YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kazi iendeleeeTayari kwasasa ipo ARISE AND SHINE pre&primary school ipo katikati ya mji wa Mbalizi Mbeya,kwasasa kuna ofa ya fomu zakujiunga zinatolewa bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi iendeleeeTayari kwasasa ipo ARISE AND SHINE pre&primary school ipo katikati ya mji wa Mbalizi Mbeya,kwasasa kuna ofa ya fomu zakujiunga zinatolewa bure
Makanisa haya ya "upako"hushamili sana kwenye unmaskini na ufukara,Jambo Jambo?
Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;
Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.
Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.
Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.
Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.
Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.
Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.
Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.
DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.
THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.
APEWE TUZO YA INNOVATION!!!
View attachment 2687139
Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Ukute wewe unapeleke MBUZI na Kuku kwa waganga wa kienyejiJambo Jambo?
Watu wanaweza kudhani pengine ni hadithi ya kusadikika lakini la hasha,Ni kweli baada ya kupokea taarifa hizi kwa mmoja wa viongozi wanaohusika na kuhesabu mtonyo.Iko hivi;
Nina Mama mdogo wangu mtu wa makamo tu (Sister mdogo kwa bi mkubwa tumbo 1) ni muumini wa Mwamposa kwa zaidi ya miaka 6 sasa kiufupi yeye ni “ZOMBIE” wa Mtume Mwamposa(Haambiwi lolote huyu juu ya mtume huyu), Alibahatika kupata nafasi za uongozi kutokana na uaminifu wake wa muda mrefu kwenye dhehebu hilo la inuka uangaze.
Sasa Majuma mawili yaliyopita nilikuwa dar es salaam kwaajili ya kucheki familia yangu na kabla sijageuka Kahama, niliaamua nipitie nyumbani kwake kumsabahi mana nilikuwa na siku nyingi hatujaonana,Nikafika na kuzugazuga hapa na pale huku tukipiga soga za hapa na pale, Wakati tukiendela na soga hizo simu ya ma mdogo ikaita (nadhani alikuwa kiongozi mwenzake wa dhehebu la mwamposa) na alipokea na kuanza kuongea maswala ya kanisa.
Lakini katikati ya maongezi yao marefu nikasikia anasema kuwa alijaza kwenye kitabu cha kumbukumbu kiasi cha Million 19 na ushee ibada ya kwanza jumapili, million 16 na ushee ibada ya tatu, Million 8 na ushee maombi ya jumatatu na million 5 na ushee maombi ya jumanne, zote zikiwa za WIKI ILIYOPITA na niliweza kuyakariri kwasababu alikuwa anarudiarudia kumuelewesha huyo anayeongea naye.
Hapo hatujapiga hesabu miamala ya simu ya kila siku kwenye maombi ya KOMBOA FAMILIA pamoja na miamala ya benki.
-Bado mauzo ya mafuta ya upako
-Bado mauzo ya vitabu vyake
-Bado mauzo ya stika zake
-Bado mauzo makaratasi ya kuandika maombi
-Bado mauzo ya maji ya upako
-Bado mauzo ya Jarida/Gazeti zake.
Oh my Goodness this guy is a Billionaire by simply exploiting the fools.
Hivi jamani mtu huyu ana uwezo wa kukusanya million zaidi ya 200 kwa mwezi ambapo kwa mwaka ni zaidi ya BILLION 2.4 ambzao hazilipiwi hata 100 mbovu ya kodi.
Na alivyomjanja hajengi kanisa bali anajenga asset zake mfano Ana hoteli yake mbeya, ana mjengo/ghorofa wake Dar na mwingine Mbeya, ana mashamba makubwa ya kisasa ya parachichi, ana magari kibao, basi la YUTONG 1, coaster 2, Hiace nyeusi za kubeba sadaka 4(imagine mtu ana gari maalum za kubebea sadaka), ana V8 3 , Radio stations nchi nzima pamoja na Tv station zote i mean zote ziko Registered under his Dominion ila upande wa pili zikiwa chini ya jina lake na mambo mengine mengine.Na hizo ndo zinajulikana zipo ambazo hatuzijui hazipo hapa.
DATA HIZI NIMEPEWA NA NDUGU HUYU ANAYESALI ZAIDI YA MIAKA 6 KWA MTUME MWAMPOSA.
THE IS THE MOST/HIGHEST GROWING BUSINESS/INVESTMENT WITH MINIMAL CAPITAL INVESTMENT BUT HAS BURSTING PROFIT IN OUR COUNTRY, THE GUY NEEDS SOME CREDIT/RECOGNITION FROM THE GOVERMNENT SERIOUSLY.
APEWE TUZO YA INNOVATION!!!
View attachment 2687139
Nshomile
kwasasa Kahama,Tanzania
Ukute wewe unapeleke MBUZI na Kuku kwa waganga wa kienyeji
Anajiandalia kustaafu kwemaTayari kwasasa ipo ARISE AND SHINE pre&primary school ipo katikati ya mji wa Mbalizi Mbeya,kwasasa kuna ofa ya fomu zakujiunga zinatolewa bure
🤣🤣Wacha wapigwe! Hata Mimi napigwa kwenye betting kila mtu na ujinga wake!
inahudumia masikini ?
Huoni kwamba shule inaweza somesha masikini Bure na kuisaidia jamii kwanamna Moja ama nyingine ,hata kama ada italipwa lakini kwakiwango fulani nafuu ,unaonaje
Chukulia ,kama sant Alfa pale nanenane na kihonda kule azimio au tosamaganga and nk
Kwa kuangalia tu ile nyomi na uhamasishaji wa utoaji sadaka hicho kiwango ni kidogoUwango wa PhD huu
Kikubwa aanze kulipa kodiumeongelea sadaka (mapato)milioni 50, je ,umewahi kufikiria kuhusu matumizi yanayohusika?Airtime kurusha vipindi kwenye radios,television.Mpaka drones hutumika kuchukua picha.Mishahara ya wachungaji wanaoshirikiana nao(Siamini kama wanafanya kazi bure bila kupewa chochote),gharama za ulinzi(kuna walinzi wanalinda pale mchana na usiku),gharama za umeme ,gharama za mafuta ya magari pamoja na generators(umeme ukikatika)gharama za maji(Kuhudumia kusanyiko lote hilo kwenye vyoo inahitajika maji),gharama za Internet;kurusha matangazo kwenye media kama youtube,facebook n.k.Pamoja na gharama zinginezo ambazo sijaziainisha hapa.Ukishajumlisha hizo gharama zote ,sasa ndio uje kuongelea hiyo milioni 50!
SahihiMakanisa haya ya "upako"hushamili sana kwenye unmaskini na ufukara,
Ukikuta sehwmu wananchi ni maskini sana,hapo huwa chaka Zuri la kuibuka kwa makanisa haya ya uponyaji,
Huna elimu,kipato duni,maisha magumu,kitu pekee cha kukupa matumaini ni kwenda kanisani,na kutiwa moyo,kwamba ukitoa zaidi(ambacho huna),Mungu atakubariki zaidi,utakuwa bilionea kama bakheresa.
Hawa maskini wanaosali kwa mwmposa,ukitaka kujua hari zao kiuchumi na kimaisha,wakute ndio wametoka,ibadsni,wanatembea kwa miguu km kadhaa kutafuta usafiri,
Kitu wasichokijua,hata wakeshe saa 24,wiki nzima,kuomba tu,hakubadilishi hari zao za kiuchumi,
Pale kanisani kwao,kuna majengo apartment zinajengwa,sasa zikiisha,tuone hawa wanaoombewa kila siku kama wataweza hata kupanga flemu za bisshara,
Umaskini unavyokuwa mwingi,ndio makanisa yanazidi kushamili!!!
Wizi mtupu,Dubai,South Korea,China,hv kuna makanisa?je ukuaji wao umetokana na kukesha makanisani?kwanini haya Mazombi hayajifunzi?
Nyie mteteeni tu lakin mwamposa ni tapeli kama matapeli wengine anatumia ujinga na shida za maskini wasiojitambua kupiga pesa..
Hakuna Yesu pale,,yule ni mfanyabiashara kama kina mo,baresa!!!!!
Afu watz sijui mpo vip mbona miujiza ,na shuhuda za watu wake zinaonekana kabisa ni za kupanga..mnafali wap ?????
Good it's a business
Kama rahisi fanya na wewe
Mimi simfuasi wa upande huo Ila ni role model wangu
Kivyovyote lazima tuwa fool wateja wetu wasiwaze brand yoyote zaidi yangu
Aendelee kuwapiga hao wajiga kwa sana hadi akili ziwakae sawa!
Mijitu inaambiwa mnatapeliwa hakuna kitu kwa huyu mtu yenyewe yanajipeleka tu!