Mtumiaji wa WhatsApp, chunga sana usije ukaibiwa kwa mtindo huu

Mtumiaji wa WhatsApp, chunga sana usije ukaibiwa kwa mtindo huu

Title na body ishu mbili tofauti.

Kilichoandikwa kwenye body ni so common. Kirefu cha HTTP na HTTPS hata aliyesoma Introduction to Computer anakijua.

Huu uzi bado tunaudai taarifa zaidi.
wewe sio kila mtu anajua http na https kama wewe unayajua sio wote wewe ukijua hiki unaweza kuta hujui kingine taaluma nyingine
 
Kwa walio wengi, kutuambia tuzuie hackers ni sawa na kutuambia tuzuie mto Nile usipeleke maji Misri
 
Back
Top Bottom