Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

Tetesi: Mtume Mwamposa anakusanya zaidi ya Jumla Million 50 kwa ibada zote kwenye wiki 1

Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!


View attachment 2687139


Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Kwa baadhi ya sharika za kkkt watashangaa unavyolishangaa jambo hili
 
1. Kiimani, huyu ni mganga wala sio mchungaji.

2. Kiutajiri, nadhani amefanikiwa na anazidi kujitanua. Recently ameinunua ile Radio Voice Of Tabora ya Rage (kwa taarifa kutoka kwa mtu wa pale VOT ni Mil 300).

4. Jamaa is smart. Ukijenga kanisa as jengo, hapo unabagua wateja i.e atapata waumini wake tu. So akiwa anafanya ibada zake kwa wazi, anapata watu wote, so customer base yake ni kubwa.

4. Kiuchumi ni wa manufaa sana kwa jamii. Kama anapata 2.4 bil na haziwi taxed lakini anaziwekeza kwenye hizo hotels, radio n.k huko anaajiri, analipa kodi, kuna nssf, wcf, bima, halmashauri n.k. So anaisaidia tra kuhamisha hela toka sehemu zisizolipiwa kodi kwenda sehemu zinazolipiwa kodi.

Sawa tu na malaya anayekusanya hela kwa wanaume untaxed na kwenda kufungua duka ambalo ni taxed.
 
Kituko
Anajenga mahoteli badala ya shule atoe huduma
Unampangaia matumizi ? Yaani badala ya kulaumu Serikali uliyoiajiri ikupe huduma na kila siku inachukua Kodi zako unataka kumpangia mtu baki ?!!!

Hata akiamua ale bata na vimada - kama wanaompa wanakubaliana na matumizi hayo; who are we to say otherwise
 
Hapa Kibaha kwa Mathias kituo cha Msikitini, bara bara inayoingia ndani km Km 1 ana demu wake anamlipia kodi servant kota, anakujaga kumla mida ya saa 1 moja jioni, akija kumla demu.... dereva wa gari anafanya kama madereva wa serikali.... gari inabaki silencer muda wote wa shoo... anaPark close to the gate.... akitoka tu.... huyoooooooo.....
 
ndio sababu haziivi na mazinge[emoji23][emoji23][emoji23].kwa maokoto haya ambayo kwanza hayajalishi wewe unatoka dini au dhehebu lipi,lazima watu wakununie.

Mazinge kapambana na vimihadhara vyake uchwara ya kuponda ukristo mitaa ya tandika akikusanya sana anakusanya laki,kaona mwamposa anasepa na kijiji kaanza kupata wivu wa kike,mazinge atulize matako,this id bidness na mwampos he’s a real deal.[emoji28]
 
Nawewe si utumie ujanja wako kupata pesa,acha wivuvwa kike. [emoji28]
Pesa ninazo, za kutosha kabisa!!

Mwamposa aache utapeli na kuibia maskini wasiojitambua na wagonjwa..

Na ww acha uchawa ili ushibe pesa za dhuluma toka Kwa mwamposa,, mwisho wenu ni mbaya tu...ni suala la mda
 
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!


View attachment 2687139


Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Na wewe kafungue kanisa lako ukusanye bill 5 kwa wiki kama rahisi..
 
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!


View attachment 2687139


Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Alipe kodi.
 
Hapa Kibaha kwa Mathias kituo cha Msikitini, bara bara inayoingia ndani km Km 1 ana demu wake anamlipia kodi servant kota, anakujaga kumla mida ya saa 1 moja jioni, akija kumla demu.... dereva wa gari anafanya kama madereva wa serikali.... gari inabaki silencer muda wote wa shoo... anaPark close to the gate.... akitoka tu.... huyoooooooo.....
Una ushahidi wowote?
 
Hapa Kibaha kwa Mathias kituo cha Msikitini, bara bara inayoingia ndani km Km 1 ana demu wake anamlipia kodi servant kota, anakujaga kumla mida ya saa 1 moja jioni, akija kumla demu.... dereva wa gari anafanya kama madereva wa serikali.... gari inabaki silencer muda wote wa shoo... anaPark close to the gate.... akitoka tu.... huyoooooooo.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],kwamba madereva wana siri nzito,nzito[emoji41]
 
Historia tamu sana....zama zinapokezana..walianza kina Kakobe...mama Lwakatare....Mwingira....Sasa Mtume Mwamposa......bado wengine watakuja....
 
Uwango wa PhD huu
Mkuu watu 10,000 wakitoa sadaka ya buku pekee tayari ni million 10 Sasa mtu ana ibada almost Kila siku na sadaka za "kinabii" wanatoa sio chini ya elfu 5.

So akipata watu elfu 5 pekee kwa wiki nzima wa kutoa buku 10 hiyo tayari ni 50 million.

Hapo kumbuka Bado mafuta hujauziwa n.k so I'm sure it's more than 200m a week
 
Na wewe jitahidi kukusanya Tilion 70 Kwa wiki.. Katika maongezi yako.
 
Jambo Jambo?

Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;

Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.

Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.

Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.

Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.

Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.

Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.

Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.

DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.

THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.


APEWE TUZO YA INNOVATION!!!


View attachment 2687139


Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Mbona ndogo Kwa TB Joshua ni zaidi muacheni mtumishi wa Mungu.
 
Back
Top Bottom