Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo,tuliza munkari blazaWewe Peleka Upumbavu wako huko....
Gas iliopo kwenye mtungi ni Liquified Gas (iko katika hali ya Liquid na sio vapour)
Next time ukileta upumbavu wako hapa nakutemea makohozi...
Ni zile pampu za mafuta shely ziwe nyeupe kama peniHakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi haliyakuwa baadhi yetu mara nyingi tumekuwa tu wapiga simu ili tuletewe ujazo wa gase unaofanana na mtungi ulioisha?.
Aidha ni wangapi wenye Mizani kwa ajili ya kupima mtungi wenye ujazo lengwa mara tu uletewapo na mletaji (mfanya biashara) huyo?.
Maoni yangu, ni vema sasa nyie wafanya biashara mtuletee mitungi ionekanayo hadi ndani kama chupa ya soda au konyagi ili kutuondolea wasisi wa kuuziwa Mbuzi kwenye gunia(kuchakachuliwa).
Ahsanten.
Gesi inakuwa under very high pressure and therefore turns into a liquid! Hivyo unaweza kuiona. Gesi zina rangi,Hivi wewe unawaeza kuona gesi? Nadhani hukusoma kemia, na kama ulisoma utagundua kuwa gesi nyingi zina 'the following physical properties'... They are color less, test less and in most cases odor less...
acha matusi, mweleweshe. kuwa mstaarabu please!Wewe Peleka Upumbavu wako huko....
Gas iliopo kwenye mtungi ni Liquified Gas (iko katika hali ya Liquid na sio vapour)
Next time ukileta upumbavu wako hapa nakutemea makohozi...
Mtungu wa hivyo ni mgumi kutengenezwa.gas inajazwa kwa mgandamizo mkubwa sana..pili ukitaka mtungi wa hivyo utakuwa ghali mara kumi au zaid..nani atanunua?Kama inawezekana kuchangia kwa sitara, inashindikana nini kufanya hvo? Najua tuna malezi tofauti, basi kupitia jf ni vema tukajifunza kwa wale wenye malezi safi.
Dah.. msiwe mnapinga tu bila kuwa na ufaham jaman, aliyekwambia kitu colorless hakionekani, kwani maji yana rangi gani, mbona tunayaona mkuu, aliyekwambia gas za kupikia ni odorless nani, mbona ukiwasha tu jiko kuna harufu fulani, au ukasahau kufunga unaskia harufu yakeHivi wewe unawaeza kuona gesi? Nadhani hukusoma kemia, na kama ulisoma utagundua kuwa gesi nyingi zina 'the following physical properties'... They are color less, test less and in most cases odor less...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe Peleka Upumbavu wako huko....
Gas iliopo kwenye mtungi ni Liquified Gas (iko katika hali ya Liquid na sio vapour)
Next time ukileta upumbavu wako hapa nakutemea makohozi...
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji12] [emoji12]Ni zile pampu za mafuta shely ziwe nyeupe kama peni
Hivi mnaombeza mleta mada mna akili kweli?
Kwani viberiti vya gesi huwa hamuvioni? Kwamba ndani unaiona kabisa gesi ilipoishia imo kama maji?
Wangeweka kifaa cha kujulisha kama gesi imekaribia kuishaa
Hakuna kitu kinakera kama; watu wako sebuleni wanasubiri chakula kiive wale,halafu gesi inaisha.Wangeweka kifaa cha kujulisha kama gesi imekaribia kuishaa
Kumbe,,sh.ngapiKipo. Kama gauge hivi kinauzwa kwenye maduka yanayouza gas.
Wewe Peleka Upumbavu wako huko....
Gas iliopo kwenye mtungi ni Liquified Gas (iko katika hali ya Liquid na sio vapour)
Next time ukileta upumbavu wako hapa nakutemea makohozi...