Mtume Mwamposa kufanya Kongamano kubwa la kumuombea Rais Samia, kuuombea Uchaguzi mkuu na kuwaombea Viongozi wa Upinzani Uwanja wa Taifa!

Anaombea kitu gani huku mfumo mzima wa uchaguzi ni uhuni mtupu?
Aseme ukweli tu kuwa mfumo wa uchaguzi hauwezi kusimamia uchaguzi kwa haki kwa kuwa mgombea mmoja anateua tume nzima ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…