Tetesi: Mtumishi TAMISEMI Dodoma aliyekutwa kafa ndani gari kwenye maegesho ya hoteli ya Morena, stori yake inasikitisha sana

Siku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa

Kwa ushauri zaidi njoo pm
True you are right.
 
Niwajuavyo watu wa sumbawanga uyu dada hachukui round.
Alafu wanaume demu akikuzingua achana nae maisha yaende akili zao hawa sometimes huwa zawatosha wenyewe.
 
Huu ndio ukweli vijana wengi wanakwama hapa kujifanya wanapenda
Ndo tatizo la kutokuwa na michepuko hilo ,jamaa angekuwa na michepuko wala asingewaza chochote angamtema kiroho safi na kuendelea na maisha
 
Namshukuru sana mwanamke alieniumiza maana ningeoa bila kuumizwa yawezekana ya maufi yangekua

Mke nikimkuta na msg isiyoeleweka atapokea kichapo afu asepe kwake.

Sina huruma na ujinga kabisa sahiivi afu sina upendo wa kweli
 
Kweli hawa watu ukitaka kuwaelewa hutoweza ni kuishi nao kwa Akili tu
 
Nimeipenda
Siku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa

Kwa ushauri zaidi njoo pm
 
Hee kama wasumbawanga hizo nyumba alizoachiwa asiende kukaa kitakacho mpata huyo mwanamke atasimulia kunajamaa uku kwetu aliua mtu wa sumbawanga ndugu wa marehem walisema tumemsamehe na kesi haikufunguliwa mahakamani sasa kilicho mpata yule muuaji tulizika nae
 
angemsahau tu aendelee na maisha yake, mke akishaanza kiburi ndani timua
Watu walioishi pamoja na kupendana ghafla mmoja aseme sikutaki ni ngumu sana kulipokea inahitaji moyo wa ujasiri
 
Wanawake wako kibaaaooo!! Mmoja akikuletea za kuleta si umwache uchukue mwingine ? Ndio maana mababu zetu walikuwa wanaoa wake wengi. Mmoja akikuletea stress unaenda kwa mwingine. Namsikitikia sana huyo marehemu. IT IS NOT WORTH IT TO DIE BECAUSE OF THE STRESS CAUSED BY A WOMAN WHILE THEY ARE A DIME A DOZEN !!(wako wengi, fungu shilingi- tena wazuriiii !!!)!!
 
Huyo mke hatakuwa na amani pamoja na boss...mark my words...watapata Mikasa na taabu nyingi...
 
Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
Ubovu wa hizi sheria, ni pale wanapoangalia upajde wa mali za mwanaume pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…