Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
The way in which Muhammad died casts serious doubts on his prophetic claims:


We have already encountered the apostasy of Ibn Abi Sarh, Muhammad's former scribe. At issue was the charge that Muhammad allowed Abi Sarh to make changes to the Qur'an and that he became disillusioned about how easily the supposedly eternal word of Allah could be changed. These events could obviously cause serious damage to Muhammad's reputation. As a means of damage control Allah sends down another one of his many ‘convenient revelations’:

"And if the messenger were to invent any sayings in Our name. We should certainly seize him by his right hand, And We should certainly then cut off the artery of his heart (aorta)" (Qur'an 69:44-46)



So the Qur'an here makes a rather stark claim: If Muhammad dies through the cutting of his aorta, he is guilty of the charge of adding to the Qur'an.


So how did Muhammad die according to the most venerable Islamic traditions?
The answer is absolutely staggering if you are a believing Muslim!

The details of Muhammad's death are very well known. He was given poisoned meat by a Jewish lady as revenge for his actions against her people at the Battle of Khaybar. Interestingly, she placed the poison in the meat as a test of his prophethood, stating

“If he was a prophet he will be informed of what I have done.”

What is even more interesting, in the context of Qur'an 69:44-46, is that there are several strong traditions that state that Muhammad died through the cutting of his aorta:

"The Prophet in his ailment in which he died, used to say, “O Aishah! I still feel the pain caused by the food I ate at Khaibar, and at this time, I feel as if my aorta is being cut from that poison.” (Sahih Bukhari 5:59:713);

and:

"He then said about the pain of which he died: I continued to feel pain from the morsel which I had eaten at Khaibar. This is the time when it has cut off my aorta." (Sunan Abu Dawud 4498)
.

These statements are nothing short of remarkable.
ALLAH SAYS THAT MOHAMMAD WOUPD DIE THROUGH HIS AORTA BEING CUT IF HE CHANGED THE QURAN, and it turns out that this is exactly the way in which he died!

Muslims will vigorously question the reliability of these traditions. It needs to be pointed out, however, that they come from some of the most highly respected sources within the traditions of Islam itself and not from the writings of some virulent critic of Islam.

Discussing how and why they entered into the tradition is probably a matter for debate that will not be solved here. Suffice it to say, that the survival of these traditions poses some incredibly serious questions to the Muslim people of the world.
Mbona hiyo aya na hizo hadith hazina ata uhusiano kabisaa , unataka kusema jambo gani hapo hivi hiyo aya umeisoma kweli?
 
Ahahhahahaahaahahahahha mbona umekuwa mkali ndio nyie mnatangaza Mungu kavuliwa nguo kabaki na kibukta , huu ni ujinga wa kiwango kikubwa, Mungu awezi kuwa mtu ata wewe akili yako ndogo inalijua hilo sema ni mahaba yanakutesa

Ushahidi kwamba baba fatûú Anaye mungu wake ASIYE NA UWEZO [emoji117]
IMG_20180923_144533_249.jpg
ona kusudio la mungu wako [emoji117]
IMG_20180923_150245_360.jpg
[emoji117]
IMG_20180923_150530_711.jpg
Mungu wangu ananiwazia MEMA [emoji117]
IMG_20180923_150742_312.jpg
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
 
Ndio maana nataka usome hiyo link andaa swali moja moja nami ntayajibu hapo ndio tutakapo elewana vizuri ndugu yangu, hiyo ndio njia bora ya kujifunza maswali na majibu
Msingi wa hoja yangu na wa hiyo link umelenga kusema kuwa Muhammad siyo nabii wa YHWH ila ni nabii wa allah.
YHWH aliongea na manabii katika lineage ya Ibrahim,Isaac na Jacob na baadaye Yuda kwa kihebrania wakati Muhammad amabaye hana uhusiano wowote wa kidamu na either Ibrahim au Ishmael aliongea na kufunuliwa kwa kusomewa kitabu na Jibril tena kwa lugha ya kiarabu mechanism ya mawasiliano ambayo haikutokea kwa nabii yeyote wa YHWH kwani lugha ya mawasiliano ilikuwa Kihebrania.Manuscripts zote za torati,injili na zaburi ziko kwenye lugha hiyo moja.
Hoja nyingine ni kwamba hakujawahi kutokea nabii yeyote wa kikristo au wa kiislamu
Nachokitaka ni ww kuthibitisha kinyume na hayo kwa reference
*NB.kwa nini simulizi za quran na hadith zinatafuta justification kwenye kitabu cha torati na vingine?kwa nini watu wahangaike kuuthibitisha unabii wa Muhammad kupitia injili na taurat ambayo nyie waislam mara nyingi mnaipinga kwa kusema kuwa imekuwa fabricated
Injili ya Yesu ni ipi?
 
Huku niachie mimi ndio mwalimu wa wakati huu , hakikisha huko wanaacha kufuru zote

mende anapo jisifia kushinda chooni kulabua mavi [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] hata sasa hamja nipa ile fatwa ya jino kwa jino kalio kwa kalio [emoji117] gavana umebakwa na daudi kakula mvutu [emoji4] umeshindwa na wewe kumbaka daudi ili upate akili na UHAI kwa maana hata UHAI hamnao kutokana na agizo hili la kunyumbu nyumu [emoji117]
IMG_20180923_153029_381.jpg
nipeni jibu makafir nyie [emoji53]
 

Attachments

  • IMG_20180923_153029_381.jpg
    IMG_20180923_153029_381.jpg
    23.4 KB · Views: 15
Wakati wowote Yesu anapoonekana amekosea na ameshindwa kudhihirisha nguvu zake kubwa akiwa Mwana wa Mungu,
Wakristo wanajikinga kwa kudai ya kwamba yeye alikosea akiwa mtu siyo akiwa mungu.

Kwahiyo tunayo kila haki ya kuuliza na kujua waziwazi sehemu gani ndani yake ilikuwa mtu na ipi mungu.

Kukaa kwa mtu ndani ya Yesu kunataka ubongo wa 'mtu' mbali na ubongo wa 'mungu' ndani yake.

Ubongo ulipohuika basi 'mtu' ndani ya Yesu alihuika, kwani Uungu wa Yesu hauhitaji ubongo wa kiwiliwili ili kumsaidia.

Ubongo huo wa kiwiliwili uliingiwa tu na mungu alipokuwa ardhini mara ya kwanza, jinsi inavyokuwa katika mambo ya roho kwamba kitu fulani kinakuwa chombo ama njia ya kudhihirisha onyesho la kiroho. Basi kuhuika Yesu kutamaanisha kuhuika mtu ndani ya Yesu, kwani pasipo kuwa hivyo haiwezekani roho yake kurejea ndani ya mwili huo.

Kama jambo hilo halikubaliwi, hapo tutalikabili tatizo jingine la kukubali kwamba Yesu alikuwa na bongo mbili mbalimbali za
kujitegemea pindi alipokuwa duniani humu: Ubongo mmoja wa 'mtu' na mwingine wa 'mungu', zote mbili zikikaa mahali pamoja, lakini hazikulingana bali kila mmoja unajitegemea.

Kama ni hivyo, basi suala la kuhuika lichunguzwe upya ili uhakika wake hasa utambulikane. Basi hamna haja tena ya kufikiria ubongo wa kibinadamu kufanyizwa upya ili kuipatia dhamiri mahali pa kukalia. Bali twahitaji kufikiria kwamba Yesu analitembelea tena fuvu la kichwa cha mtu aliyekuwa mwenyeji wake wa zamani, ambamo ndani ya fuvu hilo mna masazo ya ubongo yaliyooza.

Kadiri tunavyochunguza kwa uangalifu zaidi suala hilo, ndivyo yanavyojitokeza matatizo zaidi katika kila daraja la uchunguzi.

Mtu anahitaji ubongo kuwa chombo cha mfuatano wa fikira.

Kuhusu kazi zinazofanywa na mwili wa kiwiliwili ni kwamba kama tukiamini kuwa dhamiri inakuwapo peke yake na inaishi
kwa kujitegemea, basi hiyo itamaanisha kwamba dhamiri na roho ni kitu kilekile kimoja. Waweza kuita dhamiri ama roho lakini
inaishi peke yake hata kama uhusiano wake na ubongo wa mtu unakatika.

Lakini kama dhamiri au roho inahitajika ili kuutawala mwili wa mtu ama inaathirika na yanayotokea katika ufalme wake
wa kiwiliwili, hapo bila shaka unahitajika ufungamano madhubuti baina ya dhamiri na ubongo ama roho na ubongo. La sivyo, hivyo (roho na ubongo) haviwezi kabisa kuathiri, kuhimiza au kutawala mafuatano ya kimwili na ya kiakili ama ya ki-maono katika mtu.

Naona hilo halina haja ya kujadiliwa.

Hilo linatuongoza kwenye tatizo jingine kubwa zaidi: Je, anayefanywa kuwa Mwana wa Mungu anahitaji kuutawala ama
kusimamia mwili kwa njia ya ubongo?

Na je, yeye anautegemea ubongo wa kiwiliwili kwa mfuatano wa fikra zake?

Kama yeye anavuka mipaka yote ya kibinadamu, na kama yeye anao mfumo wa kujitegemea wa mfuatano wa fikira ambao ni wa pekee kwake usiyo na kifani katika ulimwengu mzima aliouumba, hapo kurejea roho ya Mungu katika mwili wa mtu pamoja na dhamiri ya mtu kunaleta natija isiyolingana na akili yaani kupatikana kwa dhati iliyo na mifuatano miwili ya fikra inayopingana, kwani haiwezekani kwa dhamiri na roho ya mtu kulingana kikamilifu na dhamiri na dhati ya Mungu.

Kutakuwa na upinzani wa kudumu baina ya mifuatano hiyo miwili utakaosababisha mapambano ya kusumbua baina ya mawimbi ya ubongo.

Mwenye shida hiyo anafaa kutibiwa na mtaalamu wa utibabu wa maradhi ya roho mwenye uwezo zaidi ya mtu.

Huo pengine ndiyo ugonjwa mpya wa roho uitwao schizophrenia kwa Kiingereza.

INAENDELEA
eti naendelea [emoji12] nguvu gani kubwa unayotaka Yesu kuidhihirisha zaidi ya KUKISHINDA KIFO [emoji53] Kweli kutojua kusoma ni shidàà [emoji4]
 
mende anapo jisifia kushinda chooni kulabua mavi [emoji15] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] hata sasa hamja nipa ile fatwa ya jino kwa jino kalio kwa kalio [emoji117] gavana umebakwa na daudi kakula mvutu [emoji4] umeshindwa na wewe kumbaka daudi ili upate akili na UHAI kwa maana hata UHAI hamnao kutokana na agizo hili la kunyumbu nyumu [emoji117] View attachment 875446 nipeni jibu makafir nyie [emoji53]
Mbona kisasi ni kawaida au usomi biblia yako ahahahaaahahahhah
 
eti naendelea [emoji12] nguvu gani kubwa unayotaka Yesu kuidhihirisha zaidi ya KUKISHINDA KIFO [emoji53] Kweli kutojua kusoma ni shidàà [emoji4]
Ahahhahahaaaahaaaahahaaa kushinda kifo?* kwani alisulubiwa saa ngap mpaka ashinde hicho kifo ahahahahhahahahhahha tukio lenyewe ni uongo mtupu
 
Ushahidi kwamba baba fatûú Anaye mungu wake ASIYE NA UWEZO [emoji117] View attachment 875416 ona kusudio la mungu wako [emoji117] View attachment 875431 [emoji117] View attachment 875437 Mungu wangu ananiwazia MEMA [emoji117] View attachment 875441 [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
Ahahahhaahahaahahahaha bure kabisaa si ndio Mungu huyo huyo aliemtia ugumu firauni ili amwangamize? wewe bado ujaelewa unachokizungumza kabisaa, tena ndio huyu huyo aliwapiga wenye nchi yao ya ahadi ili waisrael waikalie kwa mabavu kabisa
 
Msingi wa hoja yangu na wa hiyo link umelenga kusema kuwa Muhammad siyo nabii wa YHWH ila ni nabii wa allah.
YHWH aliongea na manabii katika lineage ya Ibrahim,Isaac na Jacob na baadaye Yuda kwa kihebrania wakati Muhammad amabaye hana uhusiano wowote wa kidamu na either Ibrahim au Ishmael aliongea na kufunuliwa kwa kusomewa kitabu na Jibril tena kwa lugha ya kiarabu mechanism ya mawasiliano ambayo haikutokea kwa nabii yeyote wa YHWH kwani lugha ya mawasiliano ilikuwa Kihebrania.Manuscripts zote za torati,injili na zaburi ziko kwenye lugha hiyo moja.
Hoja nyingine ni kwamba hakujawahi kutokea nabii yeyote wa kikristo au wa kiislamu
Nachokitaka ni ww kuthibitisha kinyume na hayo kwa reference
*NB.kwa nini simulizi za quran na hadith zinatafuta justification kwenye kitabu cha torati na vingine?kwa nini watu wahangaike kuuthibitisha unabii wa Muhammad kupitia injili na taurat ambayo nyie waislam mara nyingi mnaipinga kwa kusema kuwa imekuwa fabricated
Injili ya Yesu ni ipi?

hayo maneno kuwa Mohammad sio uzao wa ishmael unayatoa wapi ? halafu unazungumzia suala la lugha ivi lugha inaweza kuwa justification ya kukataa jambo , kinachotakiwa ni ujumbe sio lugha( hapo inaonekana umepitiwa) , halafu kuhusu kuzungumzia kuhusu vitabu vilivyopita ni jambo la lazima kwasababu nimeshakueleza mitume wote walijisalimisha(walinyenyekea ) kwa Mungu , kwahiyo hatubagui yeyote katika mitume hiyo yote tumeimini.Muislamu yeyote asieamini MITUME waliopita atakuwa amejitoa kwenye uislamu moja kwa moja
 
hayo maneno kuwa Mohammad sio uzao wa ishmael unayatoa wapi ? halafu unazungumzia suala la lugha ivi lugha inaweza kuwa justification ya kukataa jambo , kinachotakiwa ni ujumbe sio lugha( hapo inaonekana umepitiwa) , halafu kuhusu kuzungumzia kuhusu vitabu vilivyopita ni jambo la lazima kwasababu nimeshakueleza mitume wote walijisalimisha(walinyenyekea ) kwa Mungu , kwahiyo hatubagui yeyote katika mitume hiyo yote tumeimini.Muislamu yeyote asieamini MITUME waliopita atakuwa amejitoa kwenye uislamu moja kwa moja
Naomba ufanye utafiti wa Muhamad kuwa Ishmaelite.Nakushukuru sana kwa utulivu na umakini wako wa kuitetea imani yako bila hasira wala jazba.
 
Ahahahahhhahhhhha mimi najibu uelewako mbovu juu ya maandiko ahahahahahahahahahahah

Kwa mujibu Wa koloani wewe na Mimi msomi nani [emoji47] [emoji47] Hao WASEMAO SISI NI WAKRISTO [emoji47]
IMG_20180806_124946_626.jpg
[emoji122] [emoji122] [emoji106] Ona Wafuasi Wa mtoto wa abd allah [emoji117]
IMG_20180923_174931_588.jpg
IMG_20180923_175238_102.jpg
hamna lenu jambo ilaha uongo na kudhania [emoji12] [emoji12]
 
Kwa mujibu Wa koloani wewe na Mimi msomi nani [emoji47] [emoji47] Hao WASEMAO SISI NI WAKRISTO [emoji47] View attachment 875551 [emoji122] [emoji122] [emoji106] Ona Wafuasi Wa mtoto wa abd allah [emoji117] View attachment 875563View attachment 875568 hamna lenu jambo ilaha uongo na kudhania [emoji12] [emoji12]
Sisi hatukatai usomi wako , kusoma ni jambo la lazima ndio maana mtume wetu akatuhusia tuitafute elimu hata kama inapatikana mbali sana mfano wa china, lakini hizo elimu zako tumepewa tahadhari maana mfano ukisema Yesu ni Mungu tukukimbie wewe ni tishio utatupeleka kwenye ukafiri kwasababu hilo fundisho ni kinyume na Quran onyo hili hapa
QURAN 3:100
"Enyi mlioamini ! mkiwatii baadhi ya wale waliopewa kitabu WATAKURUDISHENI kuwa makafiri baada ya uislamu wenu";

Hivyo basi wewe rukaruka lakini ukileta mambo ambayo QURAN aijafundisha hatutayapokea kwasababu utatupeleka kwenye ukafiri , tunajua hata Tanzania imefika hapa sababu ya wasomi wasiojua walichokisomea ahahahaahahaahaahahaha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom