[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] fisi anayeigiza maisha ya kondooHeeeeeee.
Kumbe na wewe umo lakini huvumi eeeeeh?
Unavyojifanyaga innocent ukini quote.
Muoneeeππ
love youBado nipo honimoni bana
haliihitaji hirizi,naomba sana welewe
nikumbatie mpenzi,usi hofu wenginewe
wabaki na simulizi,watuige wapagawa
pendo langu mimi nawe halihitaji hirizi
halihitaji hirizi,mwandani wangu ujuwe
niote katika njozi,ulalapo niko nawe
mimi kwako ndio dozi,ukiumwa upatiwe
pendo langu mimi nawe halihitaji hirizi
halihitaji hirizi,wala usijisumbuwe
watakupiga fitizi,wataka wakuganguwe
hao wote ni walozi,nimekupenda mwenyewe
pendo langu mimi nawe halihitaji hirizi
halihitaji hirizi,nimekupenda mwenyewe
sitaki masimulizi,,juu yako niambiwe
kwa hila za kibazazi,kwangu zitangonga jiwe
pendo langu mimi nawe halihitaji hirizi
Kwako popote ulipo !,
Hajambo kwenye nini tena
Hajambo kwenye nini tena
HahahhaaaaaaaaHeeeeeee.
Kumbe na wewe umo lakini huvumi eeeeeh?
Unavyojifanyaga innocent ukini quote.
Muoneeeππ
Angalia usije ukawa kitoweo chakeufisi.
Dalili zenyewe si ndo hizi
hehe thanks karucee.Hii kweli imenoga.
Na ili kutukomesha ukatunga shairi zima.
Nakupa 'A'
Angalia usije ukawa kitoweo chake
Nini cha kumshindaHawezi thubutu.ππ
Nini cha kumshinda
Sometimes mwanafunzi anaweza kuwa mwalimu na Mwalimu akawa mwanafunziHuu ni upambe nuksi.
Hilo ni dogo langu tena mwanafunzi wangu.
Gogle Siku hizi hauji na zile nyuzi zako nishakugayaMtoto umeshepuka, kifuani saa sita
Nyuma umejaaliwa, sura nayo umepewa
Picha nikikuvutia, bafuni nakimbilia
Nyuma nakushikilia, na makofi nakupiga
Mabusu nakumwagia, ndimi twazikutanisha
Kisha nakuinamisha, kimoja nakumwagia
NB: umeshepuka = una shape/shepu nzuri.
Cc Dinazarde
AhhahahahahaahhaDinazarde uko wapi, Gogle ninaangamia
Ukimya wako mkuki, moyoni unanichoma
Jitokeze tafadhali, unipe jibu murua
Mtoto kama asali, nipate kujilambia