Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Tafuta wanasheria wakusaidie Bwana mdogo. Sheria hazisomwi namna hii ya kupesti maandishi na kukariri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nasikia ukichana hio unakuwa chizi, kumbe fix tu!
.Nawewe unaweza jaribu, mbona nyote mumetoka kwenye mti mmoja mnafundishwa chuki badala ya kuelewa biblia
kumbe hii ndio elimu ya kwenda shule lakini sio kuelimika!
 
.Nawewe unaweza jaribu, mbona nyote mumetoka kwenye mti mmoja mnafundishwa chuki badala ya kuelewa biblia
kumbe hii ndio elimu ya kwenda shule lakini sio kuelimika!
Punguza jazba
 
HEKIMA NA BUSARA ni kitu mhimu Sana,......usifanye tu chochote unachojisikia ,fikiria kwanza unachofanya kina umhim gan kwako na kwa upande mwingine kina athari gani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hata picha yake unamwona Yuko sawa? Kikubwa kilichonifurahisha Mimi Ni kuwa kwa waislamu kumpeleka katika mamlaka husika, hii Ni hatua nzuri Sana na ndio Msingi mmojawapo wa Imani hiyo, Kitendo Cha kukamatwa na kusimamishwa kazi kwake huyu jamaa Ni adhabu Tosha tu, Binafsi ninamwomba Allah amwongoze kijana huyu aweze kuijua haqi na kuifuata na amuepushe na mihemko itakayoleta mitafaruku katika jamii si tu ya Kitanzania Bali iwe kwa ulimwengu kwa ujumla.
Nilikuwa nasikia ukichana hio unakuwa chizi, kumbe fix tu!
 
Huyu
Hajaichana Quraan,Bali ameichana heshima yake

Waislam
Wanatakiwa watulie juu ya tukio kama hili,Wasifanye chafuko au fujo ya aina yoyote

Quraan bado katika maisha yetu
Kama angetaka kuichana,Basi angechana Vifua vyetu

Waislam tusomeni Dini yetu
Kuiwacha Dini,ni mbaya zaidi kuliko aliechana karatasi zilizoandikwa ndani yake Quraan

Tusomeni Dini yetu
Tusomeni Dini yetu
Tusomeni Dini yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama hoja ni hiyo si jeshi la polisi tayari limemkamata na watamfungulia mashtaka kwa mujibu wa katiba? Kusimamishwa kazi kunakujaje? Kwani amevunja sheria za kazi?
Mimi nafikiri kama mtumishi wa serekali kuna ethics za utumishi ukiachana na hizo sheria wenzetu wanazo ulizia, lakini pia nikitendo cha uchochezi nakusababisha uvunjifu wa amani inchini kwahiyo anasitahili kuchukilia hatua pamoja na futwa kazi.
 
Mimi nafikiri kama mtumishi wa serekali kuna ethics za utumishi ukiachana na hizo sheria wenzetu wanazo ulizia, lakini pia nikitendo cha uchochezi nakusababisha uvunjifu wa amani inchini kwahiyo anasitahili kuchukilia hatua pamoja na futwa kazi.

OK
 
Watu walimlaumu samatta kujenga msikitini kwa kuwa anashabikiwa na watu wa dini zote,wakadai angejenga hospitali ingesaidia jamii bila kubagua dini,
Sasa huyu mtumishi wa umma anaonyesha chuki zake hadharani kwa dini flani ambayo waumini wake wanatakiwa kupata huduma kutoka kwake wale wale waliomkosoa samatta wanaunga mkono tukio hili.....inasikitisha sana ndugu zangu,hata kama muislamu akifanya tukio la kudhalilisha dini ya kikristo au kitabu cha dini hiyo haifai.
 
Sasa kama hoja ni hiyo si jeshi la polisi tayari limemkamata na watamfungulia mashtaka kwa mujibu wa katiba? Kusimamishwa kazi kunakujaje? Kwani amevunja sheria za kazi?
Jeshi la polisi Ni chombo kingine na Wizara anayoitumikia mtumishi Ina mamlaka yake dhidi ya Hiki alichofanya kwakuwa kimetia doa taswira ya watumishi kifupi imeshusha hadhi ya mtumishi wa Uma.
 
You wrote like alearned person but the context of your statement exposes your ignorance in both you yourself and your family and funny enough your family, community and clan might be depending on you as their Wiseman of the century.
 
nimeitazama vizuri sana ile clip. nimeitazama huku nikiwa katika tafakari ya hisia ya sita.

nilichogundua, tukio linaloonekana ni la kutengenezwa na walioratibu zoezi lile wamelifanya kwa ustadi na kwa dhumumi maalum.

kuna ajenda fulani fulani wenye mamlaka wanataka kuzififisha kwa kupitia tukio lile. na nahisi watafanikiwa.

kila mtu ajaribu ku-connect dot kwa namna anavyojua yeye, bila shaka mtaelewa nazungumza nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…