.
Pili sifa za Roho Mtakatifu, hazipo kwa Mohammad. Huyu Roho anatajwa kukaa milele. Lakini mohamad amekufa.
 
1. Roho Mtakatifu alishuka siku ya Penteconste. Ukisoma Matendo utaweza kuona. Yesu Kristo, Hakuhitaji kusubiri miaka 600 baadaye ndio aje kupitia Uislamu. Wakati alisema akiondoka atamleta. Zingatia discrepancy ya miaka yote hiyo.
2.) Roho wa Mungu Hukaa hata milele.
Yohana 14:16
Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
LAKINI PIA kama ambavyo kuamini katika Imani za mashetani. Inasababishwa na nguvu za Roho za mashetani. Waganga na wachawi na wasoma falaki huwatambua hao.Vivyohivyo, kuweza kumtambua Mungu wa Kweli na kumfuata inahitaji nguvu ya Roho wa kweli wa Mungu. Roho huyu alikuwepo nao kwakua Yesu alikuwepo nao. Na ndiye aliyewafanya wakaweza kumtambua Yesu na ujumbe wake na kukaa naye hadi alipopaa kurudi kwa baba yake mbinguni.[emoji116] [emoji116]
Yohana 14:17
ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye ATAKUA NDANI YENU.
2). Umuhimu wa Ubatizo NA Msalaba wa Kristo:-
Mohammad hakubatizwa wala kumjua Yesu Kristo. Ukilingamisha na wanafunzi wa Yesu Kristo walivyokufa mashahidi wa Injilbya Kristo. Na zaidi ya yote Mohamad Alienea imani yake kwa kuua watu kwa upanga. Wakati Yesu hakuhukumu ulimwengu. Bali alikuja kuuokoa.
[emoji116] [emoji116]
Marko 10:39
Wakamwambia, Twaweza. Yesu akawaambia, Kikombe ninyweacho mimi MTAKINYWEA, na ubatizo nibatizwao MIMI MTABATIZWA
3. YESU ATANGAZA Hukumu ya mashetani(majini/watoto wa IbilisI).
Yesu kama Jaji Mkuu siku ya Mwisho alishatangaza hukumu ya shetani na malaika zake. Kua hawana sehemu katika Ule Mti wa Uzima. Wamewekwa akiba kwa ajili ya Moto.
[emoji116] [emoji116]
Luka 10:18-19
[18]Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme.
[19]Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
Yohana 16:11
kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.
Yesu alikasirishwa nA MAFARISAYO Kuhusisha uponyaji wake na uponyaji ufanywao na mashetani. Akiweka wazi ni sawa na kumkufuru Roho Mtakatifu. Yesu aliweka wazi Uadui kati ya Ufalme wa Shetani na wa Mungu.
Lakini Kinyume chake Mohammad alitangaza Ukombozi wa Majini na wanadamu kupitia Dini yake. Hii ni kinyume na Maagizo ya Yesu na hata Imani ya Wajudea kwa ujumla wake. Kwa maana imeandikwa hapana Uganga ndani ya Israel. Unaweza kuona kwenye Quran kuna surah inaitwa surah ya majini. Sasa mafundisho ya Yesu ni Juu ya Habari njema za Ufalme wa Mungu na sio habari za Maruhani. Manake haya yote Ziwa la Moto limewekwa kwa ajili yao. The teachings of Mohammad contradict Jesus Teachings severely!.
HITIMISHO
Mathayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Zingatiza NENO hili hapa chini la Yesu.
[emoji116] [emoji116]
Luka 11:23 YESU ANASEMA;-
Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutawanya
Let me tackle your main points as follows;
1. Roho Mtakatifu alishuka siku ya Penteconste. Ukisoma Matendo utaweza kuona. Yesu Kristo, Hakuhitaji kusubiri miaka 600 baadaye ndio aje kupitia Uislamu. Wakati alisema akiondoka atamleta. Zingatia discrepancy ya miaka yote hiyo.
[emoji121]️[emoji121]️[emoji121]️ Kama wewe ni muumini wa Biblia wapaswa kuisoma Bible na kuielewa. Hayo ni maneno munayoambiwa na Mapadri wenu. Tutazame Je Bible yenyewe inasemaje?
Its revealed in the Old Testament. For instance, Moses told the Israelites prior to entering the Promised Land that “The LORD your God will circumcise your hearts and the hearts of your descendants, so that you may love him with all your heart and with all your soul, and live” (Deuteronomy 30:6). This circumcision of the heart is the work of God’s Spirit and can be accomplished only by Him. We also see the theme of regeneration in Ezekiel 11:19-20 and Ezekiel 36:26-29.
You can see that Holy Spirits was here in this world way before Pentecost. Your claim that holy spirit came down in Pentecost only shows CLEAR CONTRADICTION OF YOUR BIBLE. It is totally Misleading.
Sitaki kuingia katika suala la ubatizo wa Yesu kwani hiyo itakuwa diversion ya Maada yetu,hiyo itakuwa topic Mpya. Let us stick with Holy Spirit translation.
Tazama ni kwanini tunaweza Kuwa Yesu alikuwa anabashiria Ujio wa Prophet Muhammad kwa ulimwengu. [emoji116] [emoji116]
John 16:
12“I have much more to say to you, more than you can now bear. 13But when he, the Spirit of truth, comes, he will guide you into all the truth. He will not speak on his own; he will speak only what he hears, and he will tell you what is yet to come. 14He will glorify me because it is from me that he will receive what he will make known to you. 15All that belongs to the Father is mine. That is why I said the Spirit will receive from me what he will make known to you.”
Also recall John 3:6
That which is born of the flesh is flesh; and that which is born of the Spirit is spirit.
In John 16 it's clear that HE is a MAN, a flesh.
That's according to Jesus and according to the translation. The is no other translation of HE different from MAN. From the abible language Materialistic is flesh and if you are spiritual may stand for the word Spirit.
Now 1 John 4:
1 Dear friends, stop believing every spirit. Instead, test the spirits to see whether they are from God, because many false prophets have gone out into the world.
2 This is how you can recognize God's Spirit: Every spirit who acknowledges that Jesus the Messiah has become human—and remains so—is from God.
So hapo Jesus tells you that the True God's Spirit is the one who acknowledged that Jesus is a Messiah and is human and is sent from God. So let's what Mohammed says about Jesus;
IN Quran Chapter 3 verses 42-45;
( 42 ) And @ when the angels said, "O Mary, indeed Allah has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.
( 43 ) O Mary, be devoutly obedient to your Lord and prostrate and bow with those who bow [in prayer]."
( 44 ) That is from the news of the unseen which We reveal to you, [O Muhammad]. And you were not with them when they cast their pens as to which of them should be responsible for Mary. Nor were you with them when they disputed.
( 45 ) [And mention] when the angels said, "O Mary, indeed Allah gives you good tidings of a word from Him, whose name will be the Messiah, Jesus, the son of Mary - distinguished in this world and the Hereafter and among those brought near [to Allah].
As you can see, Prophet Mohammed said exactly what Jesus told you what he would day about him and that he is the TRUE GOD'S SPIRIT who was sent to complete Jesus work.