Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Do you know the reason behind the whole saga? Kuchoma kohorani na kusimamishwa kazi vinahusianaje?
Huyu bwana mdogo huenda akili hazipo sawa. Mie nashauri apimwe akili maana kwa usomi wake, mtumishi wa umma na eneo alilopo kuna walakini katika kichwa chake. Kajiaibisha yeye na wengine wanaomzunguka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuni kama huo hiyo ndiyo stahili yake.
Maana ni kosa la jinai,kwa hiyo ukiwa na kesi mahakamani taratibu za kazi ni lazima usimamishwe kazi.

Mimi ni mkristo ila hizo ni tabia za kipagani hazikubaliki
Kiuhalisia Waziri Hakutakiwa kuliingilia hili swala, inaonyesha ni kwakiasi gani udini upo ndani ya viongozi wakati serikali inaimba kutokuwa na Dini.

#Bagwell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
T-Bagwell,
Kakosea. Yeye ni kiongozi wa serikali na anapaswa kusimamia mambo ya kiserikali/kiutumishi. Je kama angachana Atlas au kamusi angesimamishwa kazi?

Ningeshauri huyo waziri acachane na hayo mabo yatakuja mchafua, vinginevyo, achukue kanzu na aende msikitini kuendesha mambo ya ibada aachane na kazi za serikali
 
Aliempeleka Mahakaman hadi kunyimwa dhamana sio JAFFU

Hata hivyo hajafukuzwa, kasimamishwa

Atapewa barua ya makosa yake na mnaweza kumsaidia kujibu hoja
Amefanya kosa gani?

Kwani Jafo hajui kuwa hiyo quran imehifadhiwa nyoyoni kwa waumini wa kiislamu hata ikichanwa hakuna tatizo au jafo yeye hajaiifadhi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…