masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Kumbe wewe una ugonjwa wa kusahau, hili nimekujibu zaidi ya mara 10 kumbe uelewi , kitabu tunakijua kweli kweliSahih bukhar ktk ilimu islamu kutoka koloani ndicho kinacho fuata kwa umaarufu [emoji53] Karibuni utaikataa mpaka koloani asante [emoji122] [emoji122] [emoji106] Leo wee muma Unamuona swahaba na jirani yake baba yake fatuma huyu nawas ibn dawas aka Abu hureira, hamnazo ilaha wewe ni mwanazuoni [emoji15] [emoji12] NDIO asbab hata baba kasimu kawapiga gumi la chembe [emoji117] View attachment 937630 na hukumu yako tayari imesha andaliwa [emoji117] View attachment 937634
QURAN 3:19
"; Bila shaka dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu ni UISLAMU";
Ahahahahaahahaahaha asiejua kitabu bila shaka atajichagulia dini tofauti na uislamu kwa sababu haki kwake ni ukafiri ahahahhha ahaahhhhhahaha