MTV waandaa collabo ya Ne-Yo na Diamond Platnumz, this is epic!

Mkuu...comment zako sio za kushangaza...kwa sababu hata sasa hamuamini kuwa Diamond kaiteka Africa

Africa ipi? Mwambieni aende Kinshasa, Brazaville, Cairo, Casablanca, Tripoli, Bamako, Guinue, Mali, Sudan, Madagasca, Commoro, DJibout, Eritrea, Ethiopia, Algeria, Zimbabwe, Botswana, Zambia, Swaziland, Lesotho, Mozambique, Tunisia, Ghana...... Nimechoka kutype labda wewe East Africa unadhani ndio Africa, hivi unajuwa hata Africa ina nchi ngapi?
 

Mkuu ni ngumu sana Gentile kuwa mfuasi wa Yesu
 
mimi je!?yaani nilikumis mpaka nikailaani ban!hasa habari njema ya mtu kufukuzwa kwenye hekalu ilizidi kuniuma

Pole sana....ni kawaida ...sasa na wewe usiwe unapanic na wale ma shikorobo......Wao humu matusi yao ni kuondoa stress...Welcome back...Unatumia kinywaji gani?
 
Hiyo kinaitwa fursa na hivi huyu bwana na management yake huwa hawafanyi makosa kwenye fursa adimu kama hizi, nadhani tutegemee kitu kizito toka diamond. Inawwzekana ndio maana ameaitisha pia collabo na Nigeria maana ana uhakika wa kupaa level nyingine. Big up sana
 
Mkuu ni ngumu sana Gentile kuwa mfuasi wa Yesu

Habari za Yesu hapa zinahusikaje? Nimekuwekea orodha ya nchi za kiafrica hapo kwa uchache utueleze ni nchi gani hapo Domo ameiteka?

Kwanza kitu ambacho haukijuwi Domo hata South Africa ni location tu ya kufanyia kazi zake lakini hawezi kuwapata wasouth, hili huwezi kulijuwa kama huwajui Wasouth ndio maana husikii tour za Diamond kufanya show South Africa.
 
Pole sana....ni kawaida ...sasa na wewe usiwe unapanic na wale ma shikorobo......Wao humu matusi yao ni kuondoa stress...Welcome back...Unatumia kinywaji gani?

Ahahaaa!kuna vitu ilitakiwa nijibu ili mtu/watu wakae sawa kimawazo!ikifika saa 18:30 niletee juice ya RED GRAPE Fresh kabisaa
 

MTV ni wapuuzi sana....Yaani wanachukua watu wasio popular Africa
 
Ahahaaa!kuna vitu ilitakiwa nijibu ili mtu/watu wakae sawa kimawazo!ikifika saa 18:30 niletee juice ya RED GRAPE Fresh kabisaa

Your request is my command....

Saa 18:25 ntakuwa mlangoni hapo

Mkuu,Ule mchango ulioitishwa na Matola sasa umepata mtumiaji...MFALME asiye na Nyumba...anayeishi kwa msaada wa wanawake (Women Empowermet)-Wanawake mkiamua mnaweza
 
Last edited by a moderator:
MTV ni wapuuzi sana....Yaani wanachukua watu wasio popular Africa

Nimekwambia nioneshe kwenye hizo nchi nivwapi Diamond ameziteka? Unakata viiuno badala ya fact, hapa ndio utaijuwa tofauti ya mtu anayetegemea internet na mtu anayejuwa.

Labda nikuachie home work tu jiulizee ni kwa nini wasanii waTanzania hawafanyi show South Africa? Huwezi kupata jibu hili kwa kugoogle muulize mtu aliyeishi pale atakwambia.
 

Mkuu ...duh...viuno tena?

Maumivu yakizidi mfuate daktari

Kama hujui popularity Ya Almasi Afrika wewe ni kijiba roho tu kinakusumbua.................kijana wetu anajituma anafanya kazi inayoonekana....Rwanda Burundi Zimbabwe Cairo Niger Ghana Kenya Uganda SA Nigeria Morocco Sudan Somalia Eritrea Botswana Swaziland Liberia Mozambique Malawi Zambia Kinshasa Congo Brazavilee....Ukiuliza mtu yeyote kwenye nchi hizo wanatambua Almasi ni Nani........
 

Huwezi mijadala yenye afya kwa sababu umezoea kujadiri vitu vyepesi, hakuna mwanamuziki yoyote wala msanii yoyote mwenye uwezo wa kuikamata Africa.

Ungekuwa unatumia akili ndogo tu ungeanza kujiuliza ni kwa nini wasanii wa Tanzania huwezi kuwasikia wakienda kufanya show nchi jirani tu kama Zambia na Malawi?

Jifunze vitu ambavyo huna ufahamu navyo badala ya kuidanganya nafsi yako, hivi unafahamu ni kwa nini Club shentemba Johanesburg ilianzishwa Cotze street Hillbrow? Na unaelewa lolote ni kwa nini wanaigeria ndio wageni wa kwanza kuanzisha Disco la wageni Da seout Johanesburg? Garden Bistro Cape town unajuwa ni kwa nini ilifunguliwa?

Basi yatosha tufanye Diamond ameikamata Dunia.
 
Your request is my command....

Saa 18:25 ntakuwa mlangoni hapo

Mkuu,Ule mchango ulioitishwa na Matola sasa umepata mtumiaji...MFALME asiye na Nyumba...anayeishi kwa msaada wa wanawake (Women Empowermet)-Wanawake mkiamua mnaweza

Ahahahaaa!!!mbwembwe nyingi kumbe uharo tupu!wanawake mabwege kama hao ndio wanaweza kuhonga.
 
Last edited by a moderator:
Basi yatosha tufanye Diamond ameikamata Dunia.

Ahsante kwa baraka zako mkuu

Almasi anao uwezo huo...kwa juhudi...maarifa na kujituma....imagine amejifunza kingereza na kuweza kuongea vyema ingawa ana elimu ya darasani ndogo sana....Kwa kujituma kwake atafika huko......Asante kwa sala zako

Wakati tuko hai na tunaishi....Sky is the Limit...

We are Proud of Almasi Nassib Abdul.....

Mkuu Matola uache kuishi kwa women empowerment.....
 
Last edited by a moderator:
Ahahahaaa!!!mbwembwe nyingi kumbe uharo tupu!wanawake mabwege kama hao ndio wanaweza kuhonga.

Haahahahahahhaha

Tuzo kapewa kwa msaada wa wanawake

Nyumba anayolala amepewa na mwanamke

Kafukuzwa kwenye nyumba kakimbilia kwenda kuishi kwa mwanamke ,Mama yake

Almasi hii ni nyumba yake ya kumi

 

Ndio maana nikakwambia akili yako ni ndogo, kingereza ni lugha kujifunza na kuongea kingereza kama kwako ni maajabu pole sana aliyekuroga kafa.

Hongera unayeishi kwa Men empowerment sijui kama wewe ni salama au lawama?
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana nikakwambia akili yako ni ndogo, kingereza ni lugha kujifunza na kuongea kingereza kama kwako ni maajabu pole sana aliyekuroga kafa.

Hongera unayeishi kwa Men empowerment sijui kama wewe ni salama au lawama?

Mkuu...Ni lugha ya kawaida...lakini inahitaji juhudi na kujituma kuifahamu na kuiweza hasa ukizingatia mazingira aliyotoka Almasi....Ni lazima tukubali kwamba kijana ana juhudi na mchapakazi......akinuwia kitu anakifanyia kazi na anakipata...ndio maana sina wasiwasi ataishika dunia....Matter of time.

Naishi kwa kujitegemea....sitegemei mtu yeyote...Ni Mungu tu...sasa mkuu wewe nyumba unayoishi umepewa na mwanamke...Tuzo mmepewa kwa msaada wa wanawake walioachika na Almasi.....Mmefukuzwa kwenye nyumba mkakimbilia hifadhi kwa mwanamke.....

Hamjitumi kwa bidii ndio maana mnabaki na porojo tu ilihali hali zenu za kimaisha ni za kimasikini wa kutupwa
 
Nafasi kama hizo Diamond huwa hakosei. Kitendo tu cha kupiga shoo pamoja itakuwa nafasi kwa Diamond na management yake kutafuta collabo na Neyo.

Meneja wake Salam kwenye mambo kama hayo hakosei najua hapo lazma afanye connection moja kwa ajil ya collabo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…