MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

kuna hawa hawa majamaa wanamambo yakike kweli wanajiita mabingwa wakuchamba duller square na shish baby
Tena hao kinyaa kabisa staki hata kuwasikia ...mavi matupu...nawaambia kabisa ni mavi matupu hao wakashtaki nimewatukana...ndo hao hao wanaokula kupitia mabifu haya na ndo hao hao wanaoyakuza mambo na kuleta uchonganishi kwa fan base ya hawa wasanii, kuna diamond na ali, kuna ya vanesa na shilole sijui iliishia wapi,,yan hao ndo hua wanaleta habar za kichonganishi ..sasa unakuta kati ya hao mavi wawili anatoa habari kumponda ali kiba ..

fans wa ali kiba wakifungua wakakuta na wakasoma wanachukia nao wanatafuta page ya mtu anaemsapoti diamond basi wanalipizia huko na ndivo inavokwenda
 
Ngoja Nikuulize hivi hizi tuzo za 'live performer wazuri Hazina maana ?'zina maana Ndio sababu zipo,, na usishangae siku nyingine alikiba akanominatiwa Kama artist bora kwenye live performance, Alikiba kafanya vizuri sana, na tusijaribu kuona kama ni kawaida, kaimba vizuri na anastahili pongezi!! kuhusu brother thing umejudge vibaya, Sikuelewa Kama ulimaanisha 'ndg' Bali jinsia
 
''Jikaze usichoke / Labda kesho zamu yangu Ntavuma tena mambo yanyooke Eey''
 
team mondi
 
team mondi Leo hatareee
 
Apige kazi haswa, mambo ya vijembe kwenye instagram aache..amwambie na zari wake kabisa na hao dada zake, yani kazi kazi..awe anapost kazi zaidi na sio vijembe sjui bulshits bulshits za namna gani aachane nazo..
Pia aache kutetemeka jukwaani.
 
Lakini at least diamond alishawahi kushinda mtv awards, kukosa mwaka huu haiziondoi alizopata mwaka jana tayari ana history yake. Kiba sasa!
Hakyanani tena, kwa akili hizi [emoji115] na mwakani hampati kitu. Sipendi ujinga ujinga wa haya matimu ila hizi tuzo za MTV na zile za AFRIMA mbona zinakinzana kwa kiasi kikubwa, ina maana watu walipiga kura afrima halafu wakazipotezea za mtv? Hayo matimu yenu yafie mbali.
 
Hivi ni kweli Ali Kiba aliongea ushuzi huo?

Anyway sometimes hakuna haja ya kutumia nguvu nyingi kumjibu mpumbavu, Wiz Kid amemjibu Ali Kiba kwa vitendo kwenye hizi tuzo, this is how smart guys apply.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…