MTV Music Awards June 6th, 2014

mtv watarusha live saa nne kamili... so bado kidogo
 
Best collabo kachukua Proffesa wa sauz...Diamond kaanguka
 
Lupita Nyongo kachukua personality award.
 
Hawa mtv base hawaeleweki wamesema wataanza saa 20:00 lakini mpaka sasa wanakata viuno tu.
 
mko wapi? mbona ishaanza na tayar diamond kashakosa category moja alokuwa anawania ya Best collabo?Imebak ya best male
 
MTV mbona wameanza saa nne kamili (2200hrs)?
 
mko wapi? mbona ishaanza na tayar diamond kashakosa category moja alokuwa anawania ya Best collabo?Imebak ya best male
Hiyo aliyo kosa ndio nilikuwa na imani nayo sana kuliko iliyo baki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…