nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
mnafatilia vipindi vya mtv lakini? vinatoa sapot sana kwa naija na south a.
kuna top ten special kwa ajil ya naija.. special interviews kwa ajili ya naija.. hata kwenye spankin new kidogo kulikua na utata ila now ndo wana2pia macho kotekote.. hapa matumain yapo bet.
Naija ni soko kubwa kuliko nchi yeyote Afrika...wa SA wamebobea 9ja sana kwa sasa katika kila sector...
Anyway tutatoka tu Mungu yupo...
mkuu diamond hamna chochote huwezi kumweka diamond category moja na davido na mafikizolo huo ni uchawi mkubwa!
Na nyie muache maneno ya shombo za kijingaDai atafute watu wenye weledi uliotukuka na wanaojua kufanya publicity, asilete urafiki kazini
HOD huwa akileta ishu ya Dai najikuta hata huyo Dai nachukia kazi zake ila kiukweli Dai anajua, jamaa amebadilisha aina ya muziki wa Tanzania
Arudi ajipange hasa, beefs na skendo zinaharibu sana kwenye kugawa mashabiki.
Dai atafute watu wenye weledi uliotukuka na wanaojua kufanya publicity, asilete urafiki kazini
HOD huwa akileta ishu ya Dai najikuta hata huyo Dai nachukia kazi zake ila kiukweli Dai anajua, jamaa amebadilisha aina ya muziki wa Tanzania
Arudi ajipange hasa, beefs na skendo zinaharibu sana kwenye kugawa mashabiki.
unajikutaga unachukia ishu za dai coz kila post ninayoileta hapa inahusu hatu ama mafanikio flan aliyofikia ,vitu ambavyo hampendi kuviskia ..hakuna reason nyingine
ndo mwanaume anavyotakiwa awe.sio kila mud a mtoto wa kiume unakimbizana na vioo na vipodozi.haileti maana basi tuNapenda style ya Davido hajipodoii lakin anawikajeee
Umeona show aliyopiga lakini?
mnafatilia vipindi vya mtv lakini? vinatoa sapot sana kwa naija na south a.
kuna top ten special kwa ajil ya naija.. special interviews kwa ajili ya naija.. hata kwenye spankin new kidogo kulikua na utata ila now ndo wana2pia macho kotekote..afu ukifatilia mtv inaonekana africa nzima.. angalieni schedule ya vipindi vyao then mlete mrejesho hapa..davido ataendelea kuchukua chake hadi bas!! mi ile naiita MTV NAIJA na sio Africa,maana hata east africa wametusahau dah!!
hapa matumain yapo bet.
Yaan kumshindanisha diamond na davido ni sawa na kushindanisha shule ya kata na Marian girls
Kumbuka mafikizolo wanamkubali huyo unaemsema hamna kitu ,na wameomba wameomba wafanye nae collabo ikibidi kulipia gharama za kuendelea kukaa south mpka collabo ifanyike coz wanaamin uwezo na kick yake saiv Afrika ..tupende vyetu @ Yusuph Issa
unajikutaga unachukia ishu za dai coz kila post ninayoileta hapa inahusu hatu ama mafanikio flan aliyofikia ,vitu ambavyo hampendi kuviskia ..hakuna reason nyingine