and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
😂😂😂Hatari sana. Siwezi kufanya huu upuuzi under influence of social media
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Hatari sana. Siwezi kufanya huu upuuzi under influence of social media
Karibu mkuu tuone kati ya hizo maana mbili ipi inafanya kaziTuliosoma shule za kata, hapo tunaona kauli kama ina utata hivi.
It's over me and you= it's on top of us ( uhusiano bado upo).
It's over me and you= it's over between us ( uhusiano umefika mwisho).
Kama huyu ni Dem wako mkuu sina mengi ya kukwambia ila kaa nae kijanja sana Mkuu Nimemaliza naludisha maiki meza kuu.Noma sana
View attachment 3127988
Asante kwa ushari mkuu ila kiufupi tu huyo dem humwambii chochote kuhusu mimi akakuelewaKama huyu ni Dem wako mkuu sina mengi ya kukwambia ila kaa nae kijanja sana Mkuu Nimemaliza naludisha maiki meza kuu.
Sawa mkuu ni vizuri sana Mwanamke akikupenda nawatakia kila la Kheri MkuuAsante kwa ushari mkuu ila kiufupi tu huyo dem humwambii chochote kuhusu mimi akakuelewa