Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Kumbe wewe hamnazo sasa kama wanafunzi wa Yesu waliacha kazi zao wakaanza kutangaza injili ambayo hakuna mshahara wa fedha, sasa vip waislamu kupoteza masaa 5 tu katika masaa 24 kuswali ? ahahahhaahhahaahahahhah bureee kabisa wewe
 
Kumbe wewe hamnazo sasa kama wanafunzi wa Yesu waliacha kazi zao wakaanza kutangaza injili ambayo hakuna mshahara wa fedha, sasa vip waislamu kupoteza masaa 5 tu katika masaa 24 kuswali ? ahahahhaahhahaahahahhah bureee kabisa wewe
Kwanza hayo sio maagizo ya Mungu kwenye Torah. Imeandikwa fanya Kazi siku 6 ya 7 ni sabato ya Bwana.

Pili haipo ndani ya Qur'an.

Tatu. Haionyeshi hizo swala 50 ziliswaliwa wapi kwa hapa Duniani?.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unashangaa vip swala 50, za masaa 5, kumbe kuna watu siku nzima wanahubiri na wanaishi , hizi ndio tunaita bange Ahahahahhaah Ahahahahaaaahqa
Unajua Kuswali wewe au unajisemea?.

Kuswali na kuhubiri ni vitu viwili tofauti. Swala 50 ni habari za kubumba... Hakujawahi kua na kitu kama hiki tangu Kuumbwa kwa ulimwengu.
Logic yenyewe inakataa. 24 hrs a Day. Weka masaa 8 ya kulala.
Utafanya kazi ipi
Utakula saa ngapi?.


Tena Swala zenu ambazo mnaswali mkijua fika Mungu hayupo hapo kusikiliza. Ni shida zaidi.
Acha uzwazwa.

Think critical before you say it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hayo sio maagizo ya Mungu kwenye Torah. Imeandikwa fanya Kazi siku 6 ya 7 ni sabato ya Bwana.

Pili haipo ndani ya Qur'an.

Tatu. Haionyeshi hizo swala 50 ziliswaliwa wapi kwa hapa Duniani?.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha baada ya kuona Yesu ajafanya kazi ya kuingiza kipato , na aliwaachisha watu shughuli zao wakaanza kuzunguka lakini waliishi na awakufa, sasa umegeukia upande wa Mungu , twende hapo hapo Mungu aliposema fanya kazi siku 6 na ya 7 upumzike alimaanisha nini ?
 
Siku moja iweke wakfu kwaajili ya Bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi najua kuswali na naswali , swala ina dk 5, kwa siku ni dk 250 , sawa na masaa 4 na dk chache , mimi nimefanya approximation masaa 5, yanabaki masaa 19, toa 8 ya kulala ,yanabaki masaa 11, toa masaa ya kufanya kazi serikalini masaa 8, yanabaki 3 kwa shughuli binafsi nje ya ajira, sasa unaona umeishiwa hoja unaanza bwabwaja Ahaahhaaahhaajhaajaj
 
Toa na masaa ya kulala. 8 Hours.

Ofisi gani itakubaliana na wewe. Kama sio kukukimbiza ukakae kwenu?.
Hapa hatujatoa masaa ya kutembea kwenda na kurudi ukielekea msikitini.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa na masaa ya kulala. 8 Hours.

Ofisi gani itakubaliana na wewe. Kama sio kukukimbiza ukakae kwenu?.
Hapa hatujatoa masaa ya kutembea kwenda na kurudi ukielekea msikitini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia juu ukasome tena, masaa ya kulala mbona nilishaweka ahahaha ahahahhahahhahah unatia huruma halafu Mungu alisema ufanye kazi au uajiriwe ? ahahahhaahhahaahahahhah
 
Hili jambo nilishakwambia sana , Uislamu auendeshwi kwa uzushi , kuna taratibu za kumpa mtu hatia ya makosa, na huo utaratibu Mungu ameeka lazima kuwe na mashahidi, sasa wewe umeshiba ugali wako unamsingizia Aisha uzinzi halafu tukuamini bila ushahidi? Ahahahhaahhahaahahahhah huo ni ujinga wa kiwango kikubwa ata mahakamani tu ushahidi mbele , kwanini Mungu aache wazushi walete uzushi ahahahhaahahaha dawa yao ni ushahidi
 

Haro hilo ndiyo matunda ya kunyweshwa Kojo la punda wa Ezekiel 23 20?? Ndio Yesu amejitangaza kuwa ni Mungu na kujibandika nyama ??
 
Hiyo chemchem ipo sehem gani longitude ngapi na latitude ngapi mimi nitakua mtu wa mwisho kukubaliana na hii hoja
 
Rudia juu ukasome tena, masaa ya kulala mbona nilishaweka ahahaha ahahahhahahhahah unatia huruma halafu Mungu alisema ufanye kazi au uajiriwe ? ahahahhaahhahaahahahhah
Kila Unaposwali Unalazimika kutawadha. Haya masaa hujaweka vizuri. Ni sehemu ya Sala.
Kisha tuhesabu na muda wa kwenda Masjid na Kugeuza. Hii bado haijatulia. Na bado Nina wasiwasi umeongeza na Taqiyah humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muongeze na clip hii ya (Christian Price - Part 3 Mohammed Hijab exposing...) Itafute kwenye Youtube.
humo kuna ndipo kuna muslim mwenzao anaongea mpaka na ushoga wa maswahaba.
Je kama swahaba alikuwa shoga je, Muhammad anaponaje?
Kumbe kichaa haponi uwa anapata nafuu, viclip viliisha umeanza tena Ahahahahaaaahahhahhaaha ukishajaa povu unaleta viclip
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…