cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bora hata useme wee, yule anazoa sanaa helaa.Nadhani hiyo million 50 ni kadrio la chini kwa sadaka apatazo mwamposa kwa wiki jamaa hakosi 1b
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata useme wee, yule anazoa sanaa helaa.Nadhani hiyo million 50 ni kadrio la chini kwa sadaka apatazo mwamposa kwa wiki jamaa hakosi 1b
MUOMBE NDUGU YAKO ATULETEE MATUMIZI YA KI-IBADA YA WIKI NZIMA Ikiwa ni pamoja na
~Bills za maji, umeme, taka kavu na maji taka
~Support au Matumizi ya wasaidizi wake kwa wiki
~Gharama za kuendesha media ikiwa ni pamoja na mishahara
~Gharama ya vifaa vya kuendeshea ibada
~Kodi ya pango ya eneo la ibada
~Gharama za usafiri
~Gharama kurusha matangazo kule tcra na kwingine
~Kodi au malipo ya serikali n.k.
Na wewe anzisha huduma upige hizo pesa. Si unaona jamaa anafaidi sana.Jambo Jambo?
Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;
Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Jiandae kuoga matusi Toka mitahila ya wagalatiaJambo Jambo?
Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;
Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.
Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.
Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.
Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.
Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.
Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.
Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.
DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.
THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.
APEWE TUZO YA INNOVATION!!!
View attachment 2687139
Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
😀 😀Jiandae kuoga matusi Toka mitahila ya wagalatia
Wakija walivyo mazuzu wataanza kuwatukana waislamKituko
Anajenga mahoteli badala ya shule atoe huduma
Sibuka FM sio radio ya dini pia channel ten sio TV ya dini.Ukiachilia YouTube,Facebook na mitandao mingine.Kama kupata hela ni rahisi kama wewe unavyodai yeye ni mfanyabiashara,basi Fanya na wewe Kwani wewe hupendi pesa?
200m kwa Mwezi? Huyo anakusanya Pesa ndefu sana per month ,200 ni ndogo sana.
Na wewe anzisha huduma upige hizo pesa. Si unaona jamaa anafaidi sana.
Wacha wapigwe! Hata Mimi napigwa kwenye betting kila mtu na ujinga wake!
Jiandae kuoga matusi Toka mitahila ya wagalatia
Hii ipo kimkakati haikuja bahati mbaya Mosi Serikali yoyote hua hailipi kodiSerikali haichukui kodi hata sh kumi, watumishi wana exemption kwenye kodi
Ninamfahamu Mhasibu wake. Nilifanya naje jambo tulipokutana kwenye jambo lao.
Tigo pesa pekee alitoa Million 60.
Hayo ni maokoto wanaotuma watu kwa njia ya simu. Imagine!
Hakunipa hata 100 ya bure. Nililipwa ujira wangu tu.alikupa ngapi?
Hakunipa hata 100 ya bure. Nililipwa ujira wangu tu.
Ni mwanamke. Sijajua.sasa jamaa si anaiiba sana au?
Ni mwanamke. Sijajua.