johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nani muislam?Kafanya hivo kwasababu ni muislam.vipi una swali jengine?
Acha upimbi kwanza jibu swali unajua neno ‘Utumishi wa Umma’ kinatokana na neno ‘UMMA’ je unajua nini maana ya ‘Umma’ na sifa za kuwa ‘Mtumishi wa uwo Umma’ unajua maamayake.Ni kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini iwe sahivi wakati Serikali haina dini?? Na kuchana kwake hicho kitabu kuna uhusiano gani na kazi yake??
#Bagwell
Usiue, muombee aacha hizo tabia akigoma kubadilika muachie Mungu!Naapa kwa aliyeniumba,huyu binaadam mwenzangu nikikutana nae huku moro tachokifanya ataenda kusimulia wafu wenzake huko makaburini
Uwe na utaratibu wa kupenga kamasi kilasiku alfajiri ili usizivute na hewa ndani zikachanganyika na ubongo tena.
Stories za vijiweni. China hakijawah wakuta chochot.
Ni kifungu gani cha sheria za kazi alichovunja mtumishi aliyesimamishwa kazi? Wewe taja tu kifungu tumalize mjadala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichaa anacho mamako. Nakuambia unitajie kifungu cha sheria za kazi kilichovunjwa unatukana? Mbwa koko wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali haina dini lakini ina sheria.Sirikali si haina dini.
#Bagwell
Hajakiuka sheria za kazi moja kwa moja ola amevunja sheria za nchi.Hivi hapo kuna sheria yoyote ya kazi aliyokiuka. Mimi nadhani kukamatwa ni sawa ila kusimamishwa kazi inahusianaje na hilo tukio. Lazima viongozi wetu wawe wanaangliq sheriq zaidi badala ya utashi wao binafsi
Nani muislam?
Tumeusiwa kukatazana mabaya na kuamrishana mema, tafadhali usifanye hivyo. Mi nakukataza "Hapana usifanye hivyo"Naapa kwa aliyeniumba,huyu binaadam mwenzangu nikikutana nae huku moro tachokifanya ataenda kusimulia wafu wenzake huko makaburini
Hawa jamaa sijui wanaalikili gani,eti china ugonjwa wa corona sababu ni kuchoma hiko kitabu,waafrika sijui tunamatatizo gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Mh. Jaffo kachemka, hakuna sheria inayo sema hivyo.Hii ni mihemko isiyokuwa na maana ktk utumishi wa umma. Amemsimamisha kazi kwa kutumia kifungu kipi cha sheria za kazi? Kuna mahali pameandikwa kuwa mtumishi wa umma akichana kohorani asimamishwe kazi? Aache hizo. Analogia Malenga,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe unazo sa7bu zakijinga kutoa koment kama hii! Inaonesha ulivyo enda shule ukaishia kuhesabu madawati.Wamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
Tumeusiwa kukatazana mabaya na kuamrishana mema, tafadhali usifanye hivyo. Mi nakukataza "Hapana usifanye hivyo"
ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]