MTV Music Awards June 6th, 2014

Mkuu nilikuwa najaribu kuonyesha namna wabongo tusivyotakiana heri....uyo davido kapotezwa vibaya stejini na diamond na naweza sema show ya diamond ndio best hadi sasa hapa south....

Mkuu, sote ni watanzania na tungependa kuona dai anapata tuzo ila unaposema show kali ktk mashindano ya muziki tutakua bado hatuja uelewa muziki vizuri au Don William, Celine Dion ambao wanaimba wamekaa hatutawaita wanamuziki?!
 
Kumbuka mafikizolo wanamkubali huyo unaemsema hamna kitu ,na wameomba wameomba wafanye nae collabo ikibidi kulipia gharama za kuendelea kukaa south mpka collabo ifanyike coz wanaamin uwezo na kick yake saiv Afrika ..tupende vyetu @ Yusuph Issa

Wewe ni mshauri wa dai, ila tambua kua muziki ni biashara, hao Mafiki Zoro wanapofanya ft na dai ujue wanalengo la kushika east africa sio kama wao wapo chini kuliko dai.
 

mi bado nashikilia uzi wangu ule ule wenzetu hawatuelewi lugha tatizo we must change wenzetu wanaongea lugha moja sisi tunaongea lugha yetu
 
mi bado nashikilia uzi wangu ule ule wenzetu hawatuelewi lugha tatizo we must change wenzetu wanaongea lugha moja sisi tunaongea lugha yetu

lugha sio tatizo appoh inabidi tuutangaze mziki wetu kimataifa na kutengeneza flavor itakayotambulisha mziki wetu zaid ya hapo tutakuwa wasindikizaji tu mbona lady jay dee alichakuwa tuzo za kora africa inabidi diamond uexpand mziki wako!!!!!
 
kile kijiji alichoenda nacho sijiu wanarudije wataangaliana usoni kweli

-------- mkubwa wewe hapa hatumwongelei diamond bali tunaongelea Tanzania.nikimaanisha kushindwa kwake ni kushindwa kwetu.na jua sikuzote kushindwa ndio njia ya ushindi.
 

kitu gani kilichoigwa hapo.ngolongolo au kitu gani.
 
-------- mkubwa wewe hapa hatumwongelei diamond bali tunaongelea Tanzania.nikimaanisha kushindwa kwake ni kushindwa kwetu.na jua sikuzote kushindwa ndio njia ya ushindi.

hizi defensive mechanism haya bwana
 

pumb.....a
 
-------- mkubwa wewe hapa hatumwongelei diamond bali tunaongelea Tanzania.nikimaanisha kushindwa kwake ni kushindwa kwetu.na jua sikuzote kushindwa ndio njia ya ushindi.

yaani mkuu hauendani na id yako kabisa bora huyo angela bao lake ungepiga puri tubishane kwa hoja si lugha chafu SUCKER!!!
 
Na nyie muache maneno ya shombo za kijinga


Bosi wako mwenyewe Tomaso
We mwenyewe Tomaso !

Hamuwezi kujielezea Kwa lugha zote mbili si Kingereza si Kiswahili !
We mwenyewe ukileta thread hapa zinakuwa na maadhi ya kike kike, mipasho mingi ! Kama khadija kopa !

Atleast Akili zingekuwa zina azimwa, Wema sepetu angemwazima Diamond !

Mana in Reality Akili za Diamond na Wema ni Irelevant kabisa !

Wema anaweza kujielezea !
Btw

Diamond kashindwa MTV na wala usitegemee kuchukua B.E.T

labda hao bet wawe na akili fupi kama zenu ! Wewe na kaka yako huyo !

Sio hater but reality tu
no pun !
 
-------- mkubwa wewe hapa hatumwongelei diamond bali tunaongelea Tanzania.nikimaanisha kushindwa kwake ni kushindwa kwetu.na jua sikuzote kushindwa ndio njia ya ushindi.



kulikuwa na haja gani yakumkejeli mwenzako hivyo ?

Nani kasema kushindwa kwake ndo kushindwa kwa TZ ?
 

Unajua mkuu sisi hatuhitaji reality tunahitaji kusifiana unafiki.
 
Diamond si wa kwanza kuwa nominated kwenye hizi tuzo kubwa kama MTV award......Lazima tukubali kuwa na vionjo vyetu vya muziki ili kuteka soko la Afrika na dunia....otherwise tutaendelea kutoa washindani wasioshinda daima......Wasouth wana vionjo vyao.....Wanaija wanavyo vyao.....Wakongo halikadhalika.....Sisi tunaiga mtindo unaotamba wakati huo kama ilivyo kinaija sasa hivi.....Hadi Madj wana session za kupiga nyimbo za naija radioni na club.........Kwa muda mrefu imesemwa tutengeneze aina muziki wetu walau wenye mchanganyiko wa ngoma zetu za asili (tuna makabila zaidi ya 120 hivyo tuna vionjo zaidi ya 120).Lakini kama kawaida tunajiona wajanja kuiga staili za akina Davido tukifikiri tutakuwa zaidi yao .....never!!!!.....au zaidi ya Usher Raymond.......tunaweza kuiba vionjo vya Hiphop,R&B n.k kwa kuchanganya na flava zetu ikawa aina mpya ya muziki kama wanavyofanya Wanaigeria sasa hadi Marekani muziki wao unatambulika kwavile upo unique kidogo.....hadi uchezaji wake........
 
Kumbuka mafikizolo wanamkubali huyo unaemsema hamna kitu ,na wameomba wameomba wafanye nae collabo ikibidi kulipia gharama za kuendelea kukaa south mpka collabo ifanyike coz wanaamin uwezo na kick yake saiv Afrika ..tupende vyetu @ Yusuph Issa

ingekuwa kila siku unaongea hivi mbona ingekuwa poa sana
 

BORA UWONGO UNAOUMIZA KULIKO UKWELI UNAOCHEKESHA kiukweli wema kamzidi akili hawala yake!!!!!
 
lugha sio tatizo appoh inabidi tuutangaze mziki wetu kimataifa na kutengeneza flavor itakayotambulisha mziki wetu zaid ya hapo tutakuwa wasindikizaji tu mbona lady jay dee alichakuwa tuzo za kora africa inabidi diamond uexpand mziki wako!!!!!
!

hii sikuwahi sikia toka nazaliwa kumbe jide alichukua kora! alikuwa anashindana na wa east afrika pekee au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…