Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Si ndio maana huyo dada wa kiyahudi akampa sumu. Na jamaa akailamba kweli. Huyo dada alipoulizwa akasema huyu jamaa kaniulia familia yangu yote so nilimpa hii sumu nijue kama kweli ni mtume basi haitamdhuru lakini kama ni muongo basi atakufa. Na ikamuua.


Very good. Umeelewa na hii imendikwa ila waislam watapinga, sijuwi kwanini hawataki ukweli.
 
Aya matusi tumeyazoea lakn kwa vile hoja zako ni nyepesi ndio maana unaongea vitu vya ovyo leta maandiko tupambane mm sihitaji kelele


Maandiko nilishaweka, yaani unafanya mchezo nirudie rudie kitu nilichoweka tayari? Hivi kwanini hampendi kufunguliwa macho, wenzenu tunawasaidia ili mpevuke.
 
hizi kelele tumezizoea maana kila mtu ana uhuru sisi tunaangalia ukija na hoja za maandiko tutakujibu kimaandiko lakn izo kelele za chura atunaga mda nazo
wee Leo umesema la maana! Kumbe Ilimu islamu ni kelele za chura [emoji15] halafu bado unajiita muislamu [emoji38] [emoji38] [emoji38] kweli ashki majunun[emoji4]
 
Maandiko nilishaweka, yaani unafanya mchezo nirudie rudie kitu nilichoweka tayari? Hivi kwanini hampendi kufunguliwa macho, wenzenu tunawasaidia ili mpevuke.
Nimeshakwambia leta andiko ndani ya hadithi ukikuta neno rape au married pigia mstari sio unatuletea ufafanuzi wako badala ya maandiko wacha andiko lizungumze kama lilivyo aya lete
 
Nitajie dhehebu moja linalo pinga KUTESWA, KUFA, NA KUFUFUKA KWA YESU! Hapo ndio mjue kwamba wooote Wanamhubiri Yesu Kristo! Nyinyi deen yenu mmefikia hata kumpinga allah na baba kassim...ref; suni, shia and the like wanaamini Yesu hakuteswa, wala kufa! Qadian wanaamini Yesu KUTESWA na KAFA! Umeona mtafaaruku baina Yenu?? Umeona mlivyo na shaka na kuhitilafiana kama allah alivyo sema kwa kinywa cha baba kassim! [emoji117] View attachment 818103
Ahahhahahahahahah acha kujitoa akili ww kwann Martin luther king aliondoka roman Catholic ? tofauti mnazo kubwa tu wengine siku ya sabato awafanyi kazi ww na wenzio amuitambui mnabeba zege nakupiga kazi kama kawa sasa unakataa nn ww
 
Kupiga Yesu kufa ni ukosefu wa mataifa swala la Yesu kufu ni records inayotambulika hata kwa mamlaka ya warumi walikuwa watawala
Jukumu ilioandikwa
Ikatekelezwa
Sasa wanaodai Yesu hakuteswa wala hakufa hawamtaji alieteswa na kufa badala ya Yesu ...jinsi walivojaa porojo na dhahania
Ni upuuzi yaani kinyago chako umekichonga mwenyewe alafu kinakutisha yaani ibilisi ananguvu mpaka anamtoa mungu wako mafichoni aje atundikwe kama ndafu ndio eti uokolewe hivi mna akili nyinyi
 
Nitajie dhehebu moja linalo pinga KUTESWA, KUFA, NA KUFUFUKA KWA YESU! Hapo ndio mjue kwamba wooote Wanamhubiri Yesu Kristo! Nyinyi deen yenu mmefikia hata kumpinga allah na baba kassim...ref; suni, shia and the like wanaamini Yesu hakuteswa, wala kufa! Qadian wanaamini Yesu KUTESWA na KAFA! Umeona mtafaaruku baina Yenu?? Umeona mlivyo na shaka na kuhitilafiana kama allah alivyo sema kwa kinywa cha baba kassim! [emoji117] View attachment 818103
Ahahahahahaahhaha unaleta habari za qadian kama reference yako kweli umepagawa
 
Halafu unajifanya unajua [emoji12] wee hujui kwamba hujui [emoji4] allah kwa kinywa cha baba kassim amekufundisha kwamba [emoji117] 'kila Umma tumewajaalia kawaida yao ya Ibada na sheria zao! Sivyo? au ndiyo wazimu Wa maswali [emoji15] [emoji12] [emoji117] View attachment 818084 halafu mmezuiwa kuuliza maswali na allah lakini kwa ukafir ulio wajaeni unaendeleza kumbishia!
huyo ni tapeli Paulo anaejiita mtume wa yesu
 
Kila akifanya kitu cha ajabu anadondosha aya kujitetea. Alitamani mkwe wa mwanae wa kuasili...watu wakshangaa kabla hawajashangaa vizuri akawapa aya kuwa Allah kamkubalia.
Ya lutu kuwatafuna wanae wa kuwazaa hadi kuwajaza mimba kwako sawa eheeeee? unashtuka ya mtoto wa kuasili kwa mohamadi
 
Ahahahahahaahhaha unaleta habari za qadian kama reference yako kweli umepagawa

Kama kupagawa ni baba kassimu [emoji117] hitlafu baina Yenu Ipo? Huyu ndiye aliye pagawa!
pmm-magic.jpg
Mnahitilafia na hamna yakini kati yenu au hapana?! Wakristo gani wanahirilafiana Kuhusu Kisa cha Yesu KUTESWA na KUFA kwake?
 
Ya lutu kuwatafuna wanae wa kuwazaa hadi kuwajaza mimba kwako sawa eheeeee? unashtuka ya mtoto wa kuasili kwa mohamadi

daah [emoji15] [emoji12] baba kassim ka-c&p hadi kwa lutu na kuanza kuwashughulikia, wakwe zake, watoto wadogo, na hadi kukaza maiti! na hii ya kuwasamehe wanao lana mivutu na wanyama...ka-c&p wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom