Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Wa Yesu walikuwa bado wanafunzi na Mwalimu Mkuu Yesu Yupo Hai Anaendelea KUTOA darsa [emoji117] View attachment 847841 muhammad kafa nani anawasomea aya za allah?

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Ahaahahahahahaha kumbe maandiko yenu ayajakamilika ndio maana kila siku mnasomewa yohana amesema kweli
YOHANA 20:30
;";Basi kuna ISHARA nyingine nyingi alizozifanya Yesu mbele ya wanafunzi wake ZISIZOANDIKWA katika kitabu hiki;"

salaleeee kumbe mmeacha vitu kibao amjaandika ndio maana kila siku mnasomewa sisi waislamu tumesomewa kila kitu na dini imekamilika
5:3(leo NIMEKUKAMILISHIENI Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo dini ;"
Sisi waislamu hatuitaji jambo jipya uislamu umekamilika uko kamili gado ww endelea kuedit ishara za yesu nakuchagua unachokipenda ndio uandike halafu mwenyewe unaita kitabu Ahahahaahaa
 

wee si mjuzi povu ya nini weka na hii [emoji117]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya amejifanyia mtoto? ndio yule wa pekee mnaofundisha watu uongo kuwa Mungu ana mwana wa pekee au mmesahau bikira Maria mama wa Mungu ahahahhahahahahahaaahhaha
Sawa [emoji4] naomba unijibu wewe na mimi tumekubaliana kwamba Mungu ana Wana wengi pamoja na Yesu...jee allah anakubaliana na sisi? Na kama hakubaliani nasi ni Uwana Wa aina gani anao kubaliana nao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe daudi muhammad kukusomea lini [emoji15] [emoji47] itakamilika tu kwa kuwasomea aya zake watu wote wooote... Hiyo kusomewa aya za allah kakamilisha lini? Kwa watu wa maka na pembeni sibishiii sana'aa inawezekana kawasomea! Tatizo wewe hau na kujikomba komba kukusomea lini? ona mnavyo swali peku peku kawaagiza nani? Ndiyo athari za kutowasomea [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaahhhahaahaha ndio nini sasa ahahahahhahahahahhaqha

Ndio nini [emoji15] [emoji4] Habari ndio hiyo shukuru Mungu kwa kuyafahamu kesho utaambiwa mbona tulimtuma mgen akufungue ukatakabari [emoji4] shituka hata allah alipo kupiga ban usiulize [emoji117] halafu ona na hii [emoji117] nashukuru wewe daudi umepuuza agizo la allah ili ujue Kweli iko wapi...[emoji4] ingekuwa umechimba humu mengi ya muhammad kama alivyo ishughulikia maiti usinge yajua hau [emoji4] Nimshukuru mushahara basi [emoji15] [emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahaahhahahahhahahahahaahhahaha unatapatapa sana UISLAMU umekamilika kabisaaa amesoma aya zote akamaliza akakamilisha hilo povu lako hakuna wakukusaidia
5:3;" Leo NIMEKUKAMILISHIENI dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo dini;"
sasa unapopuyanga unasikitisha kweli kweli dini yetu mtume alishakamilisha kazi kwenu

WAKINA Yohana wameshindwa kukamilisha dini yenu na kuminyofolea wanayaona wao yanafaa na kuyaacha wanayoona wao hayafai hata kama kafanya yesu
YOHANA 20:30
",Basi kuna ishara nyingine nyingi alizozifanya yesu mbele ya wanafunzi wake,ZISIZOANDIKWA katika kitabu hiki;"
Nyie wakristo dini yenu bado endeleeni kusomewa na mtafute na yale maandiko aliyoyaacha yohana sio unanililia mimi
 

YAANI HUONI AJABU HAPO [emoji15] [emoji4] HII NI AJABU [emoji117] KTK KUUNYANG'ANYA MSAFARA WA ABU SUFYANI, WALICHUKUA MALI NYIMGI DHAHABU, WANYAMA, HADI MBUGUMA! ALIWAGUNDUA WALE WANYANG'ANYI WENZIE KWAMBA WANATAKA NGAWIRA IGAWANYWE NDIPO AKAWACHIMBIA MKWARA KWAMBA HAPATI MTU KITU MALI NI YAKE NA ALLAH [emoji15] [emoji4] KWA HIYO ULE MGAO AKICHUKUA MBUGUMA.3 ALLAH NAYE.3 DHAHABU, WANYAMA, MAJAMBIA, TENDE, MAGARI VYOTE NI NUSU KWA NUSU [emoji4]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
;" Inapo teremshwa Quran mtabainishwa ;" ahahahahaahahahahhaaha shida iko wap kumbe hakuna haja ya kuuliza kwasababu QURAN ikishuka itabainisha lipi kweli au lipi uongo ahahahaahahqh unaleta maandiko hata utaelewi masikini kijana yuko hoi
34:28
",Na hatukukutuma ila kwa WATU WOTE , uwe mbashiri , na mwonyaji, lakini WATU WENGI HAWAJUI;"

ahahahaha baki na ujinga wako nyie ndio watu msiojua Ahahahahahajaaaa Mohammad yuleeeeeee
 
Ahahahhahahahahahahahahahaha hii nayo hoja baada ya kushinda vita mali na watu ni mali ya mshindi na hiyo ndio hukuma sasa hicho nacho ni hoja ahahahahhahhahahhh kweli umekwisha
 
wee si mjuzi povu ya nini weka na hii [emoji117] View attachment 848259

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaahahahahahhaahahhaha ata sijui hiyo hadithi umeokota wap kwenye bukhari 2393 hadithi ni hii

;"Narrated that Hisham ibn Urwah said that , his father said that ,Aisha said that Allah prophet ,PBU , said to Um Salamah , his wife ," Do not hurt me regarding Aishah, as the divine inspirations do not come to me while Iam Fee the Thaub of any woman , except that of Aishah;"


Ahahahhaahaahhaaaaaaahhah sasa unapokuja na tafsiri za SAM SHAMOUN ukasema ni hadithi tunakushangaa sana hiyo itakuwa bukhari wa vatican
 




IMEKAMILIKA KWA WALE ALIO WASOMEA KABLA HAJAFA! NAO WENGI WAMEFIA VITANI [emoji38] WEE KUJIPA MOYO HAIKUSAIDII HAU! ONA DALILI HIZI View attachment 848390 NDIO UJUE DEEN SI MALI KITU HADI MNAKUFA MKIZIKIMBIA NCHI ZENU KUKIMBILIA KWA WALE ALLAH AMEWAAGIZA MUWAUWE [emoji117] [emoji15] [emoji15] poleni sana



Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Mpokeaji amekwisha kufa [emoji38] kwa akili zako bado unangojea tu zishuke [emoji15] [emoji23] [emoji23]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Ahahahhahahahahahahahahahaha hii nayo hoja baada ya kushinda vita mali na watu ni mali ya mshindi na hiyo ndio hukuma sasa hicho nacho ni hoja ahahahahhahhahahhh kweli umekwisha
Kwa hiyo allah naye anagawiwa mbuguma....[emoji15] [emoji47] ndio hoja hapo unajifanya huoni eeh [emoji15] [emoji4]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 

usishangae weka na hii [emoji117] [emoji38] [emoji38]

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufahamu wako kuna Vitabu vingapi?

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…