Mtume Mwamposa kufanya Kongamano kubwa la kumuombea Rais Samia, kuuombea Uchaguzi mkuu na kuwaombea Viongozi wa Upinzani Uwanja wa Taifa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nawasalimu katika Jina lipitalo Majina yote la Bwana Yesu Kristo

Kutakuwa na Kongamano kubwa la kumuombea Rais Samia wa JMT, Kuuombea Uchaguzi mkuu wa October, Kuwaombea Viongozi Wakuu wa Vyama vya Upinzani na kuliombea taifa kwa Ujumla

Kongamano litafanyika Uwanja wa Taifa na Wenyeviti Wote wa Vyama vya Siasa watashiriki

Ni Siku ya Ijumaa na Usafiri utakuwepo kuanzia Kawe kwa Mtume Mwamposa na kwenye vitongoji vyote vya Jiji la DSM tayari kuwapeleka Wananchi Uwanja wa Taifa

Source Arise and Shine Tv

Mlale unono πŸ˜€
 
Amesahau mgeni rasmi atakuwa mkuu wa mkoa wa arusha paulo makonda
 
Mungu Ibariki Tanzania πŸ’
 
Yohana Mbatizaji, wewe unaanzisha nyuzi ngapi kwa siku? JF wakiamua kutoa tuzo ya wingi wa threads utakuwa huna mpinzani.😁
 
Anamuombea Kwa Jina la Yesu ashinde urais wa Tanzania na akishinda anaemia Jina la Bwana libarikiwe na yeye ni muislam?Hakika nawaambia hata wana-ccm wenzake hawatamchagua
 
Akaombee wagonjwa kwenye mahospitali huko
 
Mwamposa ni tapeli anayepewa ushirikiano mkubwa na sirikali ili kuzidi kuwahadaa na kuwapa matumaini hewa wananchi.
 
Mwamposa ni Mtume!? Kwahiyo Mohamed na Mwamposa ni droo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…