Mtwa Mkwawa hakuwa muhehe

Wideta bhe!.

Muongo mkubwa sana!.


 
Hii habari haina ukweli ikiwa mkwawa alikua muislam iweje tena awe anakula mbwa wakati dini take inamkataza muislam yuko tayari kunywa pombe na kuzini lakini kumlisha nguruwe seize mbwa hatokula
 



Wewe unaesema uongo unatakiwa uje na ukweli, pinga kwa hoja mkuu
 
Wewe ndiye mwenye publicity. Umeandika uwongo nimeuona, nikakupa maeneo ya kufanyia utafiti ili uboreshe mada habari yako. Sasa hutaki kufanya research unataka nikupe majibu, wakati kazi ni ya kwako. Hii siyo ajabu kijana wangu?

Nenda kakusanye taarifa upya. Hiki ulichokiandika hapa ni uwongo mwingi sana. Kama huwezi kuonana na wenye ukoo wao nenda kalenga ukapate taarifa sahihi. Hii biashara ya kutungatunga, hapana kijana wangu.


Wewe unaesema uongo unatakiwa uje na ukweli, pinga kwa hoja mkuu
 
Si wametaka kujua smart mind ni nani?

Swali ni ''amekuruhusu uweke jina lake?'' Hivi wakitaka kujua Patrickn ni nani? na kukawa anayekujua, akurupuke tu kuleta jina lako hapa na details zingine bila idhini yako?
 

Citation please, kuna mengine yanaeleweka ila mengine yamejaa utata tu!
 
Nadhani ni vizuri walio na taarifa sahihi wangeileta hapa ili tusiojua kwa undani historia ya Mkwawa tukaijua zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…