Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Nataka kujua akili yako ni ndogo kiasi gani siku ina saa 24, swala moja inachukua dakika ngap ?
 
Nimekuuliza Quran ipi inasema Yesu ni Mungu ? bahati mbaya badala ya kujibu swali unaanza kuleta lawama Ahahahahaaaahahhahhaaha ahahahhhahahahaajhauaua
 
Yesu alisema ndege alimi lakini anaishi , vip nyie mnakuwa na hofu , tafuta kwanza ufalme wa mbingu hayo mengine yatakuja tu, ushahuri huu umekutoka kwa sababu ya ushabiki, hata zingekuwa swala elfu 1 , tungefanya tu mbona mengine yangejisumbukia yenyewe ahahahha Qhahahhahahahaahahaha
 
Nataka kujua akili yako ni ndogo kiasi gani siku ina saa 24, swala moja inachukua dakika ngap ?
Nidanganye nijue Sala 50 kwa siku ziliswaliwa na akina nani au maswahaba gani?.

Katika 24hours. Toa masaa 8 ya kulala usiku.

Hapa ndio naanza kuamini kwanini Alikua akiishi kwa kuvamia misafara ya Mabedui na kuwaua na kuchukua mali zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndio tatizo unaweza kunionyesha mahali Yesu alifanya kazi kutafuta kipato ?
 
Mkuu nimeona hapo Mungu kamfanya FARAO kuwa na moyo mgumu, halafu badae Mungu huyo huyo anamuona farao ni tatizo ahahahhhahahahaajhauaua ahahahhahaahaaa, ndio yale yale ya Mungu kupigwa MAKOFI ahahahahaahhah
 
Ufalme wa Mungu ndio Yesu mwenyewe.

(Isaiah 59:1)
Tazama, mkono wa BWANA haukupunguka, hata usiweze kuokoa wala WALA SIKIO LAKE SI ZITO, hata lisiweze kusikia;

Mshukuruni Moussa kwa kuwaokoa. Maana adhabu mlopimiwa sio ya mchezo. Ha ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndio tatizo unaweza kunionyesha mahali Yesu alifanya kazi kutafuta kipato ?
Unauliza Kazi kwa mtoto wa seremala?.

Hujui hata Kueneza Injili ilikua Kazi yake kuu?.

Yesu hajawahi kuvamia watu na kuua na kupora mali zao. Yesu hakua wa type hizo za wevi na wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leta maneno ya mtume hapa, unamtengenezea dr Zaiki maneno yako halafu unaleta hapa kwa wasomi kama mimi iwe ushahidi, bureeeeee leta hadithi hapa tukukaange kwa hadithi hiyo hiyo sio maneno ya Naik mliyoyaunda au kakobe ahahahhahahaah ahahahhha

Leta maneno ya mtume hapa, unamtengenezea dr Zaiki maneno yako halafu unaleta hapa kwa wasomi kama mimi iwe ushahidi, bureeeeee leta hadithi hapa tukukaange kwa hadithi hiyo hiyo sio maneno ya Naik mliyoyaunda au kakobe ahahahhahahaah ahahahhha

unabweka wakti deen sio yako [emoji15] View attachment 984100 wenye deen yao hapo wamefurahi na kupiga takbir [emoji109] kwa Neema hiyo WALIO fadhiriwa [emoji4] wee ndio kwanza unabweka [emoji15] View attachment 984103 kafir kubwa wee [emoji15] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauliza Kazi kwa mtoto wa seremala?.

Hujui hata Kueneza Injili ilikua Kazi yake kuu?.

Yesu hajawahi kuvamia watu na kuua na kupora mali zao. Yesu hakua wa type hizo za wevi na wanyang'anyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali ni hili, Yesu aliwai fanya kazi yeyote ya kupata kipato ? fundi selemala alikuwa baba yake sio yeye, mbona unapenda kujibu usichoulizwa
 
Kwa majibu haya ni wazi umeishiwa Ahahahhahahahaahjhhahaja umeshindwa kuthibitisha ni mda gani tungetumia kwa swala 50 hilo la kwanza, pili umeshindwa kuonyesha Yesu alifanya kazi ya kuingiza KIPATO , tatu Yesu alimuachisha MATHAYO kazi ya utoza ushuru akawa anazunguka nae , niambie kwa Mathayo kuacha kazi alikufa au aliishi? ahahahhaahhahaahahahhah mwaka huu lazima akili imikae sawa ahahahahahhahahaha
 
Mkuu, umeuliza maswali mazuri sana, wacha waje watoe majibu
 
Yesu kabla hajaanza Kazi alikua Monk, anahudumu Hekaluni na Kufundisha hapo.
Alipoanza kuhubiri alikula pale anapopokelewa
Na kukaribishwa. Refee Zakayo, na wengine wengi. Wakina Maria Magdalena, Martha waliwahudumia.
Na Ndivyo vivyo hivyo alivyo waambia wanafunzi wake waeneze injili, waende pasi kubeba chochote. Maana MTENDA KAZI ANASTAHILI UJIRA WAKE.

Hilo la swala 50 ni fiction tu. Kama Stori za kimuvimuvi zile za kitoto Enzi zetu tv Inaingia Bongo. Unakutana na muvi kali ya Van Dame anaonyesha mkwara tunashangilia. Kwa masaa 24/seven swala 50 haiwezekani na haijawahi kuwepo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali lako liko wapi ? umetoa hadithi hakuna swali kuna ubaya gani kutofautiana na wayahudi kwenye baadhi ya mambo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…