TzComedy
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 890
- 700
Hakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi haliyakuwa baadhi yetu mara nyingi tumekuwa tu wapiga simu ili tuletewe ujazo wa gase unaofanana na mtungi ulioisha?.
Aidha ni wangapi wenye Mizani kwa ajili ya kupima mtungi wenye ujazo lengwa mara tu uletewapo na mletaji (mfanya biashara) huyo?.
Maoni yangu, ni vema sasa nyie wafanya biashara mtuletee mitungi ionekanayo hadi ndani kama chupa ya soda au konyagi ili kutuondolea wasisi wa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia(kuchakachuliwa).
Ahsanten.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi haliyakuwa baadhi yetu mara nyingi tumekuwa tu wapiga simu ili tuletewe ujazo wa gase unaofanana na mtungi ulioisha?.
Aidha ni wangapi wenye Mizani kwa ajili ya kupima mtungi wenye ujazo lengwa mara tu uletewapo na mletaji (mfanya biashara) huyo?.
Maoni yangu, ni vema sasa nyie wafanya biashara mtuletee mitungi ionekanayo hadi ndani kama chupa ya soda au konyagi ili kutuondolea wasisi wa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia(kuchakachuliwa).
Ahsanten.