Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

umeongelea sadaka (mapato)milioni 50, je ,umewahi kufikiria kuhusu matumizi yanayohusika?Airtime kurusha vipindi kwenye radios,television.Mpaka drones hutumika kuchukua picha.Mishahara ya wachungaji wanaoshirikiana nao(Siamini kama wanafanya kazi bure bila kupewa chochote),gharama za ulinzi(kuna walinzi wanalinda pale mchana na usiku),gharama za umeme ,gharama za mafuta ya magari pamoja na generators(umeme ukikatika)gharama za maji(Kuhudumia kusanyiko lote hilo kwenye vyoo inahitajika maji),gharama za Internet;kurusha matangazo kwenye media kama youtube,facebook n.k.Pamoja na gharama zinginezo ambazo sijaziainisha hapa.Ukishajumlisha hizo gharama zote ,sasa ndio uje kuongelea hiyo milioni 50!
 
Hutawasikia wakijenga mahospital,shule hawa
Kwa style hii ya kuwapata mazombie
Lazima atajirike

Ova
Wanaojenga mahospitali na mashule kwani hujenga kwa ajili ya maskini?

Ulishaona ada za hayo makanisa majenga shule? Mtoto wa maskini aweza kanyaga hizo shule? Na Mzazi maskini akamudu ada.?

Wanakusanya sadaka kwa maskini na kuwajengea shule watoto wa matajiri shule za nguvu za ada kubwa kupata faida kubwa.

Je sahihi kuchukua sadaka kwa maskini na kuwa mtaji wa biashara ya shule kwa ajili ya watoto wa familia zanye.uwezo mkubwa kifedha?
 
Makanisa yetu Formal
RC,KKKT,KMT,
Tunatoa michango kibao na wanakula viongozi
Imeenda mbali hadi vita haziishi KKKT chanzo kikubwa ni hela.

Chuo Cha TEKU kiliyumba kisa watu wachache wamepiga hela
Ikaanza michango kuchangishwa,Kila muumini atoe 100k kama siyo M ili kulipa deni lililosababishwa na wachache kupiga pesa.

Ila nyani haoni kundule.
Tunamuona Mwamposa tu.

St nani international school michango inapita kujenga ila hakuna Mnyonge mkatoliki aliyepunguziwa japo ada ya mtoto wake pale.
 
Noma sana
20230430_174248.jpg
 
Back
Top Bottom