Majini ni nini?
Kwa hali hiyo basi, Majini ni miongoni mwa viumbe alivyo viumba M'Mungu kama tulivyoumbwa Binadam, Malaika, Wanyama na viumbe vingine tusivyo vijuwa, wakiwemo wadudu wa aina mbali mbali.
Matumaini kuwa mpaka hapo wasomaji wengine watakuwa wameelewa nini maana ya neno jini.
Swali: Majini na waislam wana uhusiano gani katika ulimwengu wa roho?
Jibu:
Kwenye ulimwengu wa kiroho si kwa waislamu tu ambao wanahusishwa na kuwepo kwa majini,
Kwa mujibu wa biblia bwana yesu anawaagiza wanafunzi wake watawanyike ulimwenguni wakahubiri Injili kwa viumbe wote. Kwa matumaini kwamba na mapepo wamo, maana nao ni viumbe. Mark16:15-16
Kwenye ulimwengu wa imani ya kuamini dini, majini nayo yana imani tofauti tofauti kama vile tulivyo sisi binadamu. Kuna majini yenye kuamini Uislam, Ukristo, Uhindu, Upagani, na hata dini ambazo tuanziita za jadi. Na kuna yale majini yasioamini kuwepo kwa M'Mungu.
Rejea Qur'an
SURAT AL-JINN[72]:1-11
Ni vipi anatakiwa mwislam kuamini kuhusiana na majini?
(a) Wao (Majini) ni viumbe wa M'Mungu, kama ambavyo M'Mungu alivyoumba malaika vile vile aliumba majini na watu.
(b) Qur-an Tukufu haikuelezea namna ya sifa ya ndani ya maisha ya majini isipokua tu vile
walivyoumbwa kwa moto, na namna ya kuongea kwao na sisi kuongea nao na kuwasiliana nao.
(c) Lakini la kuzingatia mno ni kwamba Qur'an kwa nguvu zote inakataza watu kutaka msaada
kutoka kwa majini au kuwategema, kuwaogopa n.k kwani atakaye wafanya kuwa ni wapenzi
wasaidizi, na kuomba kinga kutoka kwao kinyume na M'Mungu, M'Mungu atamdhalilisha huyo
atakayefanya hivyo. Kwani majini hawana uhusiano wowote na mwanadamu katika maisha yao.
Hawawashi wala hawazimi, wala hawatufanyii lolote gumu kuwa jepesi wala jepesi kuwa gumu, wala hawafanyi lililopo mbali kuwa karibu. Wala hawana uwezo wa kumdhuru yeyote mwenye kumuani M'Mungu.
Huenda watu wakaomba roho hao yaani majini au mapepo wawalinde, wawadhuru wengine, watabiri wakati ujao, au wafanye miujiza. Hakika huu ni ushetani na ni uovu mkubwa.
Mwisho wa yote wao (majini) ni viumbe waliopo chini ya mamlaka ya M'Mungu hawatoki kwenye himaya yake, wala hawawezi kutoka nje ya hukumu zake, kama vile walivyo viumbe wengine.
Ndugu mwislam na wale ambao si waislam watambue kuwa Uislam ni DINI iliyokuwa mbali mno na ushirikina, kwa kutabiri mambo yatakayotokea kwa uongo. Na tutambue kuwa majini watalipwa kwa vitendo vyao vizuri au vibaya kwa ushahidi wa Qur'an, M'Mungu anasema:
"
Na wote wana daraja (malipo) sawa kwa yale waliyoyatenda. Na Mola wako si mwenye kughafilika na yale wanayoyatenda."
Qur'an Al-An'am 132.
And the great dragon was cast out, that old serpent, called the Devil, and Satan, which deceiveth the whole world: he was cast out into the earth, and his angels were cast out with him.
Revelation 12:9 From KJV
Swali . Nashangaa kwa sababu majini yana majina ya kiislam kama vile maimuna, nk. Je majini wana majina mengine?
Jawabu ni ndio, majini wana majina mbali mbali mfano:
Lucifer,
*Gagoyle, Supernatural beings, Seraphs, Cherubs, Thrones, Dominions, Virtues, Powers, Principalities, vibwengo, mzuka, nk
Katika lugha ya kiarabu tutataja baadhi yake:
a) Jinni : Anapokusudiwa jinni tu. Na maana ya neno jinni ni kitu kisichoonekana au
kilichofichika.
b) Aamir : Anapokusudiwa yule anaishi katika majumba ya watu.
c) Shetani : Anapokuwa na shari) Rauhaan : Yule anaewatokezea watotoe) Afriit : Anapokuwa na nguvu za kupindukia.
Haya ni baadhi ya majina ya sifa za majini kwa ujumla. Ama kutokana na swali letu hapo juu kuwa majina yana majina ya kiislam (!?), ni upeo tu wa kufikiri wa muulizaji wa swali. Kwanza napenda kukufahamisha kuwa
HAKUNA majina ya kiislam wala ya Kikristo kwenye ulimwengu wa Imani.
Haya tunayo yaita majina ya KIISLAMU kwa asili ni majina ya Kiarabu, au kutoka uropa kwa maana ya majina ya kizungu. Swala hili la majina nakumbuka tulisha wahi kulizungumzia kabla, kwa mtu kuitwa Aziz, Mpambalioto, Judith, Mkejina, Mariam, John haina maana yoyote zaidi ya kumtofautisha kati ya huyu na yule. Yaaani ni katika kuturahisishia tufahamiane tu, hakuna la zaidi. Unaweza kuitwa Fungameza na ukawa ni muumini mzuri wa dini au imani yako. M'Mungu aangalii unaitwa nani, anacho angalia ni kile unacho kiamini ndani ya nafsi yako. Yaani uchaji wako Kwake.
.
Very disapointing argument, see you playing devil advocate:-
1. Quran isn't a spiritual Book. That's alone make you ignorant of spiritual knowledge. Understanding black magic, makes you a Sorcerer. All sorcerers the place is in lake of fire and brimstone
The bible forewarned. About these people when saying:
"But the fearful, and unbelieving, and the abominable, and MURDERERS, and whoremongers, and SORCERERES, and idolaters, and ALL LIARS, shall have their part in the lake which burneth with fire and brimstone: which is the second death "(Revelation 21:8).
2. Satan means God's adversary. Anyone who tries to befriend with her becomes a an enemy of God. This is by default.
SATAN IS A an ENEMY OF GOD, HIS PEOPLE AND HIS PLAN. The devil is an accuser, a slanderer, an adversary, a deceiver and an opposer. This is her nature. Whatever opposes the Word of God and assaults the Lord Jesus, originates, in one way or another from Satan.
Throughout history, we have seen that the people who have resisted God and His Word are mostly people with a religious covering. Jesus' greatest opponents in His time were the religious Jews. They were the ones who time after time opposed the words of Jesus and plotted against His life, finally handing Him over to the Romans to be hanged on the cross. Religion and religious people have always been the opposers of the truth. It seems as though religion is Satan's best partner in resisting the truth of God and His Son Jesus.
3. According to Jesus himself, there are Two Kingdoms which are antagonistic to each other: God's Kingdom and Satan's Kingdom.
Therefore, Muslims who use Djinns to cast demons. They are deceiving themselves, wether they know or Dont know.
: ".. if Satan cast out Satan, he is divided against himself; how shall then his kingdom stand?'(Matthew 12:26-27).
5. Satan is a Father of Lies(John 8:44).
This is Hardly to a Muslim to identify her treachery moves since She operates inside their very blood vessels.
"And no marvel; for Satan himself is transformed into an angel of light."(2 Corinthians 11:14)
4. There is No such thing called 'Christian Djinns'
Because;
The very word 'Christian' originated from Christ our Lord and saviour. The arch enemy of Satan. A Christian refers to the one who submitted to Christ as his Lord and savior.
"Christ is The head of the Church"(Ephesians 5:23).
"he who followeth Jesus shall not walk in darkness, but shall have the LIGHT of life" (John 8:12).
Where there's is a Light, the Darkness perished.
The very foundation of Christianity dotrine lies in the salvation of Human kind from the Devil Boundage. Christ is a saviour of all sinners. Sins is seen as a stumbling block between man and his God.
"He that committeth sin is of the devil; for the devil sinneth from the beginning. For this purpose the Son of God was manifested, that he might destroy the works of the devil."(1 John 3:8)
Being with devil, automatically you are a sinner. Jinns can't stay to the pious One.
As Christians we are supposed to.. "Submit ourselves to God. To Resist the devil, and she will flee from us." (James 4:7)
As long as the Christians are stayed with Christ. There will always be a War against Djinns. One can found out that, this enemity makes them at hostility with the muslims. Since muslims and djinns are brotherhood .
Djinns are co-suppoters of Islam.
Though they neither built mosque nor fight their unbelibeavers djinns, they perpatuate hate and enemity toward the children of True almighty God. And establishing the spirit of Anti-Christ here on Earth.
5. "The world of Noah was being overflowed with water, and perished: But the heavens and the earth, which are now, by the same word are kept in store, reserved unto fire against the day of judgment and perdition of ungodly men."(2 Peter 3:6-7).
6. Satan understands that he is seriously going to hell as Jesus saith:
"Now is the judgment of this world: now shall the prince of this world be cast out." (John 12:31)
..."Of judgment, because the prince of this world is judged." (John 16:11).
7. Satan is angry she won't go to hell alone. So She attacks any one who follow Christ in order to beguile them and populate hell with human souls.
The scriptures says:
"And the dragon was wroth with the woman, and went to make war with the RRMNANT OF HER SEED, which keep the commandments of God, and have THE TESTIMONY OF JESUS CHRIST"(Revelation 12:17).
8. Jesus waged War againts Devil
" And he said unto them, I beheld Satan as lightning fall from heaven. Behold, I give unto you power to tread on serpents and scorpions, and over all the power of the enemy: and nothing shall by any means hurt you." (Luke 10:18-19)
It ia clear that; The war is not of this flesh but of a spiritual realm:
"For we wrestle not against flesh and blood, but against principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places."(Ephesians 6:12).
"For without are dogs, and sorcerers, and whoremongers, and murderers, and idolaters, and whosoever loveth and maketh a lie"(Revelation 22:15).
9. Christians are not allowed to comit sins..
"And if any man sin, we have an advocate with the Father, Jesus Christ the righteous: And he is the propitiation for our sins: and not for ours only, but also for the sins of the whole world".(1 John 2:1-2)
But in Muslim faiths sinning is not a problem. Allah is tolerance with these abominations.
Regarding Mark16:15-16:-
Jesus never taught one demon.
So it is a sheer lie to say that Jesus preached the gospel to devil. What a Foolish Joke!?!?
"And he said unto them, Go ye into all the world, and preach the gospel to EVERY CREATURE. He that believeth and is BAPTIZED shall be saved; but he that believeth not shall be damned.(Mark 16:15-16)."
1. You include Jinns since you believe they are CREATURE in Islamic perspective.
2. You ignored baptism since is Unislamic.
3. You ignored that Jesus came to save Human Kind.
4. You ignored the very fact that Jesus cast Demons who afflicted people.
Jesus declared the Judgment to Jinns, when officially said:
"Now is the judgment of this world: now shall the prince of this world be cast out. And I, if I be lifted up from the earth, will draw all men unto me."(John 12:31-32)
"Hereafter I will not talk much with you: for the prince of this world cometh, AND HATH NOTHING IN ME."(John 14:30)
"Of judgment, because the prince of this world is judged."(John 16:11)
According to Mohammad himself, there is Satanic verses in Quran:
Third point, Sura number 17, ayat number 88 regarding if all the men and jinn got together and tried to make a book as good as Quran why is that no one so far has even attempted to take up that challenge in 1400 years.
10. Mohamad was possessed.
The below verse has theological meaning.
(Matthew 23:33)
"Ye serpents, ye generation of vipers, how can ye escape the damnation of hell?"
Islam focuses on earthly staff and knows nothing about spiritual world. Quran is not a spiritual book like Holy bible. Quran only demands thing in quantitative rather than qualitative. Like praying 5 times instead of quality prayer.
Does and donts etc..