Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Sijapanga kukosa
 
Nijibu namimi swali langu,je Mtume SAW anamjua Dhul-Qurnain?
Ukinijibu tutaendelea kulinganisha vinavyolinganga

Huko mimi siko huko wala hakunihusu sijui Quran, mimi na Biblia na Biblia na mimi,
tumeshadanganywa hapa tena na mistari ya Biblia ikanukuliwa kuwa Yesu alizungumzia/ahidi ujio wa Mtume SAW ambaye ni Roho Mtakatifu. Ndio maana na tahadarisha Musa anahusishwa vipi na Mtume SAW? Isije kuwa tena ni ule uhusiano wa Yesu na roho mtakatifu Mtume SAW ambao ni uongo mweupeee kwa kila mtu kujionea.
 
Kila akifanya kitu cha ajabu anadondosha aya kujitetea. Alitamani mkwe wa mwanae wa kuasili...watu wakshangaa kabla hawajashangaa vizuri akawapa aya kuwa Allah kamkubalia.
 
Si ndio maana huyo dada wa kiyahudi akampa sumu. Na jamaa akailamba kweli. Huyo dada alipoulizwa akasema huyu jamaa kaniulia familia yangu yote so nilimpa hii sumu nijue kama kweli ni mtume basi haitamdhuru lakini kama ni muongo basi atakufa. Na ikamuua.
 
Wataikataa hiyo hadithi watakwambia ni ya uongo
 
Kweli bwana kuna yule jamaa wao maarufu msoma quaran maarufu sijui wa india yule sijui pakistani anaitwa someone zarki kitu kama hicho anawafuas kibao waislam wanamkubali kwamba ndio jembe lao eti si ndio akasoma mathayo kuwa Yesu alipongelea kuhusu Roho Mtakatifu eti ndio alikuwa anaongealea kuhusu ujio wa MO ....nilicheka mpaka machozi. Yaani wanatafuta kila kipande wahalalishe kuhusu Mohamed.
Akasahau ule mstari akiuanza mwanzo akamaliza mpaka mwisho anakuwa kauzika uislam MAZIMA.
 
Halooo ww nan kakwambia uislamu umeanza 500BK ? mbona unakurupuka sana kijana
 
Sio hilo tu alimtolea mfano "MTUMWA" wake ambaye alikuwa ni mtu mweusi kuwa ndio shetani anafanania hivyo.
Supriseeeee:: Mohamed alikuwa na watumwa
Unashangaa mohamadi kuwa na watumwa ? hivi mnasoma maandiko kweli?
 
Acha porojo hoja yako nn?
 
Wataikataa hiyo hadithi watakwambia ni ya uongo
Hizi hadithi tumeshajibu sana lakn uelewi hiyo hadithi ni sahihi na mtume amemuoa bila tabu huyo ni mtoto wa abubakari swahaba mkubwa kuhusu huyo safiyah soma hadithi vizuri ukikuta neno rape leta hapa usilete masimulizi yasiyo na kichwa wala miguu
 
Alipokonywa ufalme au alibaki nao kwa kitendo alichofanya?
 

That means Islam cannot coexist with other civilizations. Ndio mana kila utamaduni duniani una mgogoro na uislam
 
Kichwa kizito kweli hayo masimulizi (kuna msimuliaji (Allah) na msi
unaanza kuelewa sasa dhul qarnaini aliona kwenye upeo wa macho yake jua likizama kwenye matope over swali jingine
 
That means Islam cannot coexist with other civilizations. Ndio mana kila utamaduni duniani una mgogoro na uislam
uislamu ni mfumo wa maisha unajitosheleza na unaweza kuishi na watu wa tamaduni nyingine kama vigezo na masharti vitafuatwa
 
Utamu wa mwanamke yesu aujui ebu toa mifano yenye uhalisia kama NUHU
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…