Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Wanabodi,nimepewa story na mtu wa karibu na marehemu kuwa huenda kilichosababisha jamaa kujiua ni pamoja na misukosuko ya ndoa yake.
Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife chuo hapo UDOM, baada ya wife kumaliza chuo jamaa akafanya makaratee wife akapata ajira Tamisemi wakaendelea vizuri
Boss mmoja inadaiwa Mkurugenzi akamtamani mke wa jamaa(marehemu) mara kidogo jamaa akatumwa kufanya kazi nje ya nchi huku bongo boss akaanza kumgegeda wife wa mchizi.
Jamaa ile anarudi bongo kamkuta wife mjamzito kuanza kumuuliza wife anajiuma uma mara wife akahamishiwa Dar kukaa tena wife akadai wagawane mali hataki tena ndoa. Wife akaenda Mahakamani sijui alikuwa akipewa backup na boss Mahakama ikaamuru nyumba itiwe kufuli asikae mtu mpaka uamuzi wa Mahakama utolewe
Jamaa inadaiwa kwao wako vizuri sana huko Sumbawanga baba yake ni mmoja wa matajiri wa mwanzo wakubwa. Jamaa alikuwa ana nyumba 4, tatu zipo Dom moja Kisasa,Ilazo na mbili Kikuyu ambapo moja ni ghorofa na nyingne ipo Moro
Basi jamaa baada kuondoshwa kwenye nyumba na Mahakama akaenda nyumba yake ya Kisasa ndio siku moja kaenda kula vyombo Morena baada ya hapo akakutwa kafa ndani ya gari kwenye parking
Baada ya msiba ndugu wa marehemu walichofanya wakamwambia yule mke wake kuwa wao hawawezi kumnyanganya mali yoyote ila kwa kuwa alizaa na ndugu yao wakamwachia nyumba zote za marehemu ili mtoto akikua atazikuta na muda mchache baada ya kifo cha jamaa yule wife kapata uhamisho kurudi tena Dodoma.
Kweli duniani hakuna fair
----
Pia Soma
www.jamiiforums.com
Inasemekana marehemu alikuwa akiishi vizuri tu na mke wake na alimuoa kipindi jamaa yuko TAMISEMI kashaajiriwa. Baada ya kuoa akaamua kumpeleka kumsomesha wife chuo hapo UDOM, baada ya wife kumaliza chuo jamaa akafanya makaratee wife akapata ajira Tamisemi wakaendelea vizuri
Boss mmoja inadaiwa Mkurugenzi akamtamani mke wa jamaa(marehemu) mara kidogo jamaa akatumwa kufanya kazi nje ya nchi huku bongo boss akaanza kumgegeda wife wa mchizi.
Jamaa ile anarudi bongo kamkuta wife mjamzito kuanza kumuuliza wife anajiuma uma mara wife akahamishiwa Dar kukaa tena wife akadai wagawane mali hataki tena ndoa. Wife akaenda Mahakamani sijui alikuwa akipewa backup na boss Mahakama ikaamuru nyumba itiwe kufuli asikae mtu mpaka uamuzi wa Mahakama utolewe
Jamaa inadaiwa kwao wako vizuri sana huko Sumbawanga baba yake ni mmoja wa matajiri wa mwanzo wakubwa. Jamaa alikuwa ana nyumba 4, tatu zipo Dom moja Kisasa,Ilazo na mbili Kikuyu ambapo moja ni ghorofa na nyingne ipo Moro
Basi jamaa baada kuondoshwa kwenye nyumba na Mahakama akaenda nyumba yake ya Kisasa ndio siku moja kaenda kula vyombo Morena baada ya hapo akakutwa kafa ndani ya gari kwenye parking
Baada ya msiba ndugu wa marehemu walichofanya wakamwambia yule mke wake kuwa wao hawawezi kumnyanganya mali yoyote ila kwa kuwa alizaa na ndugu yao wakamwachia nyumba zote za marehemu ili mtoto akikua atazikuta na muda mchache baada ya kifo cha jamaa yule wife kapata uhamisho kurudi tena Dodoma.
Kweli duniani hakuna fair
----
Pia Soma
Nini kimemkuta Mtumishi huyu wa Umma? Kwanini inafanywa siri?
Ndugu zangu, Machi 23, 2019 jijini Dodoma katika Hoteli ya Morena kilitokea kitu ambacho si cha kawaida. Naam, mwili wa mtumishi wa umma (jina kapuni kwa sasa lakini niseme ni D. Maufi) ulikutwa kwenye gari katika maegesho ya Hoteli ukiwa umeanza kuharibika ishara inayoonyesha kama alikuwa na...