Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Akibaka wake za watu anasingizia Mungu alimtokea na kumwambia afanye hivyo. Hivi kweli Mungu anaweza mwambie mtu eti baka tu ni haki yako?
Leta andiko amebaka wacha kelele nenda kamsome DAUDI wa kwenye biblia yako alimpataje mama yake mfalme selemani uje utoe majibu humu
 
Mkuu upo vizuri sana, kama hawakuelewi basi tena.
 
Utakaa sawa shetani tafsiri yake ni Mpingaji anaweza kuwa katika watu au katika majini kwa lugha nyepesi shetani ni sifa
Mkuu upo vizuri sana, kama hawakuelewi basi tena.
kisa cha DAUDI unakifahamu cha kuzini na mke wa uria mhiti?
 
Tatizo lako ni hili, huwa unaharibu mambo. Qur'an haisomwi kama unavyosoma makala ya gazeti kisha unaiona umeielewa, la hasha! Haisomwi hivyo na hapa ndipo wengi mnapochanganya habari na mnaharibu mambo.

Aya ya 10 kuhusu ahlul kahfi idadi uliyoitaja ya hao vijana siyo sahihi na mtirirko wa hizo aya Qur'an ipo wazi kabisa kwamba wapo waliyosema idadi yao ni 2 na wa 3 wao ni mbwa idadi ikaendelea mpaka wapo waliyosema idadi yao ni 6 na wa 7 wao ni mbwa. Na hayo yote yalikuwa yanasemwa na watu ambao walitofautiana idadi halisi ya hao watu wa mapangoni. Lakini mwisho kabisa Qur'an ikamalizia idadi kamili anayoijua ni Mungu pekee.

Kuhusu aya ya 60 inazungumza kuhusu habari za Musa a.s na kijana wake walifunga safari ya kwenda kukutana na MTU na Mungu akampa ishara nabii wake Musa a.s akiona mabadiliko Fulani ambayo yalikuwa ni ya samaki basi ndipo hapo wamefika kwa huyo mtu.

Huyo mtu hakuwa Muhammad s.a.w kama wewe unavyoandika bali huyo mtu alikuwa ni Hidhri. Na unafahamu ni kwa nini Musa a.s alipelekwa kwa hidhri? Unajua Hidhri ni nani? Na ni wapi uliona tafasiri inasema huyo ni Muhammad? Mkuu haya mambo yapo juu ya uwezo wako. Kusafu kwenye mitandao au kusoma Qur'an au ahadithi kutoka lugha mama ( kiarabu) kwenda kwenye lugha ya mhusika na kumfanya atambue kilichoelezewa, hakumfanyi kujua mantiki nzima ya kilichokusudiwa. Ukitaka kuyajua haya mambo ni sharti ukae chini ufundishwe. Kupekua kwenye mitandao au kusikiliza jambo kuhusu uislam kwenye memory card au kuangilia kwa video au kusoma makala yanayohusu uislam kama haujakaa chini ufundishwe, miaka 100 haya mambo hautayaelewa. Mtaishia kujichanganya na mwisho wa siku mnaharibu mambo.
 
Utakaa sawa shetani tafsiri yake ni Mpingaji anaweza kuwa katika watu au katika majini kwa lugha nyepesi shetani ni sifa

kisa cha DAUDI unakifahamu cha kuzini na mke wa uria mhiti?
Nakijua sana, Daudi alipata taabu sana baada ya kufanya hila na kumchukua mke wa mtu . Biblia ipo wazi kabisa.
 
Tatizo lako kubwa hujui kutofautisha nafsi ya kwanza,pili na tatu katika umoja na wingi na hii ni kutokana na uwezo wako wa kufikiri kuwa mdogo sana.Tatizo lako hili umelionyesha pia katika kisa cha watu wa pangoni,katika kisa hiki kuna makundi mawili la kwanza ni la watu wa pangoni na la pili ni la watu wa mji ambao yule mmoja wa pangoni alienda kununua vitu kwa hela ya miaka mingi iliyopita.
Kwahiyo ALLAH anazungumza mambo ya panda zote ambazo kuzungumziwa kwao kuna jambo ambalo watu wa ulimwengu wote wanapaswa kujifunza.Kwahiyo maongezi ambayo we umeyatolea mfano katika kisa cha watu wa pangoni ni mazungumzo kati ya yule mtu aliyetumwa na wenzake miongoni mwa watu wa pangoni pamoja na watu ambao yeye alienda kununua vitu kwakutumia ile hela ya zamani.
Kwahiyo kuna mazungumzo ya watu wa pangoni wenyewe kwa wenyewe,pili kuna mazungumzo kati ya mtu mmoja wa pangoni na wauzaji wa vitu katika mji ambao alienda kununua vitu
 
Mkuu unajua hata hayo maandiko uliyoweka ni tafsiri tu ya Qur'an kwa kiswahili,na hata waliyotafsiri ni hao hao wanachuoni,Sasa ukisema wanachuoni watakudanganya basi hata hayo maandiko uliyoleta hapa pia yawezakuwa wamedanganya.
 
Nakijua sana, Daudi alipata taabu sana baada ya kufanya hila na kumchukua mke watu. Biblia ipo wazi kabisa.
sasa mbona wamtolea povu mtume kumsingizia kubaka kumbe huko kwako mbakaji unae tena wamjua DAUDI na unakubali tena sio kubaka na mume wa huyo mwanamke alimuua
 
Mkuu unajua hata hayo maandiko uliyoweka ni tafsiri tu ya Qur'an kwa kiswahili,na hata waliyotafsiri ni hao hao wanachuoni,Sasa ukisema wanachuoni watakudanganya basi hata hayo maandiko uliyoleta hapa pia yawezakuwa wamedanganya.
kama khadir(hidhiri) amjui huyo awezi ielewe hiyo sura maisha yake yote hadithi za mtume zimekuja wazi kuhusu khadir na sababu za kuitwa ilo jina khadir na sababu ya nabii musa kwenda kumtafuta huko kwenye maji mm namuangalia najua hoja zake ni nyepesi
 
Wewe jamaa ni kufanya makusudi au ni kweli hauelewi?!. Wapi Hidhri huyo mtu aliyekutana na Musa a.s ndiye aliyemuhadithia habari za Dhul Qarnayn? Habari za Dhul Qarnayn + watu wa mapangoni asili ya haya maswali ni Wayahudi wa Madinnah, waliwatuma waarabu waende kwa Muhammad s.a.w wakaamulize hayo maswali na la tatu yake swali walilouliza wayahudi kwa Muhammad s.a.w ni nini roho. Lengo lilikuwa kujua kama kweli ni mtume au laa. Kwa sababu wayahudi na waisrael haya mambo wanayajua kwao imetoka mitume mingi, wanafahamu kuna mambo hayafahamiki isipokuwa kwa mitume tu ndiyo yanafahamika. Na ndiyo chanzo cha kushuka suratul Kahfi.

Hiyo sura ndiyo iliyobeba majibu ya maswali yao.
 
Wakiamua kufuta aya moja ina maana zote zilizobaki zinakosa hadhi ya kuwa kweli.
 
Neno "SEMA" ni fupi sana lakini kuonyesha kwamba ni muhimu sana na hata mtume alikuwa anasoma Quran hakuliondoa kwani linanyesha uhalisia kwamba aliyekuwa anaambia atamke hayò maneno ni mtu asiyejua chochote juu ya anachoambiwa.
Picha za Haa Mym zimetoa jibu sahihi na jibu linalotosha na huu mjadala huu kuisha.Kisa kinachozungumziwa cha jua kuzama kwenye matope anaambiwa mtu jinsi ambavyo mtu anayezungumziwa aliona jua kutokana na upeo wake kuwa mdogo kama wewe mtoa mada.Kwahiyo kutokana na uwezo wa ALLAH kuona yaliyomo vifuani mwa viumbe wake alikuwa anamwelezea habari ya mambo ya Ghaibu ambayo binadamu hana uwezo wa kuyajua kirahisi.Kwamfano Surat Jinn mtume hakuwepo wa hakuyasikia lakini ALLAH alimuelezea.Mfano wa kitu ambacho umekianzishia uzi kinafanana sana na kitu ambacho kimezungumziwa kwenye Surat Jinn.Soma aya ya kwanza ya Surat jinn halafu uniambie hayo maneno kazungumza nani?
 
Mi wasiwasi wangu sio kwa Muhamad wala simlaumu. Mimi wasiwasi wangu ni kwa yule GABRIEL.wake. ndio nina wasiwasi nae[emoji63]
 
Hadithi zao wenyewe hawaziamini. Shia watakwambia hizi ni za suni za uongo na suni nao watakwambia hizi za shia ni za uongo. Sasa haijulikani zipi hadithi sahihi.
 
Duuuh ww jamaa kichwa kizito kwelikweli al khadr ndio alikutana na musa kwenye maji ww uwe unasoma aisee unanchosha

Hatujakaa kwamba ni al khadr ndiye alikutana na Musa.Sasa tueleze mambo yafuatayo:

!. Uislamu umeanza miaka 500BK na Musa alizaliwa miaka ya 1500KK hivi.Je,huyo Al khadr anakuwaje Mja wake Mungu wakati uislamu haujakuwapo muda huo?

2.Ukisoma Vizuri sura ya 18, kuanzia ya 65 hadi 82, utaona ni mazungumzo kati ya Al khadr(kwa maelezo yako) na Musa juu ya mambo mbalimbali na kuanzia aya 83-86 ndio hizo habari za Dhul- Qarnaini zinajitokeza.SASA,hebu tuambie hapo Muhammad yuko wapi anapoelezewa na Mungu juu ya Dhul- Qarnaini.?
 
Kweli kabisa, yapo mengi yana changanya sana Mud anasema shetani ni mbaya ila jini kiumbe mzuri hana shida anaweza kushirikiana na binadam bila shida.
Sio hilo tu alimtolea mfano "MTUMWA" wake ambaye alikuwa ni mtu mweusi kuwa ndio shetani anafanania hivyo.
Supriseeeee:: Mohamed alikuwa na watumwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…