ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Juma Mpogo yupo hai, aliyekufa ni Omary Omary. Je unadhani vijana wakisasa watakuelewa kweli?
Naombeni mnisahihishe kama sipo sawa kuna jamaa walikuwa wanajiita Jagwa waliimba wimbo unaitwa Alli Mwinyi hodari ,Ali mwinyi ,ameongoza jahazi.Mambo ya mchiriku hayo.