Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
allah ananafsi tatu
 
Kwanza Qur'an imeandikwa kimafumbo sana ili ufahamu aya inaelezea nini inahitaji ufikirie sana na uchunguze, kwanza kisa cha huyo ibn Qaanan ilikuaje mpaka akaambiwa aende huko akaangalie jua na ni maaeneo ya wapi inaweza ikawa ni maeneo yenye Mto, Ziwa au Bahari ambapo unapoliangalia Jua unaona km linazama kwenye Matope meusi hebu fanya uchunguzi uone
 
Sio kwamba hawawezi kufuta mkuu.Wameanza taratibu.Kuna App fulani za Kurani katika Lugha ya Kiswahili ziko kwenye Play store,zaidi ya 4,kuna aya zimefutwa kabisa hazionekani na ukichunguza ni aya ambazo zilikuwa zinaongea vitu irrelevant.
Naona sasa baada ya kubanwa umeamua kutafuta mlango wa kutokea.Kama ingekua rahisi kufuta maneno katika Quran basi mtume asingelitamka neno "SEMA" katika quran angekua asoma bila ya kutamka sababu yeye ndiye aliyekua anaambiwa "SEMA".lakini kwakua hakuna mkubwa mbele ya ALLAH alilitamka hili neno bila kuliacha hata kama limetamkwa mara kumi katika Sura moja.Hakika kwamfano wa neno hili kutoondolewa katika quran ni ushahidi tosha kwamba haya maneno ya ALLAH kuyafuta au kuyaondoa ni ngumu.
Swali langu kwa ndezi wote hivi kama imeshindikana kuliondoa ama kulifuta hili neno fupi tu "SEMA" kwa maelufu ya miaka hivi unawezaje kufuta Sura nzima ya Quran au Aya nzima.Wenye akili zao watanielewa
 
Daah...huu uzi uko jukwaa sahihi kabisa maana una hoja nzito sana. Kama na kwenye kitabu cha wakristu cha Biblia kuna sentensi inayosema Joshua alisimamisha jua....je huu si ushahidi kuwa Mungu anasema Jua ndilo huzunguka dunia na siyo vinginenvyo?
Joshua hakusema hivyo wala mungu,ila waandishi waliona jua halizami kwa zaidi ya masaa 12 wakaandika kwa uelewa wao usimguse mungu wala joshua
 


Tunakubaliana Mungu ndiye asili ya sayansi.Tatizo liko kwenye Mungu huyo huyo ambaye ni asili ya sayansi kuonekana anaeleza vitu ambavyo ni tofauti na ugunduzi wa Kisayansi,tena kwa kutumia vifaa vya kisayansi ambavyo ni Mungu huyo huyo kawajalia wanadamu kuvigundua.Tatizo lenu mumekariri Kurani na hamuelewi Contradictions zilizomo humo.Mungu hawezi kuwa anajipinga kwa mambo ambayo ni Yeye amehusika nayo.
 
Leta andiko amebaka wacha kelele nenda kamsome DAUDI wa kwenye biblia yako alimpataje mama yake mfalme selemani uje utoe majibu humu


Kulawiti mtoto wa miaka 9 (Aisha) wakati Mohammad akiwa na miaka 54, si ni kubaka huku? Na haya je, unasemaje?:

Muhammad forces a 17 yr old Jewish girl called Safiyyah to marry him and rapes her on the same day her husband and family are killed in the battle of Khaibar (Sahih Al-Bukhari, Volume 5, Book 59, Number 522, Volume 1, Book 8, Number 367).
 

Suala la Kurani kuandikwa katika mafumbo unalisema wewe.Ni wapi kumeandikwa kwamba imeandikwa katika mafumbo?Sasa kama imeandikwa kwa mafumbo toeni translating manuals basi.
 
hovyo kabisa...tupe reference na sisi tusome tujue.. ayo ulio yaandika hata nabii tito anaweza kuandika pia
 
Mkuu waislam wanajua kweli hii kitu au ni uzushi?


Waislam (waumini) wengi hawajuwi ukweli wao wanakariri tu wasivyojuwa ila masheikh wanajuwa na hawataki kuwaambia waumini wao kutokana na sababu za kiimani. Hapa hakuna habari yeyote iliyotungwa na kama kuna sheikh anasoma hayo niliyo andika anibishie kama kuna uwongo. Nimesoma advanced theology na kuona uozo wa dini zote mbili kuu (ukristo na uislam). Mohammad hakuwa nabii, alijipachika tu kwa kutafuta sifa na bahati mbaya wafuasi wake walikuwa mazuzu.
 
Kwanini umekimbilia kwa Yesu moja kwa moja? mimi nazungumzia vitendo viovu kiujumla kufanywa na manabii wa Mungu kama biblia ilivyoandika.

Maana kama hao wengine unaona ni sawa tu kufanya vitendo viovu basi iweje uwone ajabu kwa Muhammad? kwanini usione kuwa ni jambo la kawaida kwa manabii kufanya hivyo vitendo?
 
Suala la Kurani kuandikwa katika mafumbo unalisema wewe.Ni wapi kumeandikwa kwamba imeandikwa katika mafumbo?Sasa kama imeandikwa kwa mafumbo toeni translating manuals basi.
Kama unataka kuidadisi Qur'an vizuri jifunze Arabic kwanza au nenda kwenye darasa za Masheikh miskitini usikurupuke
Vipo vitabu vinavyotoa translaction ni vya Kiarabu, Tanzania bado hatujapata msomi alietafasiri na kutuletea kitabu huwa masheikh wanatafasiri kwenye Darasa zao miskitini.
 
Sheikh gani huyo anayejua?Kipozeo? achana akina Sheikh Kipozeo & Co hawa wako after money kazi kuzunguka zunguka kwa wasanii ili waonekane kwenye kideo eti umesoma Advanced theology daah wewe nimecheka mpaka nimepaliwa.Hiyo mitaala ya Theology unayozungumzia imeandaliwa VATICAN au unadhani hatujui.Nakuuliza swali unipe jibu,naomba uniambie
Kwanini neno "SEMA" mtume Muhammad alikua analitamka bila kuliacha hata kwakujisahau wakati yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa anaambiwa "SEMA" wakati anafundishwa Quran? Naomba unijibu hapo kwanza halafu tuendelee
 
hovyo kabisa...tupe reference na sisi tusome tujue.. ayo ulio yaandika hata nabii tito anaweza kuandika pia


Ndo tatizo lenu waislam, hamsomi kuelewa na wengi wenu hamjasoma Qu'ran bali mmekariri tu vijimistari msivyoelewa na kujiaminisha uwongo. Embu soma hii mistari ifuatayo kutoka kitabu cha Ibn Sa'ad, pp. 252 - 253. Ukimaliza njoo unikosoe na kama hujaelewa maana yake mtafute sheikh yeyote akufafanulie.
 


Ni kwa sababu Ukristu unahusishwa na Yesu na uislam na Mohammad, umeelewa tayari au bado? Yesu alimbaka nani?
 
Dada usiende mbali rudi kwenye aya ambayo mtoa uzi hajaelewa ambayo anataka kueleweshwa.Kwanza naomba uniambie neno ambalo linatumika kumfundisha mtu Lugha ambayo haielewi au anapofundishwa kusoma?
 
Wewe iweke hapa tuone wote nkienda kutafuta wengine hawataona. Tupia hapa hapa
 


Hii aya iko wazi na ni sahihi. Aya hii inazungumzia ikiwa dola inaongozwa kiislamu yaani sheria za dini ya kiislamu ndio inapofanya kazi.


Hapa wanazungumziwa washirikina yaani wasio muamini Allah,chini ya utawala wa kiislamu kama hawataki kuamini na huku wanaendelea kuenfelea kueneza maouvu yao ya ushirikina basi wauwawe.

Na wale watu wa kitabu wakiamua kuishi chini ya utawala wa kiislamu wanatakiwa kulipa kodi(jizya). Hivi ndivyo sheria inasema.

Na hakuba tatizo katika hilo. Kama ilivyo katika tawala nyingine muovu hatakiwi endelee kueneza maovu yake lazima azuiwe na apigwe vita.
 


Sasa kwa namna hii huoni kama watu wengi wameshapotoshwa? Unataka kutuambia kwamba toka mwaka 500BK, wakati Uislamu unaanza hadi leo hakujapatikana hapa wanazuoni waislamu waliobobea katika tafsiri za Kurani? Kwa hiyo,hata wewe unachokifanya hapa ni upotoshaji tu au? Hivi hiki Kiarabu ni lugha ya pekee sana duniani kuliko lugha nyingine hadi ionekane ni kitu ambacho lazima mtu ujipange katika kuifahamu au?
 
Tuweke tofauti za dini pembeni kwenye kujadili hii hoja,msema kweli mpenzi wa mungu mtoa mada umembwela sana.Rudia kusoma vizuri hiyo aya coz iko wazi kabisa yaani hapo ni swala lugha tu ndio imekugonga
 
Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
Soma vizuri mtoa mada itaelewa kwamba maneno haya kiuhalisia ulikua ni uwezo wa Dhul-Qarnaini alivyoona ni sawa na Mussa alivyoona moto unawaka akausogelea.Lakini si kwamba ALLAH ndiye aliliona jua na ndio maana akawaona watu sehemu ambayo yeye aliliona jua linazama kwenye chemchem ya matope
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…