Ahahahahaahahaahaha tulia dawa ikuingie hizo hasira kapige ukuta , hakuna anae sema Mungu ndio anasema wewe kilaza
QURAN 42:11
"; There is NOTHING like him";
sasa unapoanza kulialia kama umenyimwa mshahara hilo tatizo lako sio langu , hiyo hadithi uliotoa inazungumzia habari ya watu kufufuka na kupewa hukumu yao, sasa unataka nikuonyeshe shape ipi wakati kiama bado ? huu sindio ukichaa ahahahhahahhahah , watu watamjua Mungu wakati watakapokuwa wameshatoka katika maisha haya , bila wasiwasi wowote waumini kama mimi tutamuona Mungu na kumtambua kwa sababu ya matendo yetu mazuri duniani, sio hilo tu kuna mambo mengi tutayapa kwa sababu ya kutekeleza maagizo tulivyokuwa duniani