Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Ok!, umeandika ulichoandika. Kwa upeo wako umejaribu kumtumia Mtume Muhammed ukiwa
na maana kuwa uislam ndio unasema hivyo.
Swali kwako je ukristo na yesu wanasemaje kuhusu habari za jua ulizoandika. Mbona hukutwambia
Naanza na hilo
Asante

Mimi nimeandika kutokea Angle hiyo ya Kurani.Wewe andika kutokea Angle ya Biblia.
 
He cant be a God and a human at the same time.

Being a human means you have limitations and you are mortal while being God means you have no limitations and you are immortal so unless you explain to us how is it logically posible to have limitations and non limitations at the same being in the same time and how somebody can be mortal and immortal at the same time then yes God can not become a human being, why would he btw?

The doctrine of trinity is fraud at itself and you dont need islam or judaism to prove it right. Yaani usitegemee eti kwa kukuta makosa kwenye uislamu basi ndio ukristo unakuwa sahihi. Hapana, even if you take islamu and all this dhul qarnayn outta picture you still got to explain how is trinity possible. Proof from the book the bible, proof from history from the earliest believers were they trinitarian? and proof from reasoning like how is three Gods become one God logically.

When we are saying YAHWEY are we refering to both father son and holy spirit? If so how do you explain Genesis 19:24 when Yahwey rained sodom and gomora with fire from Yahwey in heaven?
First how did you know how to end-up in only three spirits of God? Why not more? Any clear evidence? In 1timothy 15:21 there is God, christ and angels and in Revelation 1:4 speaks about God, Christ and 7 spirits now how do you know how many Gods are in that 1 complex that trinity talks about?
In jonh's gospel word of God became Jesus who is also God, if jesus speaks what is his words become?
When jesus prayed while he was on earth who was he praying to? Father or Holy spirit? And does that mean Jesus is a lesser God than the two?

It is easier to fall on the heresy when you talk about trinity. For instance when you think of God as he revealed himself in three different forms throughout the history sometimes like father sometimes like son sometimes like holy spirit then you are falling into a modelism which is heresy. If you think of the three as too distincted beings then you are falling into tritheisim which also is heresy. So either you are this or that way.
When talking about Jesus Christians are required to believe that jesus is God and man at the same time and everything he does is both God and Man doing now when you jump in and say So if jesus died then God died they'll say no God did not die and this time they are separating the two which they shouldn't be doing since it is also heresy.
[emoji15] [emoji15] UWEZO wa Mwenyezi unauwekea mipaka kama wewe usie weza? Huyo mzee Wa busara huku uswazi akigeuka nyau Unaamini [emoji4] Ilaha kwa Mungu hana uwezo [emoji15] [emoji12] kufuru hiyo hata ibilisi hathubutu kuongea ulicho sema.. Kufuru, kufuru, kufuru kubwa ulicho sema as if wewe ni mc Wake [emoji12] usipo omba Maghufira UTAKUFA kafir [emoji24] [emoji24]
 
Mimi nimeandika kutokea Angle hiyo ya Kurani.Wewe andika kutokea Angle ya Biblia.
Nikwambie kitu my brother, naamini kabisa wewe si Muslim, ni mkristo. Na mm si mkristo ni Muslim.
Kama kweli una lengo la kuelimisha watu juu ya jambo hili unapaswa kabisa uweze na namna yesu na ukristo unavyosema. Vinginevyo unadhamira binafsi ambayo itapelekea watu
1. Kutochangia hata km wanafaham vzr
2. Kukushushia maneno ambayo unaweza yaona makali ila kwa kuwa ww hujaiva ktk dini hiyo km wao wasivyoiva ktk dini yako.

Mwisho
Mijadala ya dini yote inayoendeshwa na waumini ambao si dini zao huwa na mapungufu mengi.

Nikushairi
Andika mada flan kutoka ktk kitabu cha dini yako kwan utakuwa na uwanja mpana wa kuelimisha na si kupotosha.
Asante
 
[emoji15] [emoji15] UWEZO wa Mwenyezi unauwekea mipaka kama wewe usie weza? Huyo mzee Wa busara huku uswazi akigeuka nyau Unaamini [emoji4] Ilaha kwa Mungu hana uwezo [emoji15] [emoji12] kufuru hiyo hata ibilisi hathubutu kuongea ulicho sema.. Kufuru, kufuru, kufuru kubwa ulicho sema as if wewe ni mc Wake [emoji12] usipo omba Maghu**** UTAKUFA kafir [emoji24] [emoji24]
Hapa Nakazia _hivi ni kwa nini watu wanapenda kumwekea Mungu mipaka.!?

Mimi naamini watu wanapenda kutengeneza Mungu wao kichwani

Muktadha kama huu "Alikuwa peke yake na kisha akatokeza ulimwengu"

Kwanini inakuwa ni vigumu kuamini Mungu ni kila kitu na anaweza kuwa chochote apendacho kuwa.!?

Yaani kwa lugha nyepesi ni mwendo wa Kujitekenya Tu.![emoji3][emoji16][emoji16]
 
hivi haya maneno ni ya kweli ama mnajitungia

Hakuna cha kutunga.Tutunge kwa faida ya nani? Unamaanisha tuhubiri injili kwa kutumia uongo?Hatuwezi kumhubiri Kristu kwa kuwasingizia watu.Shetani ndiye mwenye kazi hiyo.
 
Nikwambie kitu my brother, naamini kabisa wewe si Muslim, ni mkristo. Na mm si mkristo ni Muslim.
Kama kweli una lengo la kuelimisha watu juu ya jambo hili unapaswa kabisa uweze na namna yesu na ukristo unavyosema. Vinginevyo unadhamira binafsi ambayo itapelekea watu
1. Kutochangia hata km wanafaham vzr
2. Kukushushia maneno ambayo unaweza yaona makali ila kwa kuwa ww hujaiva ktk dini hiyo km wao wasivyoiva ktk dini yako.

Mwisho
Mijadala ya dini yote inayoendeshwa na waumini ambao si dini zao huwa na mapungufu mengi.

Nikushairi
Andika mada flan kutoka ktk kitabu cha dini yako kwan utakuwa na uwanja mpana wa kuelimisha na si kupotosha.
Asante

Lengo la Uislamu ni kuwaokoa watu kwa kupitia Muhammad.Tunataka kuufuata Uislamu lakini tumekutana na hayo makandokando na hivi tumeyaleta ili Kurani iwe purified from myths, legends and stories.Ikiwa hivyo,mimi nitafyatuka kusilimu.
 
Lengo la Uislamu ni kuwaokoa watu kwa kupitia Muhammad.Tunataka kuufuata Uislamu lakini tumekutana na hayo makandokando na hivi tumeyaleta ili Kurani iwe purified from myths, legends and stories.Ikiwa hivyo,mimi nitafyatuka kusilimu.

We ni Mtu na Dhihaka

mwenye kujifunza kitu lazima awe na Adabu
 
Hebu nikuulize _kwani Qura'n ni Kitabu cha kisayansi.?

Sio kitabu cha Kisayansi lakini kimebeba na maudhui ya kisayansi.Na lengo lilikuwa zuri tu kwa sababu maisha ya mwanadamu kwa kiasi kikubwa ni sayansi.Tatizo ni pale alipoandika vitu bila utafiti kwanza.Lawama sio za sisi tunaohoji mambo haya bali yule aliyewaandikieni.
 
Si
We ni Mtu na Dhihaka

mwenye kujifunza kitu lazima awe na Adabu

Siwezi kuwa na dhihaka katika suala nyeti la hatima ya maisha yangu baada ya kifo.Na kama nina dhahaka kwa mambo nyeti ya Mungu hiyo ni dhambi na Uislamu unapaswa unifundishe kuwa kufanya hivyo ni dhambi na nitakumbana na hasira ya Mungu.:Lakini kama dhihaka katika mambo kinyume cha Mungu,shida iko wapi?
 
Sio kitabu cha Kisayansi lakini kimebeba na maudhui ya kisayansi

Hivyo tunakubaliana kuwa hakijajinasibu chenyewe kama ni cha kisayansi Ya kwenu

Ila wewe na wenzako mnaojiona wasomi ndio mmekipa wadhifa ambao kitabu hakikudai

Na lengo lilikuwa zuri tu kwa sababu maisha ya mwanadamu kwa kiasi kikubwa ni sayansi

Na ni kweli wala si vibaya sayansi inayozungumzia Qura'n ni ya Utu wa kibinadamu yaani Haiba ya viumbe.!

Tatizo ni pale alipoandika vitu bila utafiti kwanza

Kiliandika yale yenye ulazima kwa watu wa kipindi chake

Wafanye utafiti kwa ulazima upi.!?
Kwani walikuwa na tamaa ya kupaa Angani kama nyie mjichoshavyo

Lawama sio za sisi tunaohoji mambo haya bali yule aliyewaandikieni.

Lawama ni ya kwenu pia kwa kushindwa kwenu kuvaa uhusika na mazingira yaliyopelekea mpaka habari fulani kuandikwa

Na kuendelea kupotosha watu kwa ufinyu wenu
 
Si


Siwezi kuwa na dhihaka katika suala nyeti la hatima ya maisha yangu baada ya kifo.Na kama nina dhahaka kwa mambo nyeti ya Mungu hiyo ni dhambi na Uislamu unapaswa unifundishe kuwa kufanya hivyo ni dhambi na nitakumbana na hasira ya Mungu.:Lakini kama dhihaka katika mambo kinyume cha Mungu,shida iko wapi?
Hivyo ukaona ni vema sana kuujua uislamu kupitia Jua

Kuliko undugu unasisitiza baina ya watu kupitia maamrisho yake.!?
 
Hivyo tunakubaliana kuwa hakijajinasibu chenyewe kama ni cha kisayansi Ya kwenu

Ila wewe na wenzako mnaojiona wasomi ndio mmekipa wadhifa ambao kitabu hakikudai



Na ni kweli wala si vibaya sayansi inayozungumzia Qura'n ni ya Utu wa kibinadamu yaani Haiba ya viumbe.!



Kiliandika yale yenye ulazima kwa watu wa kipindi chake

Wafanye utafiti kwa ulazima upi.!?
Kwani walikuwa na tamaa ya kupaa Angani kama nyie mjichoshavyo



Lawama ni ya kwenu pia kwa kushindwa kwenu kuvaa uhusika na mazingira yaliyopelekea mpaka habari fulani kuandikwa

Na kuendelea kupotosha watu kwa ufinyu wenu

Mkuu:

Sisi hatuipatii Kurani maudhui ya Kisayansi isipokuwa imejipatia yenyewe.Tunajiuliza inakuwaje Mungu anaongea vitu dakika hii na dakika ile anageuka na kuongea mengineyo?

Huyo Mungu kuna wakati alikuwa anachoka? Je,huyo Mungu kuna wakati alikuwa analewa? Je,huyo Mungu alikuwa anasinzia na hivi kujikuta anaongea vitu huku akiwa sub-conscious? Kabla hata Yesu hajafika duniani, watu walianza kufanya tafiti na kuanza kugundua mienendo ya Jua na dunia.Hata Yesu alipofika duniani hakuwahi kuongea matukio ya kisayansi yasivyo.Je,inakuwaje Muhammad aliyefika baada ya Yesu aongee vitu visivyokuwapo?
 
Hivyo ukaona ni vema sana kuujua uislamu kupitia Jua

Kuliko undugu unasisitiza baina ya watu kupitia maamrisho yake.!?

Umoja gani kati ya ndugu unasisitizwa na Uislamu, wakati aliye kiini cha umoja anakataliwa kuwa yeye hana nafsi? Mungu ni mmoja,mwenye nafsi tatu,Baba,Mwana na Roho Mtakatifu,nafsi zote wakiwa wamoja na wasiogawanyika lakini wakiwa wanawajibika tofauti.

Sasa huwezi kuhubiri umoja kati ya watu, wakati Mungu aliye mmoja katika nafsi tatu na ambaye ndiye muasisi wa wazo la umoja unamkataa kwamba hayuko hivyo.Mungu katika nafsi tatu ndiye chimbuko la Umoja.Ukitaka kuwahubiria watu umoja lazima urejee kwake na ujifunze kwa namna gani nafsi hizo tatu zinasalia Mungu mmoja lakini mwenye nafsi zisizotenganishwa.Nje ya hapo utakuwa unahubiria watu umoja au undugu bandia.
 
Umoja gani kati ya ndugu unasisitizwa na Uislamu, wakati aliye kiini cha umoja anakataliwa kuwa yeye hana nafsi? Mungu ni mmoja,mwenye nafsi tatu,Baba,Mwana na Roho Mtakatifu,nafsi zote wakiwa wamoja na wasiogawanyika lakini wakiwa wanawajibika tofauti.

Sasa huwezi kuhubiri umoja kati ya watu, wakati Mungu aliye mmoja katika nafsi tatu na ambaye ndiye muasisi wa wazo la umoja unamkataa kwamba hayuko hivyo.Mungu katika nafsi tatu ndiye chimbuko la Umoja.Ukitaka kuwahubiria watu umoja lazima urejee kwake na ujifunze kwa namna gani nafsi hizo tatu zinasalia Mungu mmoja lakini mwenye nafsi zisizotenganishwa.Nje ya hapo utakuwa unahubiria watu umoja au undugu bandia.
Bora ulivyo funguka

Mimi nilidhani labda huna dini hivyo kukupelekea kuwa hivyo 'kumbe mkatoliki.!

Sio Ajabu kuwa na chuki na uislamu
 
Nikwambie kitu my brother, naamini kabisa wewe si Muslim, ni mkristo. Na mm si mkristo ni Muslim.
Kama kweli una lengo la kuelimisha watu juu ya jambo hili unapaswa kabisa uweze na namna yesu na ukristo unavyosema. Vinginevyo unadhamira binafsi ambayo itapelekea watu
1. Kutochangia hata km wanafaham vzr
2. Kukushushia maneno ambayo unaweza yaona makali ila kwa kuwa ww hujaiva ktk dini hiyo km wao wasivyoiva ktk dini yako.

Mwisho
Mijadala ya dini yote inayoendeshwa na waumini ambao si dini zao huwa na mapungufu mengi.

Nikushairi
Andika mada flan kutoka ktk kitabu cha dini yako kwan utakuwa na uwanja mpana wa kuelimisha na si kupotosha.
Asante



Nikwambie kitu my brother, naamini kabisa wewe si Muslim, ni mkristo. Na mm si mkristo ni Muslim.
Kama kweli una lengo la kuelimisha watu juu ya jambo hili unapaswa kabisa uweze na namna yesu na ukristo unavyosema. Vinginevyo unadhamira binafsi ambayo itapelekea watu
1. Kutochangia hata km wanafaham vzr
2. Kukushushia maneno ambayo unaweza yaona makali ila kwa kuwa ww hujaiva ktk dini hiyo km wao wasivyoiva ktk dini yako.

Mwisho
Mijadala ya dini yote inayoendeshwa na waumini ambao si dini zao huwa na mapungufu mengi.

Nikushairi
Andika mada flan kutoka ktk kitabu cha dini yako kwan utakuwa na uwanja mpana wa kuelimisha na si kupotosha.
Asante

Usicho kijua uislamu usinge KUWEPO bila Ukristo! Bila Ukristo uislamu ungejifia kabsaa [emoji4] hoja zoote za koloani ni kupinga Ukristo ona mifano hii Mungu wa Biblia anasemaje kuhusu liwati [emoji117]
IMG_20180727_143404_371.jpg
ona Mungu Wa koloani naye asemavyo [emoji117]
IMG_20180627_222533_061.jpg
Biblia Kuhusu baada ya maisha haya ya dunia [emoji117]
IMG_20180727_143315_626.jpg
koloani [emoji117]
IMG_20180714_184752_703.jpg
Biblia na viapo [emoji117]
IMG_20180727_143223_755.jpg
koloani na viapo [emoji117]
Screenshot_20180727-143031.jpg
...hiyo ni mifano michache mno! Hatuna haja ya kutumia koloani ili kufundishia Ukristo Biblia inajitosheleza Yenyewe [emoji123] [emoji106] tunaitumia koloani kuwakaanga kwa mafuta yao wenyewe ima kama penetrating oil kwenye vichwa vya waislam vilivyo jaa kutu [emoji4]
 
huu uzi ni wa moto [emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu ndivyo inavyo takiwa kwamba isemwe HAQI hata kama ni chungu! Mwisho Wa siku uchaguzi ni wako maadam HAQI umeiona kwa macho ya nyama[emoji120]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom