Duuh hzo comments peleka insta kule utakutana na w.a.puuzi wenzako,usitake kuuanika uj.i.nga wako hapa,kama hukufuatilia vzr habar pande zote mbili huo ni upopoma wako kuja na light arguments kama hizoASA kwann aligoma kuingia stejini ad wizkid apande?, AF Leo cha ajab kaanza yy, inamaana pale ye ndo dogo au
We umeshawahi kurudi na nn mkuu ?? Inawezekana kwenye family yako hurudi na kitu halafu unatujazia mimate mdomon hapaWanarudi na chochote au wanarudi na karai?
haitaishia za jana 2 itaendelea mpaka zijazoUnamaanisha tuzo za jana hatujakwapua hata moja?
Achana nae huyo! Huyo dada inaonekana ana chuki na familia ya Diamond. Ukiona anasema lolote kuhusu Diamond au Zari basi ni negative hata kama hana uhakika na anachoongea. Siku imetolewa Salome akakurupuka na kuleta thread hapa kwamba Diamond ameimba wimbo wa Saida Karoli Akaja kuumbuka zilipoanza kusambaa picha za Diamond na Sallam wakiwa na Mzee Mutta.Kila siku anatukana fans? Eeh leo katukana nini? Embu tujuze. Na jana na juzi pia embu tuambie mitusi aliyotukana?
Yeye alisema alieacha vile vidude vyake akavifuate na nyie na viherehere vyenu ndo mkaleta habari za Hamisa. Wewe unaonekana ni dizaini za akina Mange. Hata kama mtu hakujui, hajakufanya chochote lakini kwa kuwa humfikii tayari unakuwa na nyongo nae! Unakumbuka siku umekurupuka na kuleta habari za Diamond kuiba wimbo?anaelianzisha nani? mfano juzi alivokuwa anamrushia kashfa hamisa .good thing hamisa hakumjibu hata .kilichomfanya asikae kimya ni nini? ana nyumba hapa bongo huyo zari?
Acha unazi, mdee afurukute mbele ya alade?Vanessa Mdee aliwekwa na majabali kwa ufupi walimuonea sana.
Ni kweli unajuwa mimi mpaka sasa nakuwa sielewi au kutofautisha ni nini kinafanya leo tuwajue kuimba au ku dance. Diamond ajue yeye sio mcheza show ni singer. Kweli kama ni hivi nyimbo moja tu tena playback unahema sasa show ya 2 hours live sio kazi non stop.Alikiba kaimba vizuri!! Truth be told, diamond nkama alikuwa akihema Sana!! Mengine ya suti Kubwa, cjui nini nawaachia Nyie, Ila kiba kaimba vizuri
Show Diamond ni ileile tu hakuna mpya ka copy video yake so nothing new. Ndio kasema atapiga show ya history!! We want suprises katika show Diamond very predictable nadhani inabidi watu wajipange next time.Ndio, hawajamzimia mic,ya diamond ndio ilizima akabaki anadance tuu
Sasa yeye dancer au singerDiamond kadance vizuri sana. Ila kuimba no
Wana muziki haswa ni congo tu ukiwasikia kwenye CD na live utawapenda live zaidi wengine wote ni utani tu mimi tofauti utaona kuja kuimba live ndio utajuwa.kweli mkuu diamond hawezi kushinda hizi tuzo maana hapa bongo ana kura chache sana nadhani ni wakati wa kujifunza kuweka muziki wake mbali na mapenzi
Hatujuiitakuwa ni saa ngapi wadau?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo maana nlilaaaKICHWA CHA MWENDAWAZIMU HATA KUIMBA MNARUDI SIFURI...