Mtume Paulo anaonya kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, usioe ama kuolewa tena. Kuoa ni kujitafutia matatizo. Olewa ama oa kama last option

Mtume Paulo anaonya kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, usioe ama kuolewa tena. Kuoa ni kujitafutia matatizo. Olewa ama oa kama last option

Fafanua maana nasikia P alikua mwanachama wa upinde
Sasa kati ya p na wewe nani anaweza kua mwananchama wa upinde? Kama vitu vidogo hivyo wiko wazi inataka ufafanuliwe, utashindwa kupakuliwa kweli? Maana kila kitu unataka urahisishiwe.
 
Sasa kati ya p na wewe nani anaweza kua mwananchama wa upinde? Kama vitu vidogo hivyo wiko wazi inataka ufafanuliwe, utashindwa kupakuliwa kweli? Maana kila kitu unataka urahisishiwe.
Wewe unataka kupakuliwa? Au umeshapakuliwa?
 
Mithali 30:5-6
[5]Kila neno la Mungu limehakikishwa;
Yeye ni ngao yao wamwaminio.

[6]Usiongeze neno katika maneno yake;
Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.


Usimfanye Mungu aseme uongo
 
Wale vijana wa kataa ndoa wana haki ya kusema ndoa sio lazima kwa sababu hata Biblia Takatifu inasema kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, basi usijaribu kabisa kuingia kwenye ndoa.

Wakorintho 1, Sura ya 7: 8-9 Mtume Paulo anasema ndoa iwe ni last option baada ya kua umeshindwa kabisa na huna namna ya kuishi lakini yeye binafsi kwa maono yake makubwa aliyovuviwa na roho mtakatifu anashauri watu wasioe wala kuolewa.

Hoja ya Mtume Paulo ni moja, kwamba kama unaweza kupata maziwa huna sababu ya kulazimika kununua ng'ombe mzima ufuge zizini kwako. Nunua ng'ombe tu pale huna namna ya kupata maziwa.

Mtume Paulo anaenda mbali zaidi mstari wa 27-29 anasema kama umeoa basi hakuna kumpa mke talaka lakini kama hujaoa basi usijaribu hata kidogo kutafta mke. Paulo anasisitiza kwamba kuoa ni kujutaftia matatizo makubwa sana bora usioe. Mtume anasema wanao oa wanakabiliwa na matatizo makubwa sana maishani mwao.

Kama biblia inaonya kwamba kuoa ni kujitaftia matatizo, why uoe?
"Rabaika"
 
Paulo alikuwa towashi yule what do you expect. Kama hujui maana ya towashi katafute usiniulize Mimi.
 
Tafsiri sahihi.

1 Wakorintho 7:8-9​

8 Na sasa nasema kwa wale wasioolewa na kwa wajane. Ingekuwa vizuri kama wangeendelea kuishi bila kuoa au kuolewa kama mimi. 9 Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe. Ni afadhali kuoa kuliko kuwaka kwa tamaa.
Ila ni kweli Wanawake ni chanzo cha stress na matatizo


Ndio maana ukiangalia wanaume wengi waliooa wameanza kuzeeka mapema
 
Wale vijana wa kataa ndoa wana haki ya kusema ndoa sio lazima kwa sababu hata Biblia Takatifu inasema kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, basi usijaribu kabisa kuingia kwenye ndoa.

Wakorintho 1, Sura ya 7: 8-9 Mtume Paulo anasema ndoa iwe ni last option baada ya kua umeshindwa kabisa na huna namna ya kuishi lakini yeye binafsi kwa maono yake makubwa aliyovuviwa na roho mtakatifu anashauri watu wasioe wala kuolewa.

Hoja ya Mtume Paulo ni moja, kwamba kama unaweza kupata maziwa huna sababu ya kulazimika kununua ng'ombe mzima ufuge zizini kwako. Nunua ng'ombe tu pale huna namna ya kupata maziwa.

Mtume Paulo anaenda mbali zaidi mstari wa 27-29 anasema kama umeoa basi hakuna kumpa mke talaka lakini kama hujaoa basi usijaribu hata kidogo kutafta mke. Paulo anasisitiza kwamba kuoa ni kujutaftia matatizo makubwa sana bora usioe. Mtume anasema wanao oa wanakabiliwa na matatizo makubwa sana maishani mwao.

Kama biblia inaonya kwamba kuoa ni kujitaftia matatizo, why uoe?
Acha kutafsiri maneno matakatifu vibaya paulo hajakataza watu wasiowe,,,!
 
Tafsiri iwavyo vyovyote,,Mwisho wa siku kataa ndoa Wana point tatu na goli tatu mkononi...,😀😀😀
 
Kama unaweza kuishi bila kuzini basi usioe
Hapo anamaanisha uoe au kuolewa ili usizini.
Lakini Dunia ya sasa watu wameoa na kuolewa lakini wanazini hivyo ni Bora tuu tusioe au kuolewa
Ili uzini zaidi?
 
Fafanua maana nasikia P alikua mwanachama wa upinde
Daa; maandishi alioandika hapo huyu jamaa kuna sehemu hata moja ambayo walau inaonesha P alikua na hizo tabia? Kwenye Biblia hakuna mtume hata 1 ambaye walau unaweza kum suspect kama alikua na hizo; sijui mitume wa vitabu vingine, lakini kwa Biblia hapana; halafu mtu mwenyewe Paulo sasa; mtu ambaye alikua na msimamo mkali mno katika mambo ya IMANI
 
Hakuna ujinga ulio mkuu kama kupindisha tafsiri ili kutetea mitazamo yako, We achana na ndoa saka papuchi kadhaa tafuna enjoy na hakuna atakae kuuliza hukua na sababu ya kupindisha hoja ya Bwana P.
Hushindwi kutumia maandiko kutetea Upinde wewe.
 
Back
Top Bottom