Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!

Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
 

Attachments

  • IMG-20230505-WA0001.jpg
    IMG-20230505-WA0001.jpg
    59.4 KB · Views: 8
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!

Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Hizo ni income,
Expenses anazo incur ni kiasi gani? Mfano
Umeme,
Wasaidizi wake,
Ukumbi wa kanisa,
Wale waigizaji wanaojifanya kupona,
Watengeneza maji ya upako,
Watengeneza Lesso za Upako,
Watengeneza mafuta ya upako,
Etc.

Anyway, still he is earning a lot. Hizo expenses hapo juu won't account even 20% of what is earning.
 
umeongelea sadaka (mapato)milioni 50, je ,umewahi kufikiria kuhusu matumizi yanayohusika?Airtime kurusha vipindi kwenye radios,television.Mpaka drones hutumika kuchukua picha.Mishahara ya wachungaji wanaoshirikiana nao(Siamini kama wanafanya kazi bure bila kupewa chochote),gharama za ulinzi(kuna walinzi wanalinda pale mchana na usiku),gharama za umeme ,gharama za mafuta ya magari pamoja na generators(umeme ukikatika)gharama za maji(Kuhudumia kusanyiko lote hilo kwenye vyoo inahitajika maji),gharama za Internet;kurusha matangazo kwenye media kama youtube,facebook n.k.Pamoja na gharama zinginezo ambazo sijaziainisha hapa.Ukishajumlisha hizo gharama zote ,sasa ndio uje kuongelea hiyo milioni 50!
Kwa million 50 bado pesa nyingi anapata
 
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!

Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
pamoja na kwamba anauza mafuta na maji, na haina kodi wala nini, inaenda mfukoni mwake.
 
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!

Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania

MUOMBE NDUGU YAKO ATULETEE MATUMIZI YA KI-IBADA YA WIKI NZIMA Ikiwa ni pamoja na
~Bills za maji, umeme, taka kavu na maji taka
~Support au Matumizi ya wasaidizi wake kwa wiki
~Gharama za kuendesha media ikiwa ni pamoja na mishahara
~Gharama ya vifaa vya kuendeshea ibada
~Kodi ya pango ya eneo la ibada
~Gharama za usafiri
~Gharama kurusha matangazo kule tcra na kwingine
~Kodi au malipo ya serikali n.k.
 
Ni muda wake!

Muacheni apige pesa maana huu utume nadhani hua unaendana na nyota. Ikizimika atakuja mwingine nae atapiga ela kwa style nyingine.

Kuna yule ka-tortoise hasikiki kabisa siku hizi.
 
umeongelea sadaka (mapato)milioni 50, je ,umewahi kufikiria kuhusu matumizi yanayohusika?Airtime kurusha vipindi kwenye radios,television.Mpaka drones hutumika kuchukua picha.Mishahara ya wachungaji wanaoshirikiana nao(Siamini kama wanafanya kazi bure bila kupewa chochote),gharama za ulinzi(kuna walinzi wanalinda pale mchana na usiku),gharama za umeme ,gharama za mafuta ya magari pamoja na generators(umeme ukikatika)gharama za maji(Kuhudumia kusanyiko lote hilo kwenye vyoo inahitajika maji),gharama za Internet;kurusha matangazo kwenye media kama youtube,facebook n.k.Pamoja na gharama zinginezo ambazo sijaziainisha hapa.Ukishajumlisha hizo gharama zote ,sasa ndio uje kuongelea hiyo milioni 50!

Wewe ni zombie wake tu
 
MUOMBE NDUGU YAKO ATULETEE MATUMIZI YA KI-IBADA YA WIKI NZIMA Ikiwa ni pamoja na
~Bills za maji, umeme, taka kavu na maji taka
~Support au Matumizi ya wasaidizi wake kwa wiki
~Gharama za kuendesha media ikiwa ni pamoja na mishahara
~Gharama ya vifaa vya kuendeshea ibada
~Kodi ya pango ya eneo la ibada
~Gharama za usafiri
~Gharama kurusha matangazo kule tcra na kwingine
~Kodi au malipo ya serikali n.k.

na haifiki even 30% ya hiyo hela.

The guy is earning more than 3 billion a year

Kwahyo mazombie yanapigwa
 
Back
Top Bottom