Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Naombeni jibu kwenye kisa cha Mussa alivyouona moto unawaka jangwani,je ni kweli moto ulikua unawaka au ilikua ni ishara ambayo ALLAH aliitumia ili mussa asogee karibu.Tuanzie hapo kwanza halafu soma.Na hapo akawakuta watu:Tukasema Ewe Dhul-Qarnaini.Ama uwaadhibu au uwatwae kwa wema
 
Ni kwa sababu Ukristu unahusishwa na Yesu na uislam na Mohammad, umeelewa tayari au bado? Yesu alimbaka nani?
Mkuu sijakuelewa kabisa,maana hoja yangu ni vitendo viovu kwa manabii kama vilivyoandikwa kwenye biblia.

Iwe kubaka,kuzini au kuuwa hiyo vyote ni vitendo viovu ambavyo haikupaswa kwa nabii kuwa navyo.
 
Haya kwenye hii Picha jua linazama baharini?Nenda kamuulize padri wako au Nabii wako kanisani halafu uje kutujibu


Huwa hatumulizi Padri au Nabii tunasoma wenyewe kwa muongozo wa Roho Mtakatifu msaadizi tuliye achiwa na Bwana Yesu/Mungu baada ya yeye kurudi mbinguni.

Deuteronomy 18: 21-22.

21 " You may wonder how you can tell when a prophet 's message does not come from the LORD.

22. If a prophet speaks in the name of the LORD and what he says does not comr true, then it is not the LORD's message. That prophet has spoken on his own authority, and you are not to fear him." Maneno ya Mussa mwenyewe.
 
Quran (8:12) - "(Remember) when your Lord inspired the angels... "I will cast terror into the hearts of those who disbelieve. Therefore strike off their heads and strike off every fingertip of them" No reasonable person would interpret this to mean a spiritual struggle, given that it both followed and preceded confrontations in which non-Muslims were killed by Muslims. The targets of violence are "those who disbelieve" - further defined in the next verse (13) as those who "defy and disobey Allah." Nothing is said about self-defense. In fact, the verses in sura 8 were narrated shortly after a battle provoked by Muhammad, who had been trying to attack a lightly-armed caravan to steal goods belonging to other people. (See also: Response to Apologists)

Quran (8:15) - "O ye who believe! When ye meet those who disbelieve in battle, turn not your backs to them. (16)Whoso on that day turneth his back to them, unless maneuvering for battle or intent to join a company, he truly hath incurred wrath from Allah, and his habitation will be hell, a hapless journey's end."

Quran (8:39) - "And fight with them until there is no more fitna (disorder, unbelief) and religion is all for Allah" Some translations interpret "fitna" as "persecution", but the traditional understanding of this word is not supported by the historical context (See notes for 2:193). The Meccans were simply refusing Muhammad access to their city during the pilgrimage. Other Muslims were allowed to travel there - but not as an armed group, since Muhammad had declared war on Mecca prior to his eviction. The Meccans were also acting in defense of their religion, as it was Muhammad's intention to destroy their idols and establish Islam by force (which he later did). Hence the critical part of this verse is to fight until "religion is only for Allah", meaning that the true justification of violence was the unbelief of the opposition. According to the Sira (Ibn Ishaq/Hisham 324) Muhammad further explains that "Allah must have no rivals." (See also: Response to Apologists)

Quran (8:57) - "If thou comest on them in the war, deal with them so as to strike fear in those who are behind them, that haply they may remember."

Quran (8:67) - "It is not for a Prophet that he should have prisoners of war until he had made a great slaughter in the land..."

Quran (8:59-60) - "And let not those who disbelieve suppose that they can outstrip (Allah's Purpose). Lo! they cannot escape. Make ready for them all thou canst of (armed) force and of horses tethered, that thereby ye may dismay the enemy of Allah and your enemy." As Ibn Kathir puts it in his tafsir on this passage, "Allah commands Muslims to prepare for war against disbelievers, as much as possible, according to affordability and availability." (See also: Response to Apologists)

Kweli ni menu ya ugaidi..[emoji15]
ccf9053d1a5bc93b7d2c77af86860b56--islam-religion-islam-muslim.jpg
 
Huwa hatumulizi Padri au Nabii tunasoma wenyewe kwa muongozo wa Roho Mtakatifu msaadizi tuliye achiwa na Bwana Yesu/Mungu baada ya yeye kurudi mbinguni.

Deuteronomy 18: 21-22.

21 " You may wonder how you can tell when a prophet 's message does not come from the LORD.

22. If a prophet speaks in the name of the LORD and what he says does not comr true, then it is not the LORD's message. That prophet has spoken on his own authority, and you are not to fear him." Maneno ya Mussa mwenyewe.
Acha kuruka ruka nijibu swali langu we kama unasoma mwenyewe au unafundishwa mimi hainihusu.Je ni kweli Mussa alikuta moto unawaka kweli au kuonekana moto unawaka ili kuwa sababu ya Mussa kusogea eneo lile?Acha kurukaruka jibu swali
 
Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
Soma vizuri mtoa mada itaelewa kwamba maneno haya kiuhalisia ulikua ni uwezo wa Dhul-Qarnaini alivyoona ni sawa na Mussa alivyoona moto unawaka akausogelea.Lakini si kwamba ALLAH ndiye aliliona jua na ndio maana akawaona watu sehemu ambayo yeye aliliona jua linazama kwenye chemchem ya matope

kuna mambo munatuchanganya sana Na tunafahamu ni kwa sababu gani munafanya hivyo. Tuwekeni wazi ni nani Na nani wanasimuliana habari za Jua hapo?
 
Nakuuliza maswali kujibu hujibu kazi kuruka ruka,niambie sababu ya kuteremshwa Suratul Qafirun.Kwahiyo unataka waiislam wakae kimya wakati makafiri wanawapiga?

Hapa baba kassim kapigwa na nani [emoji117]
IMG_20180710_070842_596.jpg
nyinyi waislamu dirisha dogo ni mstatizo kwa sana! Ndio sababu waarabu wenye deen yao wanaona mnajipendekeza [emoji117]
IMG_20161005_172807.jpg
 
kuna mambo munatuchanganya sana Na tunafahamu ni kwa sababu gani munafanya hivyo. Tuwekeni wazi ni nani Na nani wanasimuliana habari za Jua hapo?
ALLAH kwenye Quran anamuelezea Mtume Muhammad visa vya watu fulani na sehemu nyingine anayazungumza maneno yaliyozungumzwa na nafsi ya tatu katika wingi au umoja.Ndio maana mtoa mada nakuambia wewe swala la lugha ndio limekupa tatu.
Kwahiyo zingatia na uelewe kwamba ALLAH katika Quran anazungumzia au anahadithia watu na vitu katika nafsi ya tatu umoja na wingi.Hata kwenye visa vinavyozungumzia ndege na wanyama yeye ndiye ameyazungumza katika kuhadithia kwani yeye ndiye mwenye elimu ya ghaibu ya kusikia viumbe vyote alivyoviumba na ndio maana kuna baadhi ya manabii aliwapa uwezo wa kusikia na kuelewa sauti za ndege,wadudu na wanyama
 
Hapa baba kassim kapigwa na nani [emoji117] View attachment 817483 nyinyi waislamu dirisha dogo ni mstatizo kwa sana! Ndio sababu waarabu wenye deen yao wanaona mnajipendekeza [emoji117] View attachment 817484
Nipe aya inayoeleza kwamba Uislam ni dini ya waarabu?Acha kuruka ruka na kutoka nje ya Aya alizozizungumzia mtoa uzi,nijibu kuhusu Mussa kuona moto unawaka jangwani,je ni kweli kulikua na moto unawaka au Mussa yeye ndio aliuona moto au ALLAH ndio aliuona moto?
 
I believe in God, but I love much science. Dini sitairuhusu inizuie kujifunza scientific matters.
 
ALLAH kwenye Quran anamuelezea Mtume Muhammad visa vya watu fulani na sehemu nyingine anayazungumza maneno yaliyozungumzwa na nafsi ya tatu katika wingi au umoja.Ndio maana mtoa mada nakuambia wewe swala la lugha ndio limekupa tatu.
Kwahiyo zingatia na uelewe kwamba ALLAH katika Quran anazungumzia au anahadithia watu na vitu katika nafsi ya tatu umoja na wingi.Hata kwenye visa vinavyozungumzia ndege na wanyama yeye ndiye ameyazungumza katika kuhadithia kwani yeye ndiye mwenye elimu ya ghaibu ya kusikia viumbe vyote alivyoviumba na ndio maana kuna baadhi ya manabii aliwapa uwezo wa kusikia na kuelewa sauti za ndege,wadudu na wanyama


Kwa hiyo mpaka hapo tu-save kwamba katika sura hiyo ya 18 ya Kurani anayeongea ni Allah Na Muhammad? Kama ndivyo, ina maana ni Allah ndiye alimuona Dhul-Qarnaini akiwa analiona Jua linazama matopeni Na siyo Al Takhadr kama baadhi ya wanazuoni walivyotueleza?
 
Nipe aya inayoeleza kwamba Uislam ni dini ya waarabu?Acha kuruka ruka na kutoka nje ya Aya alizozizungumzia mtoa uzi,nijibu kuhusu Mussa kuona moto unawaka jangwani,je ni kweli kulikua na moto unawaka au Mussa yeye ndio aliuona moto au ALLAH ndio aliuona moto?
Kwenye biblia hakuna neno Allah, rekebisha swali!
 
Nipe aya inayoeleza kwamba Uislam ni dini ya waarabu?Acha kuruka ruka na kutoka nje ya Aya alizozizungumzia mtoa uzi,nijibu kuhusu Mussa kuona moto unawaka jangwani,je ni kweli kulikua na moto unawaka au Mussa yeye ndio aliuona moto au ALLAH ndio aliuona moto?

Aya hii hapo [emoji117]
IMG_20180724_190342_568.jpg
 
Acha kuruka ruka nijibu swali langu we kama unasoma mwenyewe au unafundishwa mimi hainihusu.Je ni kweli Mussa alikuta moto unawaka kweli au kuonekana moto unawaka ili kuwa sababu ya Mussa kusogea eneo lile?Acha kurukaruka jibu swali


Musa ana mjua Mtume SAW labda tuanzie hapo? Kivipi? Tusije linganisha visivyo lingana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom