Wewe ni kati ya wakemia bomu kama yule jamaa yetu. Nani kakuambia kitu kikiwa colourless hakionekani?
Hebu tizama maji ya Kilimanjaro kwenye chupa uone kama hutayaona kwa kuwa ni colourless. Pili vitu vinavyoitwa si kwamba havina rangi Ila rangi yake hubadilika kutokana na reflection ya mahali kilipo.
Ni vema pia kufahamu gesi za kupikia zote zina harufu kutegemeana na source ( Odor). Do your homework. Mleta mada kafikiri nje ya box.