Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Waligawana na DauHiyo waligawana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waligawana na DauHiyo waligawana
Mkoani wanahesabu kilomita + mke+watoto wanne+mizigo+disturbance allowanceKwa hiyo hapo alihama kikazi ama na maisha kwa ujumla? Je andeenda mkoani angelipwa kiasi gani?
Akiongeza milioni 4 anapata HARRIER tako la nyani hapo namba DWAcheni unoko. We 26m unaona nyingii kua anafaidi sio?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Hii nchi kuna Watu wanoko sana....yani 26m mtu anapata chuki hadi anaanzisha uzi kabisa.Akiongeza milioni 4 anapata HARRIER tako la nyani hapo namba DW
Fuso ya nini?
laana ya nini sasa, ni katika kusaidiana tu mtu astaafu vzr, ndo nyie mstaafu akifulia mtaani mnaanza kumcheka,siyo tu hivyo sehwm nyingine mstaafu anatafutuwa hata safari mbili za nje apatw perdiem nzuri ya kimataifa akitoka hapo ana milion yake 20 ndani, huku anafuatilia mafao yake ,Inawezekana ni majungu lakini binafsi kuna mzee namfahamu alikuwa ana miezi kadhaa kabla ya kustaafu. Kwao ni Morogoro, lakini alifanyiwa mpango akahamishwa Bukoba, akapewa hela ya Transfer kwenda Bukoba, of course alienda peke yake akapanga room 1 baada ya muda mfupi akastaafu, akalipwa tena hela ya usafiri kurudi Morogoro. Alivuta kama 30M extra kwa huo mchezo, na hapo ofisini HR wanafanya hako kabiashara na watu wanaokaribia kustaafu.
Resources zipo, ila matumizi ndio laana tupu.
mtu anapohamishwa ndani ya mkoa/ wilaya moja ambapo maisha yake hayataathiri kuhama phyisically analipwa kitu kinaitwa disturbance allowance, na huwaga ni 10 % ya mshahara wake wa mwaka, yaani chukua gross salary yake ya mwez zidisha mara 12 ,ile amount ndo calculate 10%, ndo unapata kiasi anachostahili kulipwa, sasa nimewaza kitu kimoja,huyo mtu hatujui mshahara wake ulikuwaje kwa mwezi,kwa mtu ambaye anastahili kulipwa hiyo amount ni yule ambaye annual gross salary yake ni milion 260,000,000/-ambayo ukiigawanya kwa 12 unapata mshahara wa milion 21,700,000 kwa mwezi ambao kwa mashirika makubwa kama hayo ni mshahara wa kawaida tu kabla hujatoa kodi, au lbda mshahra wake haukua mkubwa kiasi hicho, ila alikuwa na malimbikizo ya madeni mbali mbali ktk ofisi yake kama safari, likizo n. k, ukijumlisha na disturbance allowance yake ndo inafikia kiwango hicho, kwahiyo tusiendekeze njaa kwa mambo ya kisheria na taratibu, kama kitu hakijawa reported kama ni fraud imefanyika basi jua ni haki yake, na wewe pqmbana uweze kufikia level hizo, na wasio waajiriwa wanaoona ajira ni utumwa wajue kuwa kuna watu wanalipwa mishahara zaidi ya mitaji yao kwa mwaka!!Wakati wa uongozi wa aliyekua DG wa NSSF William ERIO NSSF ilijaa matumizi mabaya ya fedha za shirika mpaka kufikia kumlipa mfanyakazi sh milioni 26 za UHAMISHO akitoka makao makuu Posta akihamia ofisi ya Kinondoni DSM.
Maajabu kama haya unayapata nchi zenye mfumo wa hovyo katika Taasisi.
Naomba utueleze ni sheria ipi na ya mwaka upi inasema kuhamishwa within mkoa unalipwa disturbance ya 10%mtu anapohamishwa ndani ya mkoa/ wilaya moja ambapo maisha yake hayataathiri kuhama phyisically analipwa kitu kinaitwa disturbance allowance, na huwaga ni 10 % ya mshahara wake wa mwaka, yaani chukua gross salary yake ya mwez zidisha mara 12 ,ile amount ndo calculate 10%, ndo unapata kiasi anachostahili kulipwa, sasa nimewaza kitu kimoja,huyo mtu hatujui mshahara wake ulikuwaje kwa mwezi,kwa mtu ambaye anastahili kulipwa hiyo amount ni yule ambaye annual gross salary yake ni milion 260,000,000/-ambayo ukiigawanya kwa 12 unapata mshahara wa milion 21,700,000 kwa mwezi ambao kwa mashirika makubwa kama hayo ni mshahara wa kawaida tu kabla hujatoa kodi, au lbda mshahra wake haukua mkubwa kiasi hicho, ila alikuwa na malimbikizo ya madeni mbali mbali ktk ofisi yake kama safari, likizo n. k, ukijumlisha na disturbance allowance yake ndo inafikia kiwango hicho, kwahiyo tusiendekeze njaa kwa mambo ya kisheria na taratibu, kama kitu hakijawa reported kama ni fraud imefanyika basi jua ni haki yake, na wewe pqmbana uweze kufikia level hizo, na wasio waajiriwa wanaoona ajira ni utumwa wajue kuwa kuna watu wanalipwa mishahara zaidi ya mitaji yao kwa mwaka!!