Mtume Mwamposa 'Buludoza' popote pale ulipo, tafadhali nijibu haya maswali yangu muhimu sana kwako

'Wapumbavu' wa 'Kiimani' hamtoisha nchini Tanzania.

Nasikiliza AICC Chang'ombe na wimbo wao nao upenda kabisa "Wasamehe" ..na mimi nachagua kukusamehe pia.

Ondoa mihemko soma katikati ya mstari uelewe. Uwe na wakati mwema kiongozi.
 
Sawa Mrs. Mwamposa siku zingine nitafanya hivi. Vipi mnaanza Kulala na 'Kubaiolojiana' Saa ngapi ili nikutakieni 'Baioloji' njema nae huyo Mumeo?
Sawa Mrs. Mwamposa siku zingine nitafanya hivi. Vipi mnaanza Kulala na 'Kubaiolojiana' Saa ngapi ili nikutakieni 'Baioloji' njema nae huyo Mumeo?
Umeona sasa..sikukosea'' Una umange kimambi ndani yako''
Any ways..Mbwa mpumbavu ndie anaeweza bwekea ndege..endelea kubweka.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Unasemaaa!!
Hayo yanafanywa na watu wenye akili zao timamu au?
 
Waumini wa Mwamposa na associate nawafananisha na misukule tu.

NB 😛ovu toa Ila magadi ninayo ya kukausha hilo povu.!
 
. Ni kwanini pamoja na Kupata Sadaka nyingi mno lakini huwazi kuhama Tanganyika Packers ambako Miundombinu yake ni mibovu?
Nafikiri pale kuna lango kuu la kupokelea nguvu- hapapungukiwi manabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…