Anaombea kitu gani huku mfumo mzima wa uchaguzi ni uhuni mtupu?Nawasalimu katika Jina lipitalo Majina yote la Bwana Yesu Kristo
Kutakuwa na Kongamano kubwa la kumuombea Rais Samia wa JMT, Kuuombea Uchaguzi mkuu wa October, Kuwaombea Viongozi Wakuu wa Vyama vya Upinzani na kuliombea taifa kwa Ujumla
Kongamano litafanyika Uwanja wa Taifa na Wenyeviti Wote wa Vyama vya Siasa watashiriki
Ni Siku ya Ijumaa na Usafiri utakuwepo kuanzia Kawe kwa Mtume Mwamposa na kwenye vitongoji vyote vya Jiji la DSM tayari kuwapeleka Wananchi Uwanja wa Taifa
Source Arise and Shine Tv
Mlale unono 😀
Aseme ukweli tu kuwa mfumo wa uchaguzi hauwezi kusimamia uchaguzi kwa haki kwa kuwa mgombea mmoja anateua tume nzima ya uchaguzi