Mtume Paulo anaonya kama hujaoa ama kuolewa ama mjane, usioe ama kuolewa tena. Kuoa ni kujitafutia matatizo. Olewa ama oa kama last option

P ndio Sauli alikua muuaji wa Wakristo si ndio huyo akapigwa upofu?
 
Hapana unapotosha, mstari wa kwanza anasema ni heri mtu asimguse mwanamke, lakini kwa sababu ya zinaa basi kila mtu awe na mke wake mwenyewe, yaani kama hutaki kuoa basi usimguse mwanamke kabisa, We kuweza!!!!?

Lakini kama unataka utelezi ndio hapo amesema kila mtu awe na mke wake na huko msinyimane. Kataa ndoa ni genge la wahuni wanaotaka utelezi bila kuoa
 
P ndio Sauli alikua muuaji wa Wakristo si ndio huyo akapigwa upofu?
Yes, it him..., sasa hapo kuna uhusiano wowote na upinde? And it sound like umemsoma vizuri huyu mtu, kuna sehemu yeyote umewahi kumuhisi hivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…