The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
- #21
Kwani imeandikwa kijaluo hapo hadi ufafanuliwe?Haya fafanua sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani imeandikwa kijaluo hapo hadi ufafanuliwe?Haya fafanua sasa
Fafanua maana nasikia P alikua mwanachama wa upindeKwani imeandikwa kijaluo hapo hadi ufafanuliwe?
Sasa kati ya p na wewe nani anaweza kua mwananchama wa upinde? Kama vitu vidogo hivyo wiko wazi inataka ufafanuliwe, utashindwa kupakuliwa kweli? Maana kila kitu unataka urahisishiwe.Fafanua maana nasikia P alikua mwanachama wa upinde
Wewe unataka kupakuliwa? Au umeshapakuliwa?Sasa kati ya p na wewe nani anaweza kua mwananchama wa upinde? Kama vitu vidogo hivyo wiko wazi inataka ufafanuliwe, utashindwa kupakuliwa kweli? Maana kila kitu unataka urahisishiwe.
Basi nakuja kukufafanulia mtoto mzuri. Nakuja nyumbani nikufafanulie vizuri mrembo wangu.Wewe unataka kupakuliwa? Au umeshapakuliwa?
Unaliwa kisamvuBasi nakuja kukufafanulia mtoto mzuri. Nakuja nyumbani nikufafanulie vizuri mrembo wangu.
Yes, nakula kisamvu mama. Nipikie nakuja mrembo wangu. Nakuja nile halafu nile tena. Jiandae mama.Unaliwa kisamvu
"Rabaika"Wale vijana wa kataa ndoa wana haki ya kusema ndoa sio lazima kwa sababu hata Biblia Takatifu inasema kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, basi usijaribu kabisa kuingia kwenye ndoa.
Wakorintho 1, Sura ya 7: 8-9 Mtume Paulo anasema ndoa iwe ni last option baada ya kua umeshindwa kabisa na huna namna ya kuishi lakini yeye binafsi kwa maono yake makubwa aliyovuviwa na roho mtakatifu anashauri watu wasioe wala kuolewa.
Hoja ya Mtume Paulo ni moja, kwamba kama unaweza kupata maziwa huna sababu ya kulazimika kununua ng'ombe mzima ufuge zizini kwako. Nunua ng'ombe tu pale huna namna ya kupata maziwa.
Mtume Paulo anaenda mbali zaidi mstari wa 27-29 anasema kama umeoa basi hakuna kumpa mke talaka lakini kama hujaoa basi usijaribu hata kidogo kutafta mke. Paulo anasisitiza kwamba kuoa ni kujutaftia matatizo makubwa sana bora usioe. Mtume anasema wanao oa wanakabiliwa na matatizo makubwa sana maishani mwao.
Kama biblia inaonya kwamba kuoa ni kujitaftia matatizo, why uoe?
uzinzi ni addiction hata ukioaunaeeza kukaa bila uzinzi?
Ila ni kweli Wanawake ni chanzo cha stress na matatizoTafsiri sahihi.
1 Wakorintho 7:8-9
8 Na sasa nasema kwa wale wasioolewa na kwa wajane. Ingekuwa vizuri kama wangeendelea kuishi bila kuoa au kuolewa kama mimi. 9 Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe. Ni afadhali kuoa kuliko kuwaka kwa tamaa.
Acha kutafsiri maneno matakatifu vibaya paulo hajakataza watu wasiowe,,,!Wale vijana wa kataa ndoa wana haki ya kusema ndoa sio lazima kwa sababu hata Biblia Takatifu inasema kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, basi usijaribu kabisa kuingia kwenye ndoa.
Wakorintho 1, Sura ya 7: 8-9 Mtume Paulo anasema ndoa iwe ni last option baada ya kua umeshindwa kabisa na huna namna ya kuishi lakini yeye binafsi kwa maono yake makubwa aliyovuviwa na roho mtakatifu anashauri watu wasioe wala kuolewa.
Hoja ya Mtume Paulo ni moja, kwamba kama unaweza kupata maziwa huna sababu ya kulazimika kununua ng'ombe mzima ufuge zizini kwako. Nunua ng'ombe tu pale huna namna ya kupata maziwa.
Mtume Paulo anaenda mbali zaidi mstari wa 27-29 anasema kama umeoa basi hakuna kumpa mke talaka lakini kama hujaoa basi usijaribu hata kidogo kutafta mke. Paulo anasisitiza kwamba kuoa ni kujutaftia matatizo makubwa sana bora usioe. Mtume anasema wanao oa wanakabiliwa na matatizo makubwa sana maishani mwao.
Kama biblia inaonya kwamba kuoa ni kujitaftia matatizo, why uoe?
kujiendekeza tuuzinzi ni addiction hata ukioa
Kuoa au kuolewa hakuzuu mtu kuwa mzinzi. Maana tunaona wengi wemeoa na kuolewa ila wana michepuko hatari.unaeeza kukaa bila uzinzi?
Ili uzini zaidi?Kama unaweza kuishi bila kuzini basi usioe
Hapo anamaanisha uoe au kuolewa ili usizini.
Lakini Dunia ya sasa watu wameoa na kuolewa lakini wanazini hivyo ni Bora tuu tusioe au kuolewa
Daa; maandishi alioandika hapo huyu jamaa kuna sehemu hata moja ambayo walau inaonesha P alikua na hizo tabia? Kwenye Biblia hakuna mtume hata 1 ambaye walau unaweza kum suspect kama alikua na hizo; sijui mitume wa vitabu vingine, lakini kwa Biblia hapana; halafu mtu mwenyewe Paulo sasa; mtu ambaye alikua na msimamo mkali mno katika mambo ya IMANIFafanua maana nasikia P alikua mwanachama wa upinde
Hii ndio hoja halisi ya mtume, Ndoa ina masumbufu mengi hivyo kama huyataki basi achana na swala la Ngono sa sijui wewe utajichua au utajikaza kitawa.Kataa ndoa, ishi kitawa