Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe,,sh.ngapi
NimechekaaaaaWewe ni kati ya wakemia bomu kama yule jamaa yetu. Nani kakuambia kitu kikiwa colourless hakionekani?
Hebu tizama maji ya Kilimanjaro kwenye chupa uone kama hutayaona kwa kuwa ni colourless. Pili vitu vinavyoitwa si kwamba havina rangi Ila rangi yake hubadilika kutokana na reflection ya mahali kilipo.
Ni vema pia kufahamu gesi za kupikia zote zina harufu kutegemeana na source ( Odor). Do your homework. Mleta mada kafikiri nje ya box.
Jamani mtaniua na kicheko haaaaa haaaaWewe Peleka Upumbavu wako huko....
Gas iliopo kwenye mtungi ni Liquified Gas (iko katika hali ya Liquid na sio vapour)
Next time ukileta upumbavu wako hapa nakutemea makohozi...