Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
ahahhahahahhaha acha bange kuna KUSULUBIWA halafu kuna KUKATA ROHO mm nakuuliza Yesu ALISULUBIWA saa ngap(mda)?hapa ukimbii na bahati nzuri luka 23:26 imekunyoosha kwamba msalaba ni kifaa kilichotumika kumtundika YESU
Akikata Roho Akiwa nyumbani?! wee umevurugwa dogo! Saa ngapi Simon alipewa msalaba?????
 
Sanctus Anaecletus
Mara baada ya Maria kumzaa Yesu alibaki bikra?
Masuala ya dini yana mafumbo ambayo kwa tiny brain yako huwezi uelewa.
Ukatoliki mtu anasoma Kwa kiwango cha PhD kuweza kuhubiri biblia seuze mwendawazimu yoyote anaejua kusoma na kuandika.
Biblia inasema Mungu aliumba kwa siku sita lakini sayansi inatuonyesha umbaji wa nyota (jua)inaendelea hadi leo pamoja na ulimwengu (universe) na sayari kwa mamilioni.
Quran siyo hadithi na historia ni falsafa kama hujui basi hujui tuu
 
Mkuu huo muda unaopoteza kwenda kanisani bora uende bar.
Unajipotezea muda tu kama huna Imani
Teh teh......mkuu ukifuatilia vitabu hivi, ukalinganisha na sayansi....lazima ubaki njia panda.
Hata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
ukifuatilia maelezo ya quraan,kuna dalili kwamba dhur qarnain ni alexander the great,kuhusu kukuta jua linazama kwenye matope meusi ni kwamba kuna sehemu alifika ilikua ni swampy(oevu),sasa mtu wa arabuni atakuambia jua linazama jangwani,mkazi wa pwani ya a.mashariki atakwambia jua linachomoza baharini,wakati pwani ya a.magharibi wao jua huzama baharini,ni lugha ya picha,na si kweli kwamba jua lipo static,linazunguka galaxy na pia linajizungusha kwenye muhimili wake
 
ukifuatilia maelezo ya quraan,kuna dalili kwamba dhur qarnain ni alexander the great,kuhusu kukuta jua linazama kwenye matope meusi ni kwamba kuna sehemu alifika ilikua ni swampy(oevu),sasa mtu wa arabuni atakuambia jua linazama jangwani,mkazi wa pwani ya a.mashariki atakwambia jua linachomoza baharini,wakati pwani ya a.magharibi wao jua huzama baharini,ni lugha ya picha,na si kweli kwamba jua lipo static,linazunguka galaxy na pia linajizungusha kwenye muhimili wake

Kama ni figurative expressio,tueleze maana iliyokuwa inakusudiwa hapo.Au unafikiria sisi hatuelewi maana ya lugha ya picha?
 
amefika nchi yenye eneo kubwa lenye tope na maji,jioni inafika jua linazama,linaonekana kuzama kwenye tope..mfano ukiwa mkazi wa nchi ya milima basi jua litazama na kuchomoza milimani
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki. Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.
Nikisema "Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda", nnamaanisha nini?
 
Kama ni figurative expressio,tueleze maana iliyokuwa inakusudiwa hapo.Au unafikiria sisi hatuelewi maana ya lugha ya picha?

Nini maana ya "aliliona"?

Dar watu wengi huenda pale sea cliff kabla ya kujua kuchomoza kuliona linapochomoza baharini. Wewe umeshawahi kwenda kuliona?
 
Nini maana ya "aliliona"?

Dar watu wengi huenda pale sea cliff kabla ya kujua kuchomoza kuliona linapochomoza baharini. Wewe umeshawahi kwenda kuliona?
Moja ya Siri Kuu ya Kitabu ni kua
Tafsiri zote iwe ya Kiingereza ama Kiswahili nk zimetafsiriwa kiufundi kwa kupunguza Ukali wa ujumbe uliopo, Ili wasioamini, wakisoma Tafsir hizo wasiweze kugundua mambo yasio ya kawaida Ili waweze kushawishika.

Shida ipo kwenye Lugha yake. Ambapo ndio msingi wa Hoja ilipoibuliwa na wanazuoni walikuja kuhasi Imani. Baada ya kugundua mambo mengi sana yasiowapa matumaini.

Jua kuzama kwenye matope meusi. Matope hayo vipi? Be honest...

Na ndio maana utetezi kuhusu hili swala ulimwenguni kote haujawahi kushinda.
Keep trying...
 
Kweli wazimu ni fani
emoji15.png
emoji12.png
nimekwambia umepatia una akili kuliko allah na baba kassim kwa pamoja! na nikakupa ushauri kwa akili uliyo nayo anzisha deen yako! Masihi nani? isa nani?! masihi isa mwana wa mariam nani?! wote Hao Babu yao ni mzee Imran?

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app


Mbona hutaki kujibu, Padri shoga huwa mnamwita Father au Mother?
 
Unaelewa kusulubiwa kwa Yesu ulikuwa ni mchakato [emoji47] [emoji15] wewe ulivyo msukule eti unauliza saa ngapi kusulubiwa [emoji4] [emoji12] niambie Huyo simoni alikabidhiwa Msalaba saa ngapi [emoji47] halafu niambie huyu [emoji117] View attachment 822892View attachment 822899 ni simoni huyo??

Anayesimulia hiyo hadithi ni nani ????


Taarifa za kusulubiwa Yesu katika Injili zote nne sio kweli kwa sababu zifuatazo:

Taarifa za Injili zinatafautiana mno, kama mifano michache hapa chini ionyeshayo:

Injili tatu zinasema Simoni ndiye aliyechukua msalaba wa Yesu (Mt 27:32; Mk 15:21-2; Lk 23:26); lakini Injili ya nne inasema Yesu aliubeba msalaba wake mwenyewe (Yn 19:17).

Mathayo yasema Yesu alipewa divai iliyochanganywa na nyongo akaionja na hakuinywa, Marko anasema Yesu hakuinywa, na Luka na Yohana wala hawalitaji tukio hilo.

Kuhusu saa aliposulubiwa Yesu, Mathao na Luka haiwaitaji kabisa, lakini Marko anasema ilikuwa ni saa tatu (Mk 15:25) na Yohana asema saa sita (Yn 19:14). Mathayo na asema ilipasuka kutoka juu hadi chini; na Luka sema ilipasuka kutoka upande hadi upande (horizontally), na ni Mathayo peke yake aliyearifu kuhusu matetemeko, kufunuka makaburi na miili kuinuka, miamba kupasuka.

Mathayo, Marko na Luka wanasema wanawake walisimama mbali na msalaba (Mt 27:55-6; Mk 15:40-1; Lk 23:49), lakini Yohana anasema walisimama jirani na msalaba (Yn 19:25). Yohana peke yake ndiye karipoti kuwa mamake Yesu naye alikuja kule msalabani. Pia Injili zatofautiana juu ya idadi ya wanawake hao.

Kuhusu giza, Mathayo, Marko na Luka wanasema lilitanda dunia nzima, lakini Yohana hataji kabisa na kadhalika.

Mifano iko zaidi ya 20 mingine, yote hii inazipinga aya ambazo hunukuu akinaMgen na kundi la watafutaji tonge ya ugali na kudai kuwa zinasema Yesu aliuliwa pale msalabani. Qur'an inasema watu hao hawana hakika, bali wanadhani tu. Maneno haya ya kupingana namna hii kweli yote ni ya Mungu au ya waandishi wapotofu?
 
Mungu wa wanyonyi alikufa.

God = Immortal(Not subject to Death)

Yesu Kristo ni Immortal. Yu hai hata milele.[B/]
Kristo = God.
Mungu wa wanyonyi alikufa.

God = Immortal(Not subject to Death)

Yesu Kristo ni Immortal. Yu hai hata milele.[B/]
Kristo = God.

Dini zilizomo ndani ya Biblia na wahusika wake

Pamoja na Biblia tukufu kumwelezea kwa ufasaha Mungu-Yehova mwenye sifa kuu kamilifu, takatifu na za pekee (kama tulivyoona katika matoleo yaliyopita ya gazeti hili), imegundulika kuwa ndani ya Biblia pia mnafundishwa dini mbili tofauti. Dini ya kwanza ni ya Mungu-Yehova ambayo ndiyo dini aliyowafunulia Mitume na Manabii wake wote hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.). Na kama maandiko matakatifu yanavyofundisha (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), dini yake hii, Mungu-Yehova au Allah tokea asili ameiwekea utaratibu kamili na madhubuti wa ibada anazotaka afanyiwe Yeye Peke yake.

Ama ya pili, Biblia imebainisha pia kuwa ni dini ya mungu-mtu ambaye ni tofauti kabisa katika kila hali na Mungu-Yehova. Nayo (dini hii) kama maandiko hayo (ya Biblia tukufu) yanavyofundisha, pia imewekewa ibada zake anazofanyiwa mungu-mtu, ambazo zi tofauti kabisa na ibada zile anazofanyiwa Mungu-Yehova.

Dini hizi mbili ambazo zote zinapatikana ndani ya hicho hicho kitabu kimoja (cha Biblia) daima haziungani mkono. Kinyume chake zinapingana na kugongana moja kwa moja kiasi kwamba imani za msingi za dini moja zimekuwa ni kufru kwenye imani za msingi za dini ya pili.

Bahati mbaya rafiki zangu Wakristo hawalijui hili na mara zote dini hizi wamekuwa wakizichambua pamoja kwa namna ambayo Mungu wa huku wanampeleka kule na Mungu wa kule wanamleta huku!

Kwa hali hiyo, nimedhamiria kuweka wazi hali hii, ili Mungu-Yehova adhihirike kuwa ni nani na abaki katika nafasi yake; na huyo mungu-mtu naye adhihirike ajulikane kuwa ni nani. Na nitafanya hivi kwa kutumia maandiko ambayo sote tunayakubali, yaani Wakristo na Waislamu pia. InshaAllah.

Pamoja na ukweli huo, lakini kabla sijazibainisha dini hizo na wahusika wake, yafaa kwanza tukajikumbusha hapa chini maneno yafuatayo ya Mungu-Yehova aliyowafunulia mapema baadhi ya watumishi wake. Alisema:

"Mungu si mtu, aseme uongo, Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?" (Hesabu 23:19)

Pamoja na Yeye kuwa na dini yake (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), hapo juu Mungu-Yehova bado anatusisitiza kwamba kwa kuwa Yeye kamwe hana sifa za mtu (kama zile za kusema uongo wala kujuta), basi anakataa katakata kwamba Yeye si mtu wala si mwanadamu. Na ni wazi kuwa Mungu-Yehova ameamua kusema hivyo ili kututahadharisha mapema ili hapo baadae tutakapoletewa miungu-watu tufahamu kuwa miungu hao kamwe siyo Mungu-Yehova wala ndani yao hamna sifa yake yoyote wala utukufu wake wowote.





Asili ya imani ya mungu-mtu na desturi zake

Kulingana na mafundisho ya Biblia tukufu, asili ya imani ya mungu-mtu imetokana na watu wa mataifa, yaani wapagani ambao wengi wao ndio ambao hawakubahatika kufikiwa na ujumbe wa Mungu-Yehova kupitia msururu wa Manabii wake ambao kwa idadi kubwa aliwatuma kwa wana wa Israeli.

Kwa hali hiyo, ni wazi kuwa watu hawa (wa mataifa au wapagani) walikuwa mbali kabisa na Mungu-Yehova kwa kutomjua na kwa hiyo wakaangukia katika imani potofu ya kuamini miungu bandia yenye desturi za kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu. Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maandiko ya Biblia tukufu yafuatayo:

"Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwa mamake, ambaye hajaenda kabisa. Mtu huyo alimsikia Paulo alipokuwa akinena, ambaye akamkazia macho na kuona kuwa ana imani ya kuponywa, akasema kwa sauti kuu, simama kwa miguu yako sawa sawa. Akasimama upesi akaenda. Na makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa Kilikaonia, miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu. Wakamwita Barnaba, Zeu na Paulo, Herme, kwa sababu ndiye aliyekuwa mnenaji. Kuhani wa Zeu ambaye hekalu lake lilikuwa mbele ya mji, akaleta ng'ombe na taji za maua hata malangoni, akitaka kutoa dhabihu pamoja na makutano". (Matendo ya Mitume 14:8-13)

Tunachoelezwa na maandiko hayo ya Biblia Tukufu ni kwamba, Bwana Paulo na mwenzie Barnaba walipofika Listra (huko kwa watu wa mataifa au wapagani) waliwakuta wenyeji wa huko tayari walikuwa na dini yao yenye miungu iliyokuwa na tabia ya kujigeuza kuwa wanadamu. Miungu hiyo ambayo tayari ilikuwa na majina yao kama hayo ya Zeu na Herme, walikuta pia tayari imewekewa taratibu za dini, ikiwemo hiyo ya kuwa na mahekalu.

Aidha, waliikuta dini yao hiyo tayari imewekewa pia utaratibu wake wa ibada wanazoifanyia miungu yao hiyo; kama hiyo ya kuitolea miungu hiyo dhabihu kwa kuichinjia wanyama na kadhalika.

Maelezo hayo ya Biblia vile vile yanaonyesha pia kuwa kwa kuathiriwa na imani yao hiyo ya miungu-watu, watu hao (wa mataifa au wapagani) walipokuwa wakimwona mtu afanyaye maajabu, basi humwita mtu huyo kuwa ni mungu kwa majina ya miungu yao hiyo (akina Zeu na Herme) kama walivyowaita hapo kina Paulo na mwenzie Barnaba kwa kuona jinsi walivyomfanyia maajabu kiwete. Kwa kuwa waliamini kuwa miungu yao ndio ifanyayo hivyo.

Kwa ujumla basi, hiyo ndiyo hali halisi aliyoikuta Bwana Paulo na mwenzie Barnaba kwa watu wa mataifa yaani wapagani.

Kwa shuhuda hiyo ya Biblia, tunaona wazi kuwa asili ya imani ya mungu-mtu mwenye desturi ya kujigeuza mwanadamu inatokana na watu wa mataifa, yaani wapagani.
 
Dini zilizomo ndani ya Biblia na wahusika wake

Pamoja na Biblia tukufu kumwelezea kwa ufasaha Mungu-Yehova mwenye sifa kuu kamilifu, takatifu na za pekee (kama tulivyoona katika matoleo yaliyopita ya gazeti hili), imegundulika kuwa ndani ya Biblia pia mnafundishwa dini mbili tofauti. Dini ya kwanza ni ya Mungu-Yehova ambayo ndiyo dini aliyowafunulia Mitume na Manabii wake wote hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.). Na kama maandiko matakatifu yanavyofundisha (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), dini yake hii, Mungu-Yehova au Allah tokea asili ameiwekea utaratibu kamili na madhubuti wa ibada anazotaka afanyiwe Yeye Peke yake.

Ama ya pili, Biblia imebainisha pia kuwa ni dini ya mungu-mtu ambaye ni tofauti kabisa katika kila hali na Mungu-Yehova. Nayo (dini hii) kama maandiko hayo (ya Biblia tukufu) yanavyofundisha, pia imewekewa ibada zake anazofanyiwa mungu-mtu, ambazo zi tofauti kabisa na ibada zile anazofanyiwa Mungu-Yehova.

Dini hizi mbili ambazo zote zinapatikana ndani ya hicho hicho kitabu kimoja (cha Biblia) daima haziungani mkono. Kinyume chake zinapingana na kugongana moja kwa moja kiasi kwamba imani za msingi za dini moja zimekuwa ni kufru kwenye imani za msingi za dini ya pili.

Bahati mbaya rafiki zangu Wakristo hawalijui hili na mara zote dini hizi wamekuwa wakizichambua pamoja kwa namna ambayo Mungu wa huku wanampeleka kule na Mungu wa kule wanamleta huku!

Kwa hali hiyo, nimedhamiria kuweka wazi hali hii, ili Mungu-Yehova adhihirike kuwa ni nani na abaki katika nafasi yake; na huyo mungu-mtu naye adhihirike ajulikane kuwa ni nani. Na nitafanya hivi kwa kutumia maandiko ambayo sote tunayakubali, yaani Wakristo na Waislamu pia. InshaAllah.

Pamoja na ukweli huo, lakini kabla sijazibainisha dini hizo na wahusika wake, yafaa kwanza tukajikumbusha hapa chini maneno yafuatayo ya Mungu-Yehova aliyowafunulia mapema baadhi ya watumishi wake. Alisema:

"Mungu si mtu, aseme uongo, Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?" (Hesabu 23:19)

Pamoja na Yeye kuwa na dini yake (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), hapo juu Mungu-Yehova bado anatusisitiza kwamba kwa kuwa Yeye kamwe hana sifa za mtu (kama zile za kusema uongo wala kujuta), basi anakataa katakata kwamba Yeye si mtu wala si mwanadamu. Na ni wazi kuwa Mungu-Yehova ameamua kusema hivyo ili kututahadharisha mapema ili hapo baadae tutakapoletewa miungu-watu tufahamu kuwa miungu hao kamwe siyo Mungu-Yehova wala ndani yao hamna sifa yake yoyote wala utukufu wake wowote.





Asili ya imani ya mungu-mtu na desturi zake

Kulingana na mafundisho ya Biblia tukufu, asili ya imani ya mungu-mtu imetokana na watu wa mataifa, yaani wapagani ambao wengi wao ndio ambao hawakubahatika kufikiwa na ujumbe wa Mungu-Yehova kupitia msururu wa Manabii wake ambao kwa idadi kubwa aliwatuma kwa wana wa Israeli.

Kwa hali hiyo, ni wazi kuwa watu hawa (wa mataifa au wapagani) walikuwa mbali kabisa na Mungu-Yehova kwa kutomjua na kwa hiyo wakaangukia katika imani potofu ya kuamini miungu bandia yenye desturi za kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu. Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maandiko ya Biblia tukufu yafuatayo:

"Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwa mamake, ambaye hajaenda kabisa. Mtu huyo alimsikia Paulo alipokuwa akinena, ambaye akamkazia macho na kuona kuwa ana imani ya kuponywa, akasema kwa sauti kuu, simama kwa miguu yako sawa sawa. Akasimama upesi akaenda. Na makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa Kilikaonia, miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu. Wakamwita Barnaba, Zeu na Paulo, Herme, kwa sababu ndiye aliyekuwa mnenaji. Kuhani wa Zeu ambaye hekalu lake lilikuwa mbele ya mji, akaleta ng'ombe na taji za maua hata malangoni, akitaka kutoa dhabihu pamoja na makutano". (Matendo ya Mitume 14:8-13)

Tunachoelezwa na maandiko hayo ya Biblia Tukufu ni kwamba, Bwana Paulo na mwenzie Barnaba walipofika Listra (huko kwa watu wa mataifa au wapagani) waliwakuta wenyeji wa huko tayari walikuwa na dini yao yenye miungu iliyokuwa na tabia ya kujigeuza kuwa wanadamu. Miungu hiyo ambayo tayari ilikuwa na majina yao kama hayo ya Zeu na Herme, walikuta pia tayari imewekewa taratibu za dini, ikiwemo hiyo ya kuwa na mahekalu.

Aidha, waliikuta dini yao hiyo tayari imewekewa pia utaratibu wake wa ibada wanazoifanyia miungu yao hiyo; kama hiyo ya kuitolea miungu hiyo dhabihu kwa kuichinjia wanyama na kadhalika.

Maelezo hayo ya Biblia vile vile yanaonyesha pia kuwa kwa kuathiriwa na imani yao hiyo ya miungu-watu, watu hao (wa mataifa au wapagani) walipokuwa wakimwona mtu afanyaye maajabu, basi humwita mtu huyo kuwa ni mungu kwa majina ya miungu yao hiyo (akina Zeu na Herme) kama walivyowaita hapo kina Paulo na mwenzie Barnaba kwa kuona jinsi walivyomfanyia maajabu kiwete. Kwa kuwa waliamini kuwa miungu yao ndio ifanyayo hivyo.

Kwa ujumla basi, hiyo ndiyo hali halisi aliyoikuta Bwana Paulo na mwenzie Barnaba kwa watu wa mataifa yaani wapagani.

Kwa shuhuda hiyo ya Biblia, tunaona wazi kuwa asili ya imani ya mungu-mtu mwenye desturi ya kujigeuza mwanadamu inatokana na watu wa mataifa, yaani wapagani.
You're wasting your time.
Mwarabu Muhammad hajawahi kua nabii wala mtume wa Mungu kwa wakati wowote ule Maishani. Na sababu ni kua Yehova hajawahi Allah. Na Jerusalemu haijawahi kua Mecca. Ni Mwarabu alitaka Kutawala dunia na kua na watumwa wengi weusi, akaja kushindwa. Imani yake ni ya pale pale kwa waarabu.
Quran 6:92.
Quran 6:156-157 etc...

Uyahudi utabaki kwa Wayahudi. Na Kanisa la Kristo litabaki kua Kanisa la Kristo yule ajaye katika Mawingu.

Mungu si mtu hata aseme uongo. Sounds good pointi hapa ni Uongo.
.. hata Yesu hajawahi kusema Uongo wala kua na dhambi.
 
Last edited:
Simoni alichukua huo msalaba saa ngapi [emoji47] [emoji12] ungekuwa muumini ungemsikiliza allah na baba kassim walicho agiza [emoji117] View attachment 823012 kinacho kuponza mpaka unalishwa hashua za nguruwe na ubongo wake ni kibri [emoji12] LAZIMA ushushie glass ya kohozi! Jibu [emoji15] [emoji47] Mkrene alipewa Msalaba saa ngapi??
mm nataka uje ujibu swali Yesu alisulubiwa saa ngap(muda)? unachofanya ni kujibu usichoulizwa kama biblia aijaandika pia uje useme Ahahahhahahah yaani ww janja yako fupi sana
 
You're wasting your time.
Mwarabu Muhammad hajawahi kua nabii wala mtume wa Mungu kwa wakati wowote ule Maishani. Na sababu ni kua Yehova hajawahi Allah. Na Jerusalemu haijawahi kua Mecca. Ni Mwarabu alitaka Kutawala dunia na kua na watumwa wengi weusi, akaja kushindwa. Imani yake ni ya pale pale kwa waarabu.
Quran 6:92.
Quran 6:156-157 etc...

Uyahudi utabaki kwa Wayahudi. Na Kanisa la Kristo litabaki kua Kanisa la Kristo yule ajaye katika Mawingu.

Mungu si mtu hata aseme uongo. Sounds good pointi hapa ni Uongo.
.. hata Yesu hajawahi kusema Uongo wala kua na dhambi.
Nuhu akuwa myahudi wala ibrahim akuwa myahudi hoja yako iko wap?
 
Dini zilizomo ndani ya Biblia na wahusika wake

Pamoja na Biblia tukufu kumwelezea kwa ufasaha Mungu-Yehova mwenye sifa kuu kamilifu, takatifu na za pekee (kama tulivyoona katika matoleo yaliyopita ya gazeti hili), imegundulika kuwa ndani ya Biblia pia mnafundishwa dini mbili tofauti. Dini ya kwanza ni ya Mungu-Yehova ambayo ndiyo dini aliyowafunulia Mitume na Manabii wake wote hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.). Na kama maandiko matakatifu yanavyofundisha (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), dini yake hii, Mungu-Yehova au Allah tokea asili ameiwekea utaratibu kamili na madhubuti wa ibada anazotaka afanyiwe Yeye Peke yake.

Ama ya pili, Biblia imebainisha pia kuwa ni dini ya mungu-mtu ambaye ni tofauti kabisa katika kila hali na Mungu-Yehova. Nayo (dini hii) kama maandiko hayo (ya Biblia tukufu) yanavyofundisha, pia imewekewa ibada zake anazofanyiwa mungu-mtu, ambazo zi tofauti kabisa na ibada zile anazofanyiwa Mungu-Yehova.

Dini hizi mbili ambazo zote zinapatikana ndani ya hicho hicho kitabu kimoja (cha Biblia) daima haziungani mkono. Kinyume chake zinapingana na kugongana moja kwa moja kiasi kwamba imani za msingi za dini moja zimekuwa ni kufru kwenye imani za msingi za dini ya pili.

Bahati mbaya rafiki zangu Wakristo hawalijui hili na mara zote dini hizi wamekuwa wakizichambua pamoja kwa namna ambayo Mungu wa huku wanampeleka kule na Mungu wa kule wanamleta huku!

Kwa hali hiyo, nimedhamiria kuweka wazi hali hii, ili Mungu-Yehova adhihirike kuwa ni nani na abaki katika nafasi yake; na huyo mungu-mtu naye adhihirike ajulikane kuwa ni nani. Na nitafanya hivi kwa kutumia maandiko ambayo sote tunayakubali, yaani Wakristo na Waislamu pia. InshaAllah.

Pamoja na ukweli huo, lakini kabla sijazibainisha dini hizo na wahusika wake, yafaa kwanza tukajikumbusha hapa chini maneno yafuatayo ya Mungu-Yehova aliyowafunulia mapema baadhi ya watumishi wake. Alisema:

"Mungu si mtu, aseme uongo, Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?" (Hesabu 23:19)

Pamoja na Yeye kuwa na dini yake (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), hapo juu Mungu-Yehova bado anatusisitiza kwamba kwa kuwa Yeye kamwe hana sifa za mtu (kama zile za kusema uongo wala kujuta), basi anakataa katakata kwamba Yeye si mtu wala si mwanadamu. Na ni wazi kuwa Mungu-Yehova ameamua kusema hivyo ili kututahadharisha mapema ili hapo baadae tutakapoletewa miungu-watu tufahamu kuwa miungu hao kamwe siyo Mungu-Yehova wala ndani yao hamna sifa yake yoyote wala utukufu wake wowote.





Asili ya imani ya mungu-mtu na desturi zake

Kulingana na mafundisho ya Biblia tukufu, asili ya imani ya mungu-mtu imetokana na watu wa mataifa, yaani wapagani ambao wengi wao ndio ambao hawakubahatika kufikiwa na ujumbe wa Mungu-Yehova kupitia msururu wa Manabii wake ambao kwa idadi kubwa aliwatuma kwa wana wa Israeli.

Kwa hali hiyo, ni wazi kuwa watu hawa (wa mataifa au wapagani) walikuwa mbali kabisa na Mungu-Yehova kwa kutomjua na kwa hiyo wakaangukia katika imani potofu ya kuamini miungu bandia yenye desturi za kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu. Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maandiko ya Biblia tukufu yafuatayo:

"Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwa mamake, ambaye hajaenda kabisa. Mtu huyo alimsikia Paulo alipokuwa akinena, ambaye akamkazia macho na kuona kuwa ana imani ya kuponywa, akasema kwa sauti kuu, simama kwa miguu yako sawa sawa. Akasimama upesi akaenda. Na makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa Kilikaonia, miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu. Wakamwita Barnaba, Zeu na Paulo, Herme, kwa sababu ndiye aliyekuwa mnenaji. Kuhani wa Zeu ambaye hekalu lake lilikuwa mbele ya mji, akaleta ng'ombe na taji za maua hata malangoni, akitaka kutoa dhabihu pamoja na makutano". (Matendo ya Mitume 14:8-13)

Tunachoelezwa na maandiko hayo ya Biblia Tukufu ni kwamba, Bwana Paulo na mwenzie Barnaba walipofika Listra (huko kwa watu wa mataifa au wapagani) waliwakuta wenyeji wa huko tayari walikuwa na dini yao yenye miungu iliyokuwa na tabia ya kujigeuza kuwa wanadamu. Miungu hiyo ambayo tayari ilikuwa na majina yao kama hayo ya Zeu na Herme, walikuta pia tayari imewekewa taratibu za dini, ikiwemo hiyo ya kuwa na mahekalu.

Aidha, waliikuta dini yao hiyo tayari imewekewa pia utaratibu wake wa ibada wanazoifanyia miungu yao hiyo; kama hiyo ya kuitolea miungu hiyo dhabihu kwa kuichinjia wanyama na kadhalika.

Maelezo hayo ya Biblia vile vile yanaonyesha pia kuwa kwa kuathiriwa na imani yao hiyo ya miungu-watu, watu hao (wa mataifa au wapagani) walipokuwa wakimwona mtu afanyaye maajabu, basi humwita mtu huyo kuwa ni mungu kwa majina ya miungu yao hiyo (akina Zeu na Herme) kama walivyowaita hapo kina Paulo na mwenzie Barnaba kwa kuona jinsi walivyomfanyia maajabu kiwete. Kwa kuwa waliamini kuwa miungu yao ndio ifanyayo hivyo.

Kwa ujumla basi, hiyo ndiyo hali halisi aliyoikuta Bwana Paulo na mwenzie Barnaba kwa watu wa mataifa yaani wapagani.

Kwa shuhuda hiyo ya Biblia, tunaona wazi kuwa asili ya imani ya mungu-mtu mwenye desturi ya kujigeuza mwanadamu inatokana na watu wa mataifa, yaani wapagani.
Mungu ajawai kuwa dhalili mpaka aje duniani atemewe mate ili eti watu waokolowe na dhambi ni imani za ovyo kabisaaa yaani shetani amekuwa mkubwa kiasi hicho mpaka amtoe Mungu mafichoni aje afanywe mshikaki aiseeeee
 
Nuhu akuwa myahudi wala ibrahim akuwa myahudi hoja yako iko wap?
Nuhu ni Mfariji kwa watu.anatokea kizazi kile kile cha waliobarikiwa. Yaani kuanzia Adam, Sethi, Jared, Henoko, Mesuthela na Nuhu.


Ibrahimu ni Baba wa Imani. Ni Baba wa kizazi teule cha ahadi. Aliyefanya Agano La kwanza Na Mwenyezi Mungu kupitia MZAO wake Isaka na Israeli. Wana wa Israeli waliweza kutolewa utumwani kwa Waarabu kwasababu ya neema za Ibrahimu.
 
Dini zilizomo ndani ya Biblia na wahusika wake

Pamoja na Biblia tukufu kumwelezea kwa ufasaha Mungu-Yehova mwenye sifa kuu kamilifu, takatifu na za pekee (kama tulivyoona katika matoleo yaliyopita ya gazeti hili),

[emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115]

"KUMBE NI GAZETI [emoji15] [emoji12] LINI UMEAGIZWA GAZETI LIWE REJEA YAKO [emoji47] [emoji15]

imegundulika kuwa ndani ya Biblia pia mnafundishwa dini mbili tofauti. Dini ya kwanza ni ya Mungu-Yehova ambayo ndiyo dini aliyowafunulia Mitume na Manabii wake wote hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.). Na kama maandiko matakatifu

[emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115]
" BABA KASSIM HANA SIFA YA KUTUMWA NA MUNGU BAADA YA YESU KUSEMA NITAKUWA NANYI MPAKA MWISHO WA DAHARI [emoji117]
IMG_20180731_074245_161.jpg

HAKUNA ALICHO SAHAU MWENYEZI HADI AMTUME BABA FATUMA NA MAFUNDISHO DHAIFU KAMA HAYO [emoji117]
pmm-fart.jpg
AU TAJA FUNDISHO MOJA ALILO SAHAU MUNGU HADI AMTUME BABA FATUMA ATUFUNDISHE WANADAMU [emoji15] [emoji47] [emoji12]

yanavyofundisha (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), dini yake hii, Mungu-Yehova au Allah tokea asili ameiwekea utaratibu kamili na madhubuti wa ibada anazotaka afanyiwe Yeye Peke yake.

Ama ya pili, Biblia imebainisha pia kuwa ni dini ya mungu-mtu ambaye ni tofauti kabisa katika kila hali na Mungu-Yehova. Nayo (dini hii) kama maandiko hayo (ya Biblia tukufu) yanavyofundisha, pia imewekewa ibada zake anazofanyiwa mungu-mtu, ambazo zi tofauti kabisa na ibada zile anazofanyiwa Mungu-Yehova.

[emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116]

HAKUNA MUNGU MTU HIYO NI AKILI NA TAFAKARI YA KISILAMU



Dini hizi mbili ambazo zote zinapatikana ndani ya hicho hicho kitabu kimoja (cha Biblia) daima haziungani mkono. Kinyume chake zinapingana na kugongana moja kwa moja kiasi kwamba imani za msingi za dini moja zimekuwa ni kufru kwenye imani za msingi za dini ya pili.

Bahati mbaya rafiki zangu Wakristo hawalijui hili na mara zote dini hizi wamekuwa wakizichambua pamoja kwa namna ambayo Mungu wa huku wanampeleka kule na Mungu wa kule wanamleta huku!

Kwa hali hiyo, nimedhamiria kuweka wazi hali hii, ili Mungu-Yehova adhihirike kuwa ni nani na abaki katika nafasi yake; na huyo mungu-mtu naye adhihirike ajulikane kuwa ni nani. Na nitafanya hivi kwa kutumia maandiko ambayo sote tunayakubali, yaani Wakristo na Waislamu pia. InshaAllah.

Pamoja na ukweli huo, lakini kabla sijazibainisha dini hizo na wahusika wake, yafaa kwanza tukajikumbusha hapa chini maneno yafuatayo ya Mungu-Yehova aliyowafunulia mapema baadhi ya watumishi wake. Alisema:

"Mungu si mtu, aseme uongo, Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?" (Hesabu 23:19)

[emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115]

HII UMEWAHI KUISOMA KABLA YA KULETA TAFAKARI YA HIYO AYA BILA KUJUA MAUDHII YAKE [emoji117]
IMG_20180727_210111_237.jpg
[emoji4] [emoji4]

Pamoja na Yeye kuwa na dini yake (kama tutakavyokuja kuona hapo baadae), hapo juu Mungu-Yehova bado anatusisitiza kwamba kwa kuwa Yeye kamwe hana sifa za mtu (kama zile za kusema uongo wala kujuta), basi anakataa katakata kwamba Yeye si mtu wala si mwanadamu. Na ni wazi kuwa Mungu-Yehova ameamua kusema hivyo ili kututahadharisha mapema ili hapo baadae tutakapoletewa miungu-watu tufahamu kuwa miungu hao kamwe siyo Mungu-Yehova wala ndani yao hamna sifa yake yoyote wala utukufu wake wowote.





Asili ya imani ya mungu-mtu na desturi zake

Kulingana na mafundisho ya Biblia tukufu, asili ya imani ya mungu-mtu imetokana na watu wa mataifa, yaani wapagani ambao wengi wao ndio ambao hawakubahatika kufikiwa na ujumbe wa Mungu-Yehova kupitia msururu wa Manabii wake ambao kwa idadi kubwa aliwatuma kwa wana wa Israeli.

Kwa hali hiyo, ni wazi kuwa watu hawa (wa mataifa au wapagani) walikuwa mbali kabisa na Mungu-Yehova kwa kutomjua na kwa hiyo wakaangukia katika imani potofu ya kuamini miungu bandia yenye desturi za kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu. Uthibitisho wa hayo tunaupata katika maandiko ya Biblia tukufu yafuatayo:

"Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwa mamake, ambaye hajaenda kabisa. Mtu huyo alimsikia Paulo alipokuwa akinena, ambaye akamkazia macho na kuona kuwa ana imani ya kuponywa, akasema kwa sauti kuu, simama kwa miguu yako sawa sawa. Akasimama upesi akaenda. Na makutano walipoona aliyoyafanya Paulo wakapaza sauti zao, wakisema kwa Kilikaonia, miungu wametushukia kwa mifano ya wanadamu. Wakamwita Barnaba, Zeu na Paulo, Herme, kwa sababu ndiye aliyekuwa mnenaji. Kuhani wa Zeu ambaye hekalu lake lilikuwa mbele ya mji, akaleta ng'ombe na taji za maua hata malangoni, akitaka kutoa dhabihu pamoja na makutano". (Matendo ya Mitume 14:8-13)

Tunachoelezwa na maandiko hayo ya Biblia Tukufu ni kwamba, Bwana Paulo na mwenzie Barnaba walipofika Listra (huko kwa watu wa mataifa au wapagani) waliwakuta wenyeji wa huko tayari walikuwa na dini yao yenye miungu iliyokuwa na tabia ya kujigeuza kuwa wanadamu. Miungu hiyo ambayo tayari ilikuwa na majina yao kama hayo ya Zeu na Herme, walikuta pia tayari imewekewa taratibu za dini, ikiwemo hiyo ya kuwa na mahekalu.

Aidha, waliikuta dini yao hiyo tayari imewekewa pia utaratibu wake wa ibada wanazoifanyia miungu yao hiyo; kama hiyo ya kuitolea miungu hiyo dhabihu kwa kuichinjia wanyama na kadhalika.

Maelezo hayo ya Biblia vile vile yanaonyesha pia kuwa kwa kuathiriwa na imani yao hiyo ya miungu-watu, watu hao (wa mataifa au wapagani) walipokuwa wakimwona mtu afanyaye maajabu, basi humwita mtu huyo kuwa ni mungu kwa majina ya miungu yao hiyo (akina Zeu na Herme) kama walivyowaita hapo kina Paulo na mwenzie Barnaba kwa kuona jinsi walivyomfanyia maajabu kiwete. Kwa kuwa waliamini kuwa miungu yao ndio ifanyayo hivyo.

Kwa ujumla basi, hiyo ndiyo hali halisi aliyoikuta Bwana Paulo na mwenzie Barnaba kwa watu wa mataifa yaani wapagani.

Kwa shuhuda hiyo ya Biblia, tunaona wazi kuwa asili ya imani ya mungu-mtu mwenye desturi ya kujigeuza mwanadamu inatokana na watu wa mataifa, yaani wapagani.



You're wasting your time.
Mwarabu Muhammad hajawahi kua nabii wala mtume wa Mungu kwa wakati wowote ule Maishani. Na sababu ni kua Yehova hajawahi Allah. Na Jerusalemu haijawahi kua Mecca. Ni Mwarabu alitaka Kutawala dunia na kua na watumwa wengi weusi, akaja kushindwa. Imani yake ni ya pale pale kwa waarabu.
Quran 6:92.
Quran 6:156-157 etc...

Uyahudi utabaki kwa Wayahudi. Na Kanisa la Kristo litabaki kua Kanisa la Kristo yule ajaye katika Mawingu.

Mungu si mtu hata aseme uongo. Sounds good pointi hapa ni Uongo.
.. hata Yesu hajawahi kusema Uongo wala kua na dhambi.

AKILI ZA KISILAMU ZIKO GEREZANI [emoji15] [emoji12] YESU AMESHA TUTANGAZIA UHURU [emoji117] View attachment 823231 TOKENI GEREZANI MBONA HAMFUNDISHIKI [emoji15] [emoji47] ASHKI MAJUNUN EEH [emoji47] [emoji15] [emoji12]
 
Nuhu ni Mfariji kwa watu.anatokea kizazi kile kile cha waliobarikiwa. Yaani kuanzia Adam, Sethi, Jared, Henoko, Mesuthela na Nuhu.


Ibrahimu ni Baba wa Imani. Ni Baba wa kizazi teule cha ahadi. Aliyefanya Agano La kwanza Na Mwenyezi Mungu kupitia MZAO wake Isaka na Israeli. Wana wa Israeli waliweza kutolewa utumwani kwa Waarabu kwasababu ya neema za Ibrahimu.
Kwan kwa uelewa wako ibrahim alikuwa mtu wa jamii gani ?alikuwa mwarabu au yahudi au nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom