Mtume Paulo anaonya kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, usioe ama kuolewa tena. Kuoa ni kujitafutia matatizo. Olewa ama oa kama last option

Mtume Paulo anaonya kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, usioe ama kuolewa tena. Kuoa ni kujitafutia matatizo. Olewa ama oa kama last option

Daa; maandishi alioandika hapo huyu jamaa kuna sehemu hata moja ambayo walau inaonesha P alikua na hizo tabia? Kwenye Biblia hakuna mtume hata 1 ambaye walau unaweza kum suspect kama alikua na hizo; sijui mitume wa vitabu vingine, lakini kwa Biblia hapana; halafu mtu mwenyewe Paulo sasa; mtu ambaye alikua na msimamo mkali mno katika mambo ya IMANI
P ndio Sauli alikua muuaji wa Wakristo si ndio huyo akapigwa upofu?
 
Wale vijana wa kataa ndoa wana haki ya kusema ndoa sio lazima kwa sababu hata Biblia Takatifu inasema kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, basi usijaribu kabisa kuingia kwenye ndoa.

Wakorintho 1, Sura ya 7: 8-9 Mtume Paulo anasema ndoa iwe ni last option baada ya kua umeshindwa kabisa na huna namna ya kuishi lakini yeye binafsi kwa maono yake makubwa aliyovuviwa na roho mtakatifu anashauri watu wasioe wala kuolewa.

Hoja ya Mtume Paulo ni moja, kwamba kama unaweza kupata maziwa huna sababu ya kulazimika kununua ng'ombe mzima ufuge zizini kwako. Nunua ng'ombe tu pale huna namna ya kupata maziwa.

Mtume Paulo anaenda mbali zaidi mstari wa 27-29 anasema kama umeoa basi hakuna kumpa mke talaka lakini kama hujaoa basi usijaribu hata kidogo kutafta mke. Paulo anasisitiza kwamba kuoa ni kujutaftia matatizo makubwa sana bora usioe. Mtume anasema wanao oa wanakabiliwa na matatizo makubwa sana maishani mwao.

Kama biblia inaonya kwamba kuoa ni kujitaftia matatizo, why uoe?
Hapana unapotosha, mstari wa kwanza anasema ni heri mtu asimguse mwanamke, lakini kwa sababu ya zinaa basi kila mtu awe na mke wake mwenyewe, yaani kama hutaki kuoa basi usimguse mwanamke kabisa, We kuweza!!!!?

Lakini kama unataka utelezi ndio hapo amesema kila mtu awe na mke wake na huko msinyimane. Kataa ndoa ni genge la wahuni wanaotaka utelezi bila kuoa
 
P ndio Sauli alikua muuaji wa Wakristo si ndio huyo akapigwa upofu?
Yes, it him..., sasa hapo kuna uhusiano wowote na upinde? And it sound like umemsoma vizuri huyu mtu, kuna sehemu yeyote umewahi kumuhisi hivo?
 
Back
Top Bottom