allah ananafsi tatuUnamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo
Kwanza Qur'an imeandikwa kimafumbo sana ili ufahamu aya inaelezea nini inahitaji ufikirie sana na uchunguze, kwanza kisa cha huyo ibn Qaanan ilikuaje mpaka akaambiwa aende huko akaangalie jua na ni maaeneo ya wapi inaweza ikawa ni maeneo yenye Mto, Ziwa au Bahari ambapo unapoliangalia Jua unaona km linazama kwenye Matope meusi hebu fanya uchunguzi uoneTunakubali ni wanasayansi ni waongo.Kwa hiyo, Muhammad ndiye mkweli kwa kusema Jua lilizama katika dimbwi la matope? Tuonyeshe hayo matope yako nchi gani?Kama wanasayansi ni waongo wewe ume-type comment zako kwa kutumia device ambayo imetengenezwa na Kurani au na nani?
Naona sasa baada ya kubanwa umeamua kutafuta mlango wa kutokea.Kama ingekua rahisi kufuta maneno katika Quran basi mtume asingelitamka neno "SEMA" katika quran angekua asoma bila ya kutamka sababu yeye ndiye aliyekua anaambiwa "SEMA".lakini kwakua hakuna mkubwa mbele ya ALLAH alilitamka hili neno bila kuliacha hata kama limetamkwa mara kumi katika Sura moja.Hakika kwamfano wa neno hili kutoondolewa katika quran ni ushahidi tosha kwamba haya maneno ya ALLAH kuyafuta au kuyaondoa ni ngumu.Sio kwamba hawawezi kufuta mkuu.Wameanza taratibu.Kuna App fulani za Kurani katika Lugha ya Kiswahili ziko kwenye Play store,zaidi ya 4,kuna aya zimefutwa kabisa hazionekani na ukichunguza ni aya ambazo zilikuwa zinaongea vitu irrelevant.
Joshua hakusema hivyo wala mungu,ila waandishi waliona jua halizami kwa zaidi ya masaa 12 wakaandika kwa uelewa wao usimguse mungu wala joshuaDaah...huu uzi uko jukwaa sahihi kabisa maana una hoja nzito sana. Kama na kwenye kitabu cha wakristu cha Biblia kuna sentensi inayosema Joshua alisimamisha jua....je huu si ushahidi kuwa Mungu anasema Jua ndilo huzunguka dunia na siyo vinginenvyo?
Ndg kama umetumwa na wanasayansi its ok, lkn kama umeleta mjadala uli kuondoa dogmas tulia tuendelee na juhudi.
Mwanasayansi huyo alikuja hapa duniani hali hajui chochote bali chochote kile anachofanya Mungu ndiye chanzo.
Mungu ndiye chanzo cha ELIMU zote duniani.
Leta andiko amebaka wacha kelele nenda kamsome DAUDI wa kwenye biblia yako alimpataje mama yake mfalme selemani uje utoe majibu humu
Kwanza Qur'an imeandikwa kimafumbo sana ili ufahamu aya inaelezea nini inahitaji ufikirie sana na uchunguze, kwanza kisa cha huyo ibn Qaanan ilikuaje mpaka akaambiwa aende huko akaangalie jua na ni maaeneo ya wapi inaweza ikawa ni maeneo yenye Mto, Ziwa au Bahari ambapo unapoliangalia Jua unaona km linazama kwenye Matope meusi hebu fanya uchunguzi uone
hovyo kabisa...tupe reference na sisi tusome tujue.. ayo ulio yaandika hata nabii tito anaweza kuandika piaSoma utabiri wa sayansi aliousema Mohammad then jiulize kuna ukweli gani hapo, huko utakuja kugundua kuwa alikuwa mtu wa hajabu sana. Alikuwa anabaka na kuua watu at will yeye na jeshi lake. Kila akijisikia hamu ya kulala na mke wa mtu anasingizia kaoteshwa na Mungu, really....does Mungu allow this? Unajuwa watu waliokuwa wanamuabudu Mohammad at that time walikuwa mambumbumbu kama vile watu wanaomuamini T.B. Joshua na hawa manabii fake wa kiafrika, unakuta wengi wao hawana akili timamu wanaamini hata ujinga usio na akili. Mohammad ndiye nabii pekee ambaye hajawahi hata kufanya any miracle. Wayahudi walimuua kwa sababu walikuwa hawaamini kama kweli alikuwa nabii wa ukweli na wakasema tumpime kwa kumuwekea sumu kwenye chakula kwa sababu alikuwa mlafi sana, kama kweli atagundua chakula kina sumu kabla ya kula then atakuwa nabii wa ukweli na kama atakula bila kuoyeshwa na Mungu then atakuwa nabii fake. Unajuwa nini kilichojiri? Mungu hakumuonya, akala kile chakula ila kabla ya kumeza akagundua kiliwekwa sumu, wenzake alioukula nao wakafa pale pale huku wakibadilika rangi, yeye akaendelea kuugua kisha kufa kutokana na ile sumu. Hapa ndipo wayahudi na waarab wengine waliidhihirisha kuwa jamaa hakuwa nabii kweli.
Mkuu waislam wanajua kweli hii kitu au ni uzushi?
Kwanini umekimbilia kwa Yesu moja kwa moja? mimi nazungumzia vitendo viovu kiujumla kufanywa na manabii wa Mungu kama biblia ilivyoandika.Wapi katika Biblia Yesu alibaka na kufanya vituko kama vya Mohammad, nitajie. Usikurupuke....watu tumesoma vitabu vyote hivi, Biblia na Qu'ran na ndiyo maana tunajiuliza uhalali wa unabii wa Mohammad. Eti nabii kila mara anabaka kisha anasingizia eti Mungu kamuotesha.
Kama unataka kuidadisi Qur'an vizuri jifunze Arabic kwanza au nenda kwenye darasa za Masheikh miskitini usikurupukeSuala la Kurani kuandikwa katika mafumbo unalisema wewe.Ni wapi kumeandikwa kwamba imeandikwa katika mafumbo?Sasa kama imeandikwa kwa mafumbo toeni translating manuals basi.
Sheikh gani huyo anayejua?Kipozeo? achana akina Sheikh Kipozeo & Co hawa wako after money kazi kuzunguka zunguka kwa wasanii ili waonekane kwenye kideo eti umesoma Advanced theology daah wewe nimecheka mpaka nimepaliwa.Hiyo mitaala ya Theology unayozungumzia imeandaliwa VATICAN au unadhani hatujui.Nakuuliza swali unipe jibu,naomba uniambieWaislam (waumini) wengi hawajuwi ukweli wao wanakariri tu wasivyojuwa ila masheikh wanajuwa na hawataki kuwaambia waumini wao kutokana na sababu za kiimani. Hapa hakuna habari yeyote iliyotungwa na kama kuna sheikh anasoma hayo niliyo andika anibishie kama kuna uwongo. Nimesoma advanced theology na kuona uozo wa dini zote mbili kuu (ukristo na uislam). Mohammad hakuwa nabii, alijipachika tu kwa kutafuta sifa na bahati mbaya wafuasi wake walikuwa mazuzu.
hovyo kabisa...tupe reference na sisi tusome tujue.. ayo ulio yaandika hata nabii tito anaweza kuandika pia
Kwanini umekimbilia kwa Yesu moja kwa moja? mimi nazungumzia vitendo viovu kiujumla kufanywa na manabii wa Mungu kama biblia ilivyoandika.
Maana kama hao wengine unaona ni sawa tu kufanya vitendo viovu basi iweje uwone ajabu kwa Muhammad? kwanini usione kuwa ni jambo la kawaida kwa manabii kufanya hivyo vitendo?
Dada usiende mbali rudi kwenye aya ambayo mtoa uzi hajaelewa ambayo anataka kueleweshwa.Kwanza naomba uniambie neno ambalo linatumika kumfundisha mtu Lugha ambayo haielewi au anapofundishwa kusoma?Ndo tatizo lenu waislam, hamsomi kuelewa na wengi wenu hamjasoma Qu'ran bali mmekariri tu vijimistari msivyoelewa na kujiaminisha uwongo. Embu soma hii mistari ifuatayo kutoka kitabu cha Ibn Sa'ad, pp. 252 - 253. Ukimaliza njoo unikosoe na kama hujaelewa maana yake mtafute sheikh yeyote akufafanulie.
Wewe iweke hapa tuone wote nkienda kutafuta wengine hawataona. Tupia hapa hapaNdo tatizo lenu waislam, hamsomi kuelewa na wengi wenu hamjasoma Qu'ran bali mmekariri tu vijimistari msivyoelewa na kujiaminisha uwongo. Embu soma hii mistari ifuatayo kutoka kitabu cha Ibn Sa'ad, pp. 252 - 253. Ukimaliza njoo unikosoe na kama hujaelewa maana yake mtafute sheikh yeyote akufafanulie.
(1) “Fight against those who do not obey Allah and do not believe in Allah or the Last Day and do not forbid what has been forbidden by Allah and His messenger even if they are of the People of the Book until they pay the Jizya with willing submission and feel themselves subdued.” 9:29
Kama unataka kuidadisi Qur'an vizuri jifunze Arabic kwanza au nenda kwenye darasa za Masheikh miskitini usikurupuke
Vipo vitabu vinavyotoa translaction ni vya Kiarabu, Tanzania bado hatujapata msomi alietafasiri na kutuletea kitabu huwa masheikh wanatafasiri kwenye Darasa zao miskitini.
Tuweke tofauti za dini pembeni kwenye kujadili hii hoja,msema kweli mpenzi wa mungu mtoa mada umembwela sana.Rudia kusoma vizuri hiyo aya coz iko wazi kabisa yaani hapo ni swala lugha tu ndio imekugongaSasa kwa namna hii huoni kama watu wengi wameshapotoshwa? Unataka kutuambia kwamba toka mwaka 500BK, wakati Uislamu unaanza hadi leo hakujapatikana hapa wanazuoni waislamu waliobobea katika tafsiri za Kurani? Kwa hiyo,hata wewe unachokifanya hapa ni upotoshaji tu au? Hivi hiki Kiarabu ni lugha ya pekee sana duniani kuliko lugha nyingine hadi ionekane ni kitu ambacho lazima mtu ujipange katika kuifahamu au?