshuhudia Kua Yesu Ni Mungu.
Jina 'Yesu' ni jina la Baba Yake.
Ndio Jina wanadamu tunapaswa kuliishia.
Kwaajili ya Ukombozi.






Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuitaji imani yako tunaitaji maandiko kijana
1.Yesu Amefundisha hadharani kuwa Baba ndio Mungu wake, je kuna sehemu yeyote ata magazeti ya uwazi baba aliwai kusema Yesu ni Mungu wake? wewe ni nani mpaka umbishie Yesu kuwa Mungu wake na wako ni mmoja tu
 
Point hapa ni Shaytan kushirikiana na allah katika Uumbaji. Hii ndio Ni zaidi ya bangi hii ni Sembe kabisa. Don't you see?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Mungu anaumba unaweza kuthibitisha kuwa shetani alikuwa ameshalaniwa ? maaana naona unajitoa ufahamu kabla ya kuwa shetani alikuwa kiumbe mtenda mema
 
Huwezi kujua asili ya uislamu wewe Mbwa mla MAKOMBO ( kwa mujibu wa Yesu) ,kama Unaamini Mungu wako alipigwa kibano cha mbwa koko ,na kuachwa na kichupi kama Tarzan , uislamu ni mzito kwako kijana , ndio maana Paulo aliamua kumuita Mungu wake MPUMBAVU na DHAIFU ahahahhhahahahaajhauaua
 

Asili ya uisilamu ni baba fatuma [emoji53] huachi kubweka bweka uzwazwa [emoji15] [emoji351] [emoji117] baba yake fatuuû ni kafir [emoji117] akawa mwanzilishi wa deen yake kwa warabu wenzie [emoji117] [emoji117] babu jjjnga inama ufikiri [emoji15] [emoji53]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…