MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

People have nothing
Wanafikiri kila mtu ni the so called "shabiki andazi" nadhani hata nilichosema kuhusu Diamond hakukisoma pia.
Btw I mic u, ndo tumechuniana au?
Ukimaliza huu mjadala usio na tija nishitue and I hope bado hujapiga komeo!! Wenzetu huko wanafurahia kupata A+ ya Kiinglishi wengine huku wapo busy kusema hata kama nimepata F lakini mwandiko wangu kwenye paper ni mzuri kama nimetaipu na mashine!
 
Ndo maajabu ya mashabiki wa Kiba haya.... kwahiyo Diamond kakosa tuzo sasa Kiba kapata nini? Halafu mbona unarudia rudia suala la Kiba wakati nishakuambia mimi sio shabiki wake?! Au ulitaka nimsifie ame-perform vizuri?! Binafsi hamna cha ajabu nilichokiona zaidi ya watu kujifariji! Kwenye soka Watanzania utawasikia "hata kama timu imetolewa lakini imetolewa kiume...!" Yote haya ni kujifariji tu! Hata wewe leo unamkana Kiba unajua kabisa kwamba unajifariji tu... plain and clear; TUMEKOSA TUZO na mengine yote ni kelele tu za kukosa!
 

Waambie hawa wajinga wajinga humu kina matola wanaojiona ma genius!
Kiba aonyeshe yake ya miaka ya nyuma tuone kashinda nini kimataifa zaidi ya yale mabati 7 yenye kutu ya Kilimanjaro awards aliyopigiwa debe na kina wema
 
Ni m.p.uuzi pekee anaweza kukubaliana na hizo pumba zako,eti mondi kazoea venue kubwa na kilichofanya atetemeke Jana kitu gani,tumeongea tangia Jana kuwa mondi anapaswa kujiboresha kwenye mazoezi ya kuimba live
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mshakosaaa!!

mie nshaachaga utimu binamu

huku nakuja kupiga story tu za wasanii!!

huu upuuzi wa timu nshaucha hauna manufaaa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

poleni msijali mwakani mtapata!

team kiba wao hawajazoea tuzo!!
 
Waambie hawa wajinga wajinga humu kina matola wanaojiona ma genius!
Kiba aonyeshe yake ya miaka ya nyuma tuone kashinda nini kimataifa zaidi ya yale mabati 7 yenye kutu ya Kilimanjaro awards aliyopigiwa debe na kina wema
HAYAKUWA 7 YALIKUWA MA5, ANAYESHIKILIA REKODI HIYO YA KUCHUKUA YALE MATAKATAKA NI DIAMOND YEYE NDIO ALIYACHUKUA 7 NA HUWA HAYAHESABII KAMA ALIWAHI KUCHUKUA UCHAFU ULE.
 
Kwanza ungenisoma kwa vituo tangu mwanzo hoja yangu ni kwamba mwaka huu tumekosa tuzo na hapa kilichopo ni kujifariji tu! Lakini ni nyinyi wewe wenyewe mliojifunga vibwebwe vya chereko kwamba Kiba kafanya bonge la show! Sasa ni nani hapo aliyekaa kitimu! Hata wewe ni kv tu Kiba katoka kapa vinginevyo ingekuwa balaa tupu!!
 
,,usilalie Bahati ya mtu mlango wazi!! Aloperform vizuri anafahamika,,ni basi tuu, ukiwa die-hard fan wa mtu hata black itaiita white!!!tukubalini tuu! Sometimes shits happen u know,aliepanic kapanic alieimba vizuri kaimba vizuri!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mie bina...!

mie sina timu mshabiki wa kawaida tu!

ndo maana hunioni hata kwenye hizo mada za kitimutimu!

show zote mbili sijaziona wala nn

nililala zangu miee.....!!!

poleni wenye timu zenuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Usitupigie kelele we mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…